Wakaka, rembesheni ndevu zenu

Wakaka, rembesheni ndevu zenu

LOL! Ndevu zote tisa za huyu jamaa ni kiboko nadhani zina miaka minne au zaidi sasa.

umenifanya nicheke sana...............[HASHTAG]#FEARTHEBEARD[/HASHTAG]
 
LOL! Ndevu zote tisa za huyu jamaa ni kiboko nadhani zina miaka minne au zaidi sasa.
2009 DRAFT NIGHT...
James+Harden+2009+NBA+Draft+PanhS0yb9Ezl.jpg
 
Haya mambo ya kukaa kumsikiliza mwanamke, baby nataka uwe hivi, mara uwe vile nilishakataa. Nitakuwa smart tu fulu stopu
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
 
Huu ni msitu wa uchafu si ndevu ninazozungumzia. Huyu mathalani angekuwa mchaga halafu akaria kimbege kidogo, kilemba cha mbege kinabaki kwenye ndevu za mdomoni! Aghh! Hiki kitu kinaniletea kichefuchefu sana huku moshi kila nikikiona
 
Back
Top Bottom