Wajuzi wa karate, ni kwanini Bruce Lee alikuwa anajikaza sana wakati wa kupigana?

Wajuzi wa karate, ni kwanini Bruce Lee alikuwa anajikaza sana wakati wa kupigana?

Mi nataka kukata mwili ila kupitia michezo ya Karate😂😂😂
 
Bruce Lee wa the REAL THING. There were no LIES in his ability to perform. So many people who knew Bruce Lee spoke about this fact including Kareem Abdul Jabber

Mwingine ninaesikia anafanya uhalisia kwa kiasi kikubwa Ni Michael Jay White.
 
Bruc Lee style yake kubwa ilikua ni shot kan kwa wale wajuzi wa Mambo Kama Mimi na ndiyo style aliyo ibuni yeye mwanyewe kwa kuunganisha mapigano ya kick boxer na style combination za kichina
 
Kujikaza ni mwembwe tu ili aonyeshe misuli yake.Kumbuka alikuwa ni mcheza sinema.Mpiganaji hodari mara nyingi anapigana akiwa amerelax ili asipoteze nguvu.Angalia wale ma-master wa kung fu jinsi wanavyokuwa wamerelax

Zile sauti za ajabu zinaitwa Kiai.Lengo lake ni kuongeza mzuka wa kupigana.
Asante Fundi....kiai kwa ajili ya kuleta mzuka na kumtisha mpinzani
 
Bruc Lee style yake kubwa ilikua ni shot kan kwa wale wajuzi wa Mambo Kama Mimi na ndiyo style aliyo ibuni yeye mwanyewe kwa kuunganisha mapigano ya kick boxer na style combination za kichina
Big No....bluce Lee alicombine michezo ya traditional Chinese boxing,shoto kan,,kungfu,,muai Thai,,wushu.. kutengeneza mchezo mpya unaoitwa Jeet ku nedo
 
Acha kudanganyika yule jamaa inasadikika chanzo kikubwa cha kifo chake ni uvimbe ambao ulijitengeneza kwenye ubongo wake kwa sababu alizidisha mazoezi kupita kiasi.Kitendo cha kukakamaa ni mbinu za kikarate kwenye kuutia ganzi mwili ili mwili uwe kama resistance kwa pigo kutoka kwa adui pia inasaidia kwenye kuachia effective pigo kwa adui.
Hakuna cha uvimbe wala nini, yule na mwanae Brandon walipotezwa kwa sababu maalum

Mmoja ( Bruce) aliangamizwa kwa sababu za kimaslahi na mwingine kuepuka kuja kulipiza kisasi
 
Kujikaza ni mwembwe tu ili aonyeshe misuli yake.Kumbuka alikuwa ni mcheza sinema.Mpiganaji hodari mara nyingi anapigana akiwa amerelax ili asipoteze nguvu.Angalia wale ma-master wa kung fu jinsi wanavyokuwa wamerelax

Zile sauti za ajabu zinaitwa Kiai.Lengo lake ni kuongeza mzuka wa kupigana.
Hapana mkuu unkosea sana wana karate ,kiai ni kwa ajili ya kukufundisha wewe kutumia pumzi yako vizuri ili uweze ku block na kutoa shambulio effectively yaani una block kwa nguvu na unapiga kwa nguvu.
 
Back
Top Bottom