.......mchezo wa mpira wa miguu ni kutafuta nafasi na kuzitumia kuzalisha goli, nafasi ni nini?, nafasi ni mazingira bora na rahisi ya kufunga goli, mfano:ukibaki wewe na kipa au na beki mmoja hiyo ni nafasi, Sasa haya yote simba walipata tena zaidi ya mara mbili au tatu.........
..........kwa nini tumepoteza, ni simple hatukutumia nafasi tulizotengeneza wakati huohuo wenzetu walitengeneza moja na wakaitumia kitu ambacho ndo lengo la mchezo, yaani tafuta nafasi itumie......
..........swali la msingi Kwa nini hatukutumia nafasi zile?, hapa ndo pana majibu mengi na mengine ni dhahania, nayo ni kama yafuatayo:
1.Pengine ndo ubora wetu ulipoisjia
2.Pengine ni kukosa utulivu kwa walipata nafasi
3.Pengine ni hujuma za wachezaji wenyewe
4.Pengine ni kukosa bahati(Alex Ferguson)
NB:kosa alilofanya inonga sio kubwa kuliko la waliotakiwa kutumia nafasi zaidi ya tatu wakashindwa, kama wataamua, uwezekano wa kupindua matokeo upo, goli moja ni la kawaida sana ktk football