Mbatizaji Mkuu
Member
- Jul 19, 2020
- 39
- 128
Unaumwa ugonjwa mbayaMagufuli na mwinyi hawatokaa wawe Marais Tena wa nchii hii save hii statement kwenye memory yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaumwa ugonjwa mbayaMagufuli na mwinyi hawatokaa wawe Marais Tena wa nchii hii save hii statement kwenye memory yako.
Allah yupi huyo anaependelea uonevu na kupora haki ya mwingine?Allah atupe nusra tuvuke salama
Nani alaaniwe sasa kama si Jiwe na CCM yake?Hili si la kuunga mkono hata kidogo, halifai na linatakuwa kulaaniwa na kila mtu
Ndio adhabu yake kupigwa risasi?Wakala saa sita usiku kituoni unafanya nini?
Nani atakuwa makomo wa kwanza wa raisi?maalim seif anatakua rais wa wasafi
babu duniNani atakuwa makomo wa kwanza wa raisi?
Namkubali sana huyu mwamba, mzee wa kifo cha....babu duni
Bado Tanzania bara kesho,kura atakazo pata JPM ,kibaraka wenu lazima akimbilie tena ubeligijiKura alizopata Hussein Mwinyi leo zimesha tosha kumtangaza kama mshindi.
Ushindi wa Mwinyi unaandikwa kwa wino wa damu ya wasio na hata.
Ndoto hii haitajirudia tena kesho.Magufuli na mwinyi hawatokaa wawe Marais Tena wa nchii hii save hii statement kwenye memory yako.
Unaota ndoto za mchana.ZANZIBAR ikombolewe kwa Mtutu kama Zuluma ni za waziwazi hivi.
Wala sioti huo ndio ukweliUnaota ndoto za mchana.
Kwani hao waliopigwa walitaka kufanya nini?Wala sioti huo ndio ukweli
Ameen....MUNGU WA KWELI ATATENDAMagufuli na mwinyi hawatokaa wawe Marais Tena wa nchii hii save hii statement kwenye memory yako.
Kura alizopata Hussein Mwinyi leo zimesha tosha kumtangaza kama mshindi.
Poleni sana makamandaViongoz wa CHAUMMA Tupo mazikoni kwa wakala wetu aliyepigwa risasi Jana Usiku majira ya saa 6 usiku katika kituo cha kupiga kura skuli ya vitongoji Jimbo la wawi...
Poleni sana. Ila tufahamishwe huyo wakala alikuwa anafanya nini kwenye kituo cha kupigia kura saa sita za usiku???Viongoz wa CHAUMMA Tupo mazikoni kwa wakala wetu aliyepigwa risasi Jana Usiku majira ya saa 6 usiku katika kituo cha kupiga kura skuli ya vitongoji Jimbo la wawi...
Poleni wafiwa.ana Usiku majira ya saa 6 usiku katika kituo cha kupiga kura skuli ya vitongoji Jimbo la wawi.
Yalianzaje huko kwingine yalikotokea? Ukipata jawabu lenye akili utanijuzaMauaji ya halaiki yanaanzaje kutokea TZ kwa kipi?