wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Hua pale mwanzo kabisa wa biashara ananunua dukni ila kadri siku ziendavuo anapunguza kwenye karai maana kila akikaanga yanaongezeka yenyeweHii nyama huwa ina mafuta sana.
Hivi wakaanga kitimoto cha biashara huwa wana uhitaji wa kununua mafuta ya kukaangia au mafuta ya kitimoto chenyewe yanatosha kukaangia?
View attachment 3242030