MuonekanoWakuu kwema?
Nimejichangachanga nimepata 5.5m kuna mhindi nilisoma nae chuo anataka kuniuzia Toyota fielder ambayo ni plate number A, plan yangu nilitaka hasa Ist, Sienta au Rav lakini bajeti yangu haitoshi na kila mara nikijaribu kufanya saving matatizo ya kifamilia hujitokeza najikuta napaswa kuyatatua
Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya suala hili,maana sina sina ujuzi wa Magari zaidi ya friendly use tuu, nini maoni yenu kuhusu hili gari wakuu, je spare zinapatikana? Gharama zake zikoje?
Gari imeshatembea 150,000km mpaka sasa, litre moja ya mafuta ni 13km ....
Wakuu kwema?
Nimejichangachanga nimepata 5.5m kuna mhindi nilisoma nae chuo anataka kuniuzia Toyota fielder ambayo ni plate number A, plan yangu nilitaka hasa Ist, Sienta au Rav lakini bajeti yangu haitoshi na kila mara nikijaribu kufanya saving matatizo ya kifamilia hujitokeza najikuta napaswa kuyatatua
Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya suala hili,maana sina sina ujuzi wa Magari zaidi ya friendly use tuu, nini maoni yenu kuhusu hili gari wakuu, je spare zinapatikana? Gharama zake zikoje?
Gari imeshatembea 150,000km mpaka sasa, litre moja ya mafuta ni 13km ....
Matumizi hasa ni construction site mitaani hasa Dar es salaam, location gari ipo Upanga,Muhindi yupo vizuri hana njaaMatumizi makuu ni yepi? Location wapi? Una plan ya kukaa nalo miaka mingapi? Na mwisho Huyo muhindi anaonekana ana njaa njaa au mtoto wa kishua?
nijuavyo kwa watoto wa mjini,5.5m unapata ist kali sana,nzima kabisa tena,huenda namba D...Wakuu kwema?
Nimejichangachanga nimepata 5.5m kuna mhindi nilisoma nae chuo anataka kuniuzia Toyota fielder ambayo ni plate number A, plan yangu nilitaka hasa Ist, Sienta au Rav lakini bajeti yangu haitoshi na kila mara nikijaribu kufanya saving matatizo ya kifamilia hujitokeza najikuta napaswa kuyatatua
Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya suala hili,maana sina sina ujuzi wa Magari zaidi ya friendly use tuu, nini maoni yenu kuhusu hili gari wakuu, je spare zinapatikana? Gharama zake zikoje?
Gari imeshatembea 150,000km mpaka sasa, litre moja ya mafuta ni 13km ....
Achana na IST hizo zipo kwa milioni 8 kuendelea tena akikwambia namba D uende na 10 MNipe ramani Mzee baba
nijuavyo kwa watoto wa mjini,5.5m unapata ist kali sana,nzima kabisa tena,huenda namba D...
Achana na IST hizo zipo kwa milioni 8 kuendelea tena akikwambia namba D uende na 10 M
hatuandikii mate Dar nzima hakuna IST ya 5.5M mwambie aiweke hapa ubaoni hata aweke wa 6M tu tutaamini sasa Dar Madalali wamekuwa wema
wenzako wanaichukua hiyo Gari yako wanaiweka sokoni kwa 6.5M
profesawaaganojipya
p/se kwa kumsaidia weka IST ya 6M na particular zake hapa
nijuavyo kwa watoto wa mjini,5.5m unapata ist kali sana,nzima kabisa tena,huenda namba D...
Hata Mimi hiyo 6m ningekomaa nayo , ndugu yangu mmoja ni Fundi mkubwa tuu ila bado anataka 7.5m nipate ISTStori za vijiweni hizi, haya weka namba za watoto wa mjini kuna mwana ana milion 6 hapa anataka ist na wewe utakula 500k. Najua hautarudi. [emoji1787][emoji1787]
Chukua mnyama huyo bila kusita.. Fielder ni gari ngumu na nzuriWakuu kwema?
Nimejichangachanga nimepata 5.5m kuna mhindi nilisoma nae chuo anataka kuniuzia Toyota fielder ambayo ni plate number A, plan yangu nilitaka hasa Ist, Sienta au Rav lakini bajeti yangu haitoshi na kila mara nikijaribu kufanya saving matatizo ya kifamilia hujitokeza najikuta napaswa kuyatatua
Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya suala hili,maana sina sina ujuzi wa Magari zaidi ya friendly use tuu, nini maoni yenu kuhusu hili gari wakuu, je spare zinapatikana? Gharama zake zikoje?
Gari imeshatembea 150,000km mpaka sasa, litre moja ya mafuta ni 13km ....
Chukuaaaa
Chukua hutajuta