stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Ukiona mwanaume amepitiliza kuoga na ananyata sana ujue ana tabia za kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nachangamsha genge tu😂Ndo fikra za wabongo, mwanaume akiwa msafi bas ni GAY.
kazii ipoo lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani majuzi tu (Ijumaa) nilikuwa maeneo ya Posta mpya kwenda kuchukua barua zangu nikakutana na mdada na nikampa lift.....mdada ni mzuri ile mbaya. Aliniboa alipovaa magunia na hijab na alikuwa ananuka makwapa nahisi hata na chupi pia, ilinibidi nifungue vioo vya gari na pale pale hisia ya kutaka mtongoza ilinitoka. Yaani joto hili unavaaje magunia na hijab?Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari tajwa...
Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...
Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..
Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...
Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...
Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...
Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...
Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..
Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..
Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...
Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..
Tunakumbushana tu...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] saivi ni msimu wa kuvaa nguo nyepesiYaani majuzi tu (Ijumaa) nilikuwa maeneo ya Posta mpya kwenda kuchukua barua zangu nikakutana na mdada na nikampa lift.....mdada ni mzuri ile mbaya. Aliniboa alipovaa magunia na hijab na alikuwa ananuka makwapa nahisi hata na chupi pia, ilinibidi nifungue vioo vya gari na pale pale hisia ya kutaka mtongoza ilinitoka. Yaani joto hili unavaaje magunia na hijab?
Mimi nimeoga dakika chache zilizopita ingawa maji ya kupima ila naamini nimetakata[emoji2]Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari tajwa...
Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...
Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..
Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...
Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...
Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...
Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...
Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..
Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..
Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...
Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..
Tunakumbushana tu...
Hili ni jambo la maendeleo mwache afoke tu[emoji2]Usitufokee sasa
😬😬😬Hili ni jambo la maendeleo mwache afoke tu[emoji2]
[emoji2][emoji51][emoji51][emoji51]
Sielewi kwanini hawajuwi hili, au mtu unavaa jeans kwenye hili joto...Waafrika tunajivalia tu nguo bila kujuwa uhalisia wake. Joto la Dar mwanamke unadiriki kuvaa magunia kweli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] saivi ni msimu wa kuvaa nguo nyepesi
Naimagine jasho la mkaka asieoga sipati picha!Nini mamii...