Wakaka nipeni jeans zenu....

Nimepokea maombi hayo na kwa taarifa za Intelligensia siruhusu mtu yeyote aingie PM ya mke wangu kwa sasa mpaka pale Mungu atakaponichukua.
Sawa hubby siendi...[emoji8] na Mungu akupe maisha marefuuu sana...
 
naona umekuja kasi humu jf utawapata wengi sana
 
Amen. Kama itakuwa ni uhitaji wa hali ya Juu anifate PM atume hiyo sms yake kisha nitakufowardia. Ukirudisha majibu namrudishia. Kwa hiyo mimi nakuwa Middle man. Sasa ole wake alete sms isyopendeza.
Sawa hubby siendi...[emoji8] na Mungu akupe maisha marefuuu sana...
 
Amen. Kama itakuwa ni uhitaji wa hali ya Juu anifate PM atume hiyo sms yake kisha nitakufowardia. Ukirudisha majibu namrudishia. Kwa hiyo mimi bakuwa Middle man. Sasa ole wake alete sms isyopendeza.
[emoji23] that's my msweety...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…