Sijui kama atakuelewa kwa urahisiDeep state kwa Mana Ni C.I.A mkongw anayetekeleza matakwa ya War veterans ipasavyo
Military industry complex inanufaika kupitia yeye
Sapoti ya wastaafu wenye nguvu za kijeshi, Kisiasa na wafanya biashara wakubwa nyuma yk Sio mchezo
Akijisahau aka akabonyeza kitufe cha kulipua nuclear je?
Nipo nawe, watu wanadhani ni rahisi tu. Nukes Authorization needs Codes, kabda rais ajafinya kidude.Yaani watz nuclear tunaichukulia poa sana! Huwa nashangaa sana, hasa humu jf.
Kubonyeza kitufe cha nuclear tunachukulia easy kama kubonyeza kisimi cha mwaju pale uwanja wa fisi.
Kiduku na ukichaa wake wote nuclear anaiheshimu na hawezi kuikurupukia tu, Putin ndo kabisaaaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
USA sio CCM.1. Mara kadhaa ameshaanguka tu hadharani.
2. Kusahau sahau anachotaka kusema.
3. Kumtukana, "What a stupid son of a bitch", mwandishi aliyemuuliza swali khhusu inflation.....huku kipaza sauti kikuwa on (alisahau kukizima).
4. Kupotea njia...n.k
Sasa nachukulia ukubwa wa USA, kiranja wa dunia, mwenye mambo kibaaao ya kuyashughulikia duniani hapa wakati wote na siku zote; inakuaje wawe na raisi asiye na uhakika namna hii?!! Akijisahau aka akabonyeza kitufe cha kulipua nuclear je?
Ni kuheshimu demokrasia tu au ana kitu 'special' huyu Biden wanachokijua wenyewe?!!
Nasikia amesema atagombea tena...๐๐
Alichaguliwa na wananchi wa Marekani na kuthibitishwa na kumshinda vibaya Trump, kwani huko kwenu rais ni nani na kwanini1. Mara kadhaa ameshaanguka tu hadharani.
2. Kusahau sahau anachotaka kusema.
3. Kumtukana, "What a stupid son of a bitch", mwandishi aliyemuuliza swali khhusu inflation.....huku kipaza sauti kikuwa on (alisahau kukizima).
4. Kupotea njia...n.k
Sasa nachukulia ukubwa wa USA, kiranja wa dunia, mwenye mambo kibaaao ya kuyashughulikia duniani hapa wakati wote na siku zote; inakuaje wawe na raisi asiye na uhakika namna hii?!! Akijisahau aka akabonyeza kitufe cha kulipua nuclear je?
Ni kuheshimu demokrasia tu au ana kitu 'special' huyu Biden wanachokijua wenyewe?!!
Nasikia amesema atagombea tena...๐๐
mambo mengine ni editted , ingawaje yapo matukio ya ukweli ila sio sababu ya kumtoa madarakan maana katiba haisemi hivyo , pia USA sio TZ kuwa nchi inaendeshwa na mtu mmoja1. Mara kadhaa ameshaanguka tu hadharani.
2. Kusahau sahau anachotaka kusema.
3. Kumtukana, "What a stupid son of a bitch", mwandishi aliyemuuliza swali khhusu inflation.....huku kipaza sauti kikuwa on (alisahau kukizima).
4. Kupotea njia...n.k
Sasa nachukulia ukubwa wa USA, kiranja wa dunia, mwenye mambo kibaaao ya kuyashughulikia duniani hapa wakati wote na siku zote; inakuaje wawe na raisi asiye na uhakika namna hii?!! Akijisahau aka akabonyeza kitufe cha kulipua nuclear je?
Ni kuheshimu demokrasia tu au ana kitu 'special' huyu Biden wanachokijua wenyewe?!!
Nasikia amesema atagombea tena...[emoji849][emoji849]
Utakuwa ccm bila shaka.1. Mara kadhaa ameshaanguka tu hadharani.
2. Kusahau sahau anachotaka kusema.
3. Kumtukana, "What a stupid son of a bitch", mwandishi aliyemuuliza swali khhusu inflation.....huku kipaza sauti kikuwa on (alisahau kukizima).
4. Kupotea njia...n.k
Sasa nachukulia ukubwa wa USA, kiranja wa dunia, mwenye mambo kibaaao ya kuyashughulikia duniani hapa wakati wote na siku zote; inakuaje wawe na raisi asiye na uhakika namna hii?!! Akijisahau aka akabonyeza kitufe cha kulipua nuclear je?
Ni kuheshimu demokrasia tu au ana kitu 'special' huyu Biden wanachokijua wenyewe?!!
Nasikia amesema atagombea tena...๐๐
Katiba1. Mara kadhaa ameshaanguka tu hadharani.
2. Kusahau sahau anachotaka kusema.
3. Kumtukana, "What a stupid son of a bitch", mwandishi aliyemuuliza swali khhusu inflation.....huku kipaza sauti kikuwa on (alisahau kukizima).
4. Kupotea njia...n.k
Sasa nachukulia ukubwa wa USA, kiranja wa dunia, mwenye mambo kibaaao ya kuyashughulikia duniani hapa wakati wote na siku zote; inakuaje wawe na raisi asiye na uhakika namna hii?!! Akijisahau aka akabonyeza kitufe cha kulipua nuclear je?
Ni kuheshimu demokrasia tu au ana kitu 'special' huyu Biden wanachokijua wenyewe?!!
Nasikia amesema atagombea tena...๐๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmezoea...mqma anafungua nchi...wajeinger nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utakuwa ccm bila shaka.
1. Unafikiri rais wa Marekani ndiye huendesha nchi pekee kama ccm?
2. Unafikiri kitufe cha nyuklia hutembea nacho mfukoni?
Najua hutaelewa kwani macho yako yamejaa ukungu wa kijani[emoji23]
Pamoja na hayo, lazima awe na sound mind. Kujenga hoja, kutetea hoja kuishawishi Congress au Senate juu ya maamuzi au sera fulani. Just think influence ya Rais Obama kwenye mfumo wa afya nchini Marekani hadi kuanzisha bima ya Afya ya Obama care, fikiria mabadiliko ya kisera ya marakani kipindi cha Trump, njoo ulinganishe na kipindi hiki cha Biden. Kwahiyo tukubali tukatae misimamo na mtazamo wa kiongozi wa juu wa nchi/serikali vina influence sera, vipaumbele na utendaji wa serikali.Utakuwa ccm bila shaka.
1. Unafikiri rais wa Marekani ndiye huendesha nchi pekee kama ccm?
2. Unafikiri kitufe cha nyuklia hutembea nacho mfukoni?
Najua hutaelewa kwani macho yako yamejaa ukungu wa kijani[emoji23]