Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli na mwinyi hawatokaa wawe Marais Tena wa nchii hii save hii statement kwenye memory yako.
Futa haraka utachekwa[emoji1787][emoji1787]Magufuli na mwinyi hawatokaa wawe Marais Tena wa nchii hii save hii statement kwenye memory yako.
Aapishwe tu huku akisubiri Icc, kama waziri wa ulinziKura alizopata Hussein Mwinyi leo zimesha tosha kumtangaza kama mshindi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wanapenda kucheza regae wakiwa na viparaSie tuko na mwinyi wetu tunakunywa juisi ya machenza tu saizi nyie andamaneni mkutane na moto
Kwahiyo Seif atakuwa rais kwa kupewa kama Daud?Dola haigawanywi kwa hesabu zetu hizi. Madaraka hayana mambo ya logic. Ndio maana Daud aliyekuwa mchunga ng'ombe alipewa madaraka badala ya ndugu zake waliokuwa watanashati
Haya maswali hayataulizwa maana ZEC ikishatamka tu, hakuna mahakama itapokea hii kesiHizo si ni nusu ya kura zote sasa ina maana zanzibar kuna watumishi wote hao?
ZANZIBAR ikombolewe kwa Mtutu kama Zuluma ni za waziwazi hivi.Kura alizopata Hussein Mwinyi leo zimesha tosha kumtangaza kama mshindi.
maalim seif anatakua rais wa wasafiKwahiyo Seif atakuwa rais kwa kupewa kama Daud?
Unaweza kuthibitisha?Pole sana CHAUMMA. Pole sana Mh. Rungwe kwa msiba huu mzito. Huyu ameuwawa na waliopo mamlakani katika harakati zao za kuhakikisha wanabaki madarakani kwa namna yoyote
Kwahiyo hata kama amekosea adhabu yake ni kuuawa?Sasa Mr. Wakala saa sita ucku kituo cha kupiga kura inatafuta nn
Ukisikia kokote duniani ambako kulitokea mauaji ya halaiki ni WATAWALA NDIO WALIHUSIKA.Mwana wa kulitafuta, mwana wa kulipata. Inalilah waiinalilah raijuni
Sometimes naombal hali iwe worse ili na ikiwezekana kila mmoja aguswe labda ndio huu ubinafsi utaisha.Poleni sana.
Wakifanyiwa CHADEMA /Lissu mnakaa kimya, hayatuhusu. Lisu alisema hakuna aliye salama! Badala ya kuungna na CDM na ACT tukamngoa nduli mnashirikian na CCM kugawana kura. Kuna la kujifunza hapa!
Poleni tena.
Vip unaweza kushika mtutu[emoji23][emoji23] au unategemea mtu kupambana kwa niaba yako?ZANZIBAR ikombolewe kwa Mtutu kama Zuluma ni za waziwazi hivi.
Wanadhani wanajenga...Kwahiyo hata kama amekosea adhabu yake ni kuuawa?
Yaani wewe huwa ni mjinga sijapata kuona!Kuweni makini na Chadema wanawahujumu
Mauaji ya halaiki yanaanzaje kutokea TZ kwa kipi?Ukisikia kokote duniani ambako kulitokea mauaji ya halaiki ni WATAWALA NDIO WALIHUSIKA.
FULL STOP.
Tumuombe Mola atupe hekima na awape moyo wa upendo na huruma walioko madarakani
Kuthibitisha kuwa kauwawa na policcm?Unaweza kuthibitisha?
Unasimanga adi maiti, wewe kweli hatari.Mwana wa kulitafuta, mwana wa kulipata. Inalilah waiinalilah raijuni