Wakaka wavivu wa kuoga jua kali, muoge mtanuka

Wakaka wavivu wa kuoga jua kali, muoge mtanuka

Na wadada ogeni vizuri jamani
Sugua kwapa hizo
Sugua mstari wa ikweta huo
Sugua masikio
Kucha ziwe Safi
Sugua gaga
Badilisha hiyo pedi
Fanya steam bath baada ya siku zetu zile
Sugua huo ulimi,sugua kakaa gumu,sukutua hadi kooni toa hiyo harufu
Safisha hiyo pua
Nenda sauna walau Mara moja kwa mwezi kama unaweza afford ni elfu kumi..fanya scrub huo mwili ulainike wewe sio azizi Ki

Au basi....nitakuja na uzi wangu!!!!
 
Na wadada ogeni vizuri jamani
Sugua kwapa hizo
Sugua mstari wa ikweta huo
Sugua masikio
Kucha ziwe Safi
Sugua gaga
Badilisha hiyo pedi
Fanya steam bath baada ya siku zetu zile
Sugua huo ulimi,sugua kakaa gumu,sukutua hadi kooni toa hiyo harufu
Safisha hiyo pua
Nenda sauna walau Mara moja kwa mwezi kama unaweza afford ni elfu kumi..fanya scrub huo mwili ulainike wewe sio azizi Ki

Au basi....nitakuja na uzi wangu!!!!
Nakazia
 
Kuna kimoja umekisahau sana sana mabonge jamani kuna weupe fulani hivi upo sehemu huwa siupendi kabisa wajifunze kutumia dawa
Fafanua mkuu...

Mabonge nao hawajui kuoga...

Mi ndomana sipendi unene...
 
Kuna kimoja umekisahau sana sana mabonge jamani kuna weupe fulani hivi upo sehemu huwa siupendi kabisa wajifunze kutumia dawa bhna...
Unakuata ukinjua kuna harufu fulani hivi inakera
Nitakuja na uzi kamili leo zamu ya wanaume kufundishwa kuoga
 
Na wadada ogeni vizuri jamani
Sugua kwapa hizo
Sugua mstari wa ikweta huo
Sugua masikio
Kucha ziwe Safi
Sugua gaga
Badilisha hiyo pedi
Fanya steam bath baada ya siku zetu zile
Sugua huo ulimi,sugua kakaa gumu,sukutua hadi kooni toa hiyo harufu
Safisha hiyo pua
Nenda sauna walau Mara moja kwa mwezi kama unaweza afford ni elfu kumi..fanya scrub huo mwili ulainike wewe sio azizi Ki

Au basi....nitakuja na uzi wangu!!!!
Ikweta ndo hatari zaidi kwa wengi....
 
Wakishaoga utawapa "utamu" reward ni muhimu kama motivation kwa vijana wetu wavivu wa kuoga.
Please zingatia uwapoze kiaina.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari tajwa...

Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...

Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua kama hili..

Naongea na nyie wakaka ambao hamtaki kuoga mnanawa nawa tu...

Mnajijua nyinyi ambao mnavaa nguo kwanza ndo mpige mswaki...

Ndio nyie ambao mnavaa nguo hasa suruali mnarudia wakati hamuogi...

Mnabisha nini wakati hamuogi mnanuka kwapa kama Nini...

Nasemaje muoge jua limekuwa kali sana, Tena muoge mtakate sio kujimwagia maji..

Mara sisi wakaka hatunuki, acheni kujipa sifa za kijinga joto ni Kali..

Kila sehemu zilizojificha zinamwaga maji, kama kwapa na kule...

Nimesema muoge mtakate sio kupiga paspoti..

Tunakumbushana tu...
Dar kila mtu ananuka kikwapa, si wasichana si wanaume. Kama wasichana ndiyo kabisaa hawajui kutumia marashi na vipodozi. Majuu ukiingia nyumba au ofisi au gari lenye wanawake kitu cha kwanza unachokutana nacho ni harufu nzuri japo wanawaume wanaweza kuwa wananuka. Bongo sasa.... wasichana kwa vikwapa ni balaa. Ukiingia sehemu yenye wasichana wengi unakaribishwa na kikwapa kikali sana. NB: najua Dar wanawake wengi wanajitahidi kuoga lakini tatizo hawajui kutumia vipodozi na manukato hivyo kwa sababu ya joto hawakawii kunuka kikwapa.
 
Dar kila mtu ananuka kikwapa, si wasichana si wanaume. Kama wasichana ndiyo kabisaa hawajui kutumia marashi na vipodozi. Majuu ukiingia nyumba au ofisi au gari lenye wanawake kitu cha kwanza unachokutana nacho ni harufu nzuri japo wanawaume wanaweza kuwa wananuka. Bongo sasa.... wasichana kwa vikwapa ni balaa. Ukiingia sehemu yenye wasichana wengi unakaribishwa na kikwapa kikali sana. NB: najua Dar wanawake wengi wanajitahidi kuoga lakini tatizo hawajui kutumia vipodozi na manukato hivyo kwa sababu ya joto hawakawii kunuka kikwapa.
Kuna mtu aliandika huku kuwa watanzania wengi wao hawatumii deodorant...
 
Back
Top Bottom