Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23]Hii inawahusu kina Faiza Foxy wawapendezeshe waume zao namna hii, midevu imekubali shampoo na wese la ukweli.
umenifanya nicheke sana...............[HASHTAG]#FEARTHEBEARD[/HASHTAG]
nnazo nzur sanamkaka mwenye ndevu ni mtamu haswaa sio mchezo
unapenda nnAiseee nachukiaga mindevu basi tu
Ha ha ha ha pole mkuuHa ha mkuu hapo kwenye upara naona unanisema sasa[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Vipo vingi sanaunapenda nn
Sisi wenye ndevu bila pesa tutawala sana nyie wanawakemkaka mwenye ndevu ni mtamu haswaa sio mchezo
bae! bae ! bae wa nani hyu anafaidi?
2009 DRAFT NIGHT...LOL! Ndevu zote tisa za huyu jamaa ni kiboko nadhani zina miaka minne au zaidi sasa.
Osama ni....Kwahyo unataka kusema Osama alikuwa mtam sanaa!
Huu ni msitu wa uchafu si ndevu ninazozungumzia. Huyu mathalani angekuwa mchaga halafu akaria kimbege kidogo, kilemba cha mbege kinabaki kwenye ndevu za mdomoni! Aghh! Hiki kitu kinaniletea kichefuchefu sana huku moshi kila nikikiona
cc mzee muhogo mchunguKwahyo unataka kusema Osama alikuwa mtam sanaa!
ngoja niotee! mandingo ndingoVipo vingi sana