Mjinga atachukua namba D bila kuangalia C ina hali gani. Ila mwenye akili hababishwi na namba.Sawa. Kwa sasa namba inabamba kuliko hizo porojo. Wewe unaweza ukawa na Carina ya mwaka 2010 ina yako hiyo ya C,na mimi nikawa na Carina ya mwaka 2004 yenye namba D. Zote zina muonekano sawa,uziweke pamoja zote unaziuza milioni 8. Mjinga gani atachukua C kwanza kabla ya D?
zipo nyingi ni wewe tu ingia hapa zoomtanzania utakuta mawasiliano ya simu ya muuzajiIko wapi ya kuuza 7m?. Mwambie tu aidokoe hiyo azugie zugie mpaka mwakani au atakapokaa sawa
Nina number C, Gari ya 2013.Yaani wewe mpaka leo unababaishwa na namba?!! Hivi hujui kuwa kuna gari ya 2004 ina namba D na ya 2010 ina namba C?
Halafu kuna mtu anavimba ana namba D gari ya 2003!Nina number C, Gari ya 2013.
Wajinga wanao amini gari ni anasa, umaskini huu.Boss kwa jinsi ulivyo jielezea nakushauri bado tulia wakati wako wa kuwa na gari ukifika nunua gari.. hiyo hela invest tu
Mazee nimefanikiwa kuipata ile gari, kikubwa zaidi Fundi alishauri tumwage oil ili tuweke oil upya,Wakuu kwema?
Nimejichangachanga nimepata 5.5m kuna mhindi nilisoma nae chuo anataka kuniuzia Toyota fielder ambayo ni plate number A, plan yangu nilitaka hasa Ist, Sienta au Rav lakini bajeti yangu haitoshi na kila mara nikijaribu kufanya saving matatizo ya kifamilia hujitokeza najikuta napaswa kuyatatua
Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya suala hili,maana sina sina ujuzi wa Magari zaidi ya friendly use tuu, nini maoni yenu kuhusu hili gari wakuu, je spare zinapatikana? Gharama zake zikoje?
Gari imeshatembea 150,000km mpaka sasa, litre moja ya mafuta ni 13km ....
chukua hiyo wahindi hawanaga misele sana zaidi ya kuzunguka kariakoo upanga baaasi km wabongo mara aende Musoma apitie Bukoba Mpaka Nairobi via Kampala ili mradi tu amekula trip na kusanya sanya, trip zote hizo ni hela za abiria!Matumizi hasa ni construction site mitaani hasa Dar es salaam, location gari ipo Upanga,Muhindi yupo vizuri hana njaa