Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mara ya mwisho kumuogesha baba watoto ilikuwa lini 😀[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ya mwisho kumuogesha baba watoto ilikuwa lini 😀[emoji1787][emoji1787]
Toroka uje unielekeze na mimi, ili ning'ae nisije kuchekwa na watuSisi kuogeshana kawaida...
Tunasuguana mgongo ..
Hii story ndefu sana, watu wakazusha eti aligeuza pale pale akarudi zake USA lakini wapi jamaa alifika mpaka pale Ikulu akaonana na Mwinyi na wakapiga story freshMichael Jackson mwaka 1972 alipotua na ndege Bongo alishika pua akisema kuna harufu mbaya.
Kuna stori nyingi kuhusu ujio wake.Hii story ndefu sana, watu wakazusha eti aligeuza pale pale akarudi zake USA lakini wapi jamaa alifika mpaka pale Ikulu akaonana na Mwinyi na wakapiga story freshView attachment 2785777
Kama binti sio msafi lazima inuke.Hizo story za vijana kama wewe, mnadanganyana kuwa Ke inanuka...
Ukikua utaacha...
Tanga huko mkuu, enzi zile nipo maeneo yale.Wapi mkuu?
Mwanaume ni mtoto kwa sisi wengine...
Sister umekariri na aliekwambia kakudanganya.Bado unautoto, ukiwa mwanaume utajua...
Bora dada uwape na ukweli wao wanaojiona wao ndio wasafi sn 24/7 km malaika walio na miili ya plastic na sio ya nyama km sieNa wadada ogeni vizuri jamani
Sugua kwapa hizo
Sugua mstari wa ikweta huo
Sugua masikio
Kucha ziwe Safi
Sugua gaga
Badilisha hiyo pedi
Fanya steam bath baada ya siku zetu zile
Sugua huo ulimi,sugua kakaa gumu,sukutua hadi kooni toa hiyo harufu
Safisha hiyo pua
Nenda sauna walau Mara moja kwa mwezi kama unaweza afford ni elfu kumi..fanya scrub huo mwili ulainike wewe sio azizi Ki
Au basi....nitakuja na uzi wangu!!!!
Wale mabonge chini ya maziwa akiwa kwa juu yko hv mnanyanduana basi ile harufu ni shida mwshowe hd mzuka unakata chololoo inalalaKuna kimoja umekisahau sana sana mabonge jamani kuna weupe fulani hivi upo sehemu huwa siupendi kabisa wajifunze kutumia dawa bhna...
Unakuata ukinjua kuna harufu fulani hivi inakera
[emoji23]kivukoni kwamba ni shombo ya kule FERI ama vpKama binti sio msafi lazima inuke.
Dada kuna ke ni kivukoni aisee, acha ubishi.
Kwani nawewe dada kisirani au🤔Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari tajwa...
Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...
Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..
Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...
Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...
Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...
Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...
Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..
Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..
Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...
Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..
Tunakumbushana tu...
Exactly.[emoji23]kivukoni kwamba ni shombo ya kule FERI ama vp