Wakaka wavivu wa kuoga jua kali, muoge mtanuka

Wakaka wavivu wa kuoga jua kali, muoge mtanuka

Ukiona mwanaume amepitiliza kuoga na ananyata sana ujue ana tabia za kike
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa...

Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...

Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..

Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...

Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...

Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...

Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...

Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..

Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..

Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...

Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..

Tunakumbushana tu...
Yaani majuzi tu (Ijumaa) nilikuwa maeneo ya Posta mpya kwenda kuchukua barua zangu nikakutana na mdada na nikampa lift.....mdada ni mzuri ile mbaya. Aliniboa alipovaa magunia na hijab na alikuwa ananuka makwapa nahisi hata na chupi pia, ilinibidi nifungue vioo vya gari na pale pale hisia ya kutaka mtongoza ilinitoka. Yaani joto hili unavaaje magunia na hijab?
 
Yaani majuzi tu (Ijumaa) nilikuwa maeneo ya Posta mpya kwenda kuchukua barua zangu nikakutana na mdada na nikampa lift.....mdada ni mzuri ile mbaya. Aliniboa alipovaa magunia na hijab na alikuwa ananuka makwapa nahisi hata na chupi pia, ilinibidi nifungue vioo vya gari na pale pale hisia ya kutaka mtongoza ilinitoka. Yaani joto hili unavaaje magunia na hijab?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] saivi ni msimu wa kuvaa nguo nyepesi
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa...

Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...

Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..

Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...

Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...

Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...

Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...

Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..

Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..

Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...

Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..

Tunakumbushana tu...
Mimi nimeoga dakika chache zilizopita ingawa maji ya kupima ila naamini nimetakata[emoji2]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] saivi ni msimu wa kuvaa nguo nyepesi
Sielewi kwanini hawajuwi hili, au mtu unavaa jeans kwenye hili joto...Waafrika tunajivalia tu nguo bila kujuwa uhalisia wake. Joto la Dar mwanamke unadiriki kuvaa magunia kweli?
 
Sikiliza mtoa mada kwani kwapa Kako langu, kunuka upindo WA boksa wako wanguuu...mke wangu walaaa hapati shidaa...Bora niinjoii kikirikikiikiii joto lenyewe fupiii hiliii kwanini uteseke rohooo na wewe usiogeee njooo
😂
 
Sio wanaume wote wachafu, ila wanaume wengi wanazingua ni wachafu alafu bado pesa hawana....mimi kama mimi huwa naoga kila siku, ingawa nipo sehemu za baridi.
 
Back
Top Bottom