Wakaka wavivu wa kuoga jua kali, muoge mtanuka

Wakaka wavivu wa kuoga jua kali, muoge mtanuka

Tungeweza kupaka perfume mchanganyiko kama nyie na tukanukia harufu ya kiarabu ambayo wewe ungependa.

Ila kwasababu wengine tulikataa tangu mwanzo kupewa sifa ambazo hazituhusu ndio maana leo unapata fursa ya kuyasema haya.
 
o level niliyosoma kuna jamaa alikua msafi kweli kweli, anaoga asubuhi na jioni, siku zingine hadi na mchana..... siku moja nikamkuta ananyonya ndonga ya mwanaume mwenzake

haya, hadithi yetu inatufundisha nini?
[emoji23] inatufundsha ya kwamba mwanaume kuoga oga kila muda huo ni umama unapoelekea kuwa choko,popoma
 
o level niliyosoma kuna jamaa alikua msafi kweli kweli, anaoga asubuhi na jioni, siku zingine hadi na mchana..... siku moja nikamkuta ananyonya ndonga ya mwanaume mwenzake

haya, hadithi yetu inatufundisha nini?
1697643410006.png
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa...

Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...

Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..

Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...

Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...

Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...

Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...

Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..

Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..

Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...

Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..

Tunakumbushana tu...
Mkuu umesema jambo la muhimu sana, jana nililazimika kuhama siti kwenye bus nikaenda kukaa juu ya mfuniko wa injini baada ya jirani yangu kunuka aina mpya ya kikwapa sijui ilikuwa ni mchanganyiko wa jasho na kitu gani sikuelewa
 
Ujumbe mzuri, ila ubaya ni kwamba reference umeifanya toka kwa mtu mmoja. Mtu ambae huwa unamuona kila asubuhi anawahi kuvaa kabla hajapiga mswaki.

Usisahau kumwambia shemeji, aache hiyo tabia.
Wewe mbona nakujua mwanaume, naongea na wakaka...
Shemeji huyu huyu ninyemuogesha mwenyewe...

[emoji1787][emoji1787]

Haiwezekani...

Nakata rufaa..
 
Halafu kingine inawezekana swala la kunuka likawa ni matatizo yako tu binafsi na pua zako.

Michael Jackson mwaka 1972 alipotua na ndege Bongo alishika pua akisema kuna harufu mbaya.

Yes Bongo hii hii ambayo wewe unapata fresh air lakini kwa Michael Jackson ilikuwa ni tofauti.

Sasa sisi kama nchi unafikiri tulihitaji kui-spray perfume nchi ili kumfurahisha Michael Jackson aseme inanukia vizuri?

Je ni kweli kuwa Tanzania inanuka au tuende mbali kuanza ku-question uwezo wa pua ya MJ kwenye kunusa?

Kwanini tusifikirie hivyo hivyo kwenye hii case yako?
 
Back
Top Bottom