Wakaka nipeni jeans zenu....

Wakaka nipeni jeans zenu....

7a68c87f29924be1d425762d054747d6.jpg
Hiyo itafaa sana[emoji28] ..ndo unanidolishia...nipe yote yote
 
ewaaala ewaaala....nahisi ntakua na usiku mwanana....hakika...kabla sijasahu ntakupatia buuuure zoote ...natangulia PM
[emoji23] usiku mwanana kisa nimeomba jeans au
 
Hapana,Inakuja na gari isubiri makumbusho ila hujatuambia hayo mautundu yamekaaje.
 
Unaweza ukapiga pesa kama upo seriously,huo mtoko unavaliwa kwenye mazingira gan maana umekaa kiutata sana.
 
Back
Top Bottom