SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
- Thread starter
-
- #21
Mkuu uwe unani'tag next time aiseee.gangrel Kamanda Muq Blaki Womani comrade igwe joefrancy jeepee007 Robert James Masunga Mussolin5 Mondray wambura marwa faplo18 Ochuanilove kisukari naan ngik-kundie miss chagga lusban TRUTH gasper Ms.Lincoln ukhuty Mpyena Blazze aggyd kulubule Juma chief Shokonzi Clkey saneneto Luvanga1 coffea havanna Ilankunda1234 intrinsic-motivation soud35 Tumosa ganja gal mtoto wa fitina kingdid Mtepetallah Prisss Evarist Massawe Shunie kalomop sumbwi Ls man mtzmweusi mnadhimu mkuu wa jf MBIIRWA Asseypaul
Ahsante sana mkuu wangu. Karibu tena.Mkuu uwe unani'tag next time aiseee.
Thanks kwa makala fupi,tamu na iliyopangiliwa vizuri sana.
Keep it up Mkuu.
Kama ilivyoanishwa, kulikuwa kuna 'mtandao' ka Mafia ndani ya huo mji. Kulipuana na kuchomana ni mojawapo ya kitu cha kawaida kutokea.Huyo jamaa kwa mauaji ya mwisho kupigwa risas hadi kunyauka ilikuwa vip had mama akafanya hiyo kitu
Utatoa watu nyonga mkuu! [emoji23]Huko New orleans ukipita na shoka jion jioni lazima watu walale mapema, watajua axeman amerudi
Jiji la New Orleans lina historia nyingi za kusisimua. Ni jiji ambalo lina orodha ya mambo mengi ya ajabu kutukia, hisia za uwepo wa vampires, demons and ghosts.Asanteee mkuu steve mollel,, :
Huu mji wa New Orleans ni mji ambao una historia yakee kumbee no wonder Movie ya ''the Originals.'' ime-actiwa huko pia
Oooh sawa sawa mkuu,,,Jiji la New Orleans lina historia nyingi za kusisimua. Ni jiji ambalo lina orodha ya mambo mengi ya ajabu kutukia, hisia za uwepo wa vampires, demons and ghosts.
☆Steve
halafu akawachezesha jazzSipati picha wakazi wa mji huo jinsi walivyoishi kwa hofu kuu na mateso ndani yake!!! pamoja sana mkuu SteveMollel
Huyu jamaa alikua mtukutu wa kiwango cha juu sana.halafu akawachezesha jazz
Mungu atujaalie uzima mkuu. Mambo yapo mengi sana, ni muda tu.Oooh sawa sawa mkuu,,,
Natumai utafungua nondo nyingine kuhusiana hao Blood suckers(vamps) huko New Orleans
Si mchezo mkuu. Mji ulikuwa haukaliki!Duh huyo jamaa alitisha sana.
[emoji23] [emoji23] fala sana huyu mtu. Aliamua jiji zima lipige mziki gani.halafu akawachezesha jazz