Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Tuko vitani tunakaribia kukumbwa na majanga hivyo usafi wa nafsi ni bora zaidi kuliko wa mwili kipindi hiki cha dharura
Nani kakudanganya I'm anything less.Uzuri JF Ina madokta wazuri watakuja kukwambia...
[emoji23] inatufundsha ya kwamba mwanaume kuoga oga kila muda huo ni umama unapoelekea kuwa choko,popomao level niliyosoma kuna jamaa alikua msafi kweli kweli, anaoga asubuhi na jioni, siku zingine hadi na mchana..... siku moja nikamkuta ananyonya ndonga ya mwanaume mwenzake
haya, hadithi yetu inatufundisha nini?
o level niliyosoma kuna jamaa alikua msafi kweli kweli, anaoga asubuhi na jioni, siku zingine hadi na mchana..... siku moja nikamkuta ananyonya ndonga ya mwanaume mwenzake
haya, hadithi yetu inatufundisha nini?
Mkuu umesema jambo la muhimu sana, jana nililazimika kuhama siti kwenye bus nikaenda kukaa juu ya mfuniko wa injini baada ya jirani yangu kunuka aina mpya ya kikwapa sijui ilikuwa ni mchanganyiko wa jasho na kitu gani sikuelewaHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari tajwa...
Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...
Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..
Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...
Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...
Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...
Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...
Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..
Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..
Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...
Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..
Tunakumbushana tu...
Wewe mbona nakujua mwanaume, naongea na wakaka...Ujumbe mzuri, ila ubaya ni kwamba reference umeifanya toka kwa mtu mmoja. Mtu ambae huwa unamuona kila asubuhi anawahi kuvaa kabla hajapiga mswaki.
Usisahau kumwambia shemeji, aache hiyo tabia.
Pesa sio kila kitu...
Hasa mapenzi yanahitaji usafi...
Unanuka nani atakutaka...
Mkuu umesoma aya kwa ayaOSHA mbunye hiyo harufu ndo yatokea huko usimngizie mwamba
Kule wapi?kama kwapa na kule...