Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila wiki natuma mara moja mkuu.Asante mkuu kwa makali nikuombe makala nyingi na Kali zaid kutoka kwako
Salute mkuugangrel Kamanda Muq Blaki Womani comrade igwe joefrancy jeepee007 Robert James Masunga Mussolin5 Mondray wambura marwa faplo18 Ochuanilove kisukari naan ngik-kundie miss chagga lusban TRUTH gasper Ms.Lincoln ukhuty Mpyena Blazze aggyd kulubule Juma chief Shokonzi Clkey saneneto Luvanga1 coffea havanna Ilankunda1234 intrinsic-motivation soud35 Tumosa ganja gal mtoto wa fitina kingdid Mtepetallah Prisss Evarist Massawe Shunie kalomop sumbwi Ls man mtzmweusi mnadhimu mkuu wa jf MBIIRWA Asseypaul
Mkuu Eiyer nasoma hizi makala zako kila Mara nipatapo muda najiuliza hivi?Kwa sisi tunaoangalia mambo kwa namna tofauti kabisa tumeona mengi kwenye hili tukio lililokuwa linatokea kwa mtindo wa series...
Hawa watu huwa wanaacha signature zao na mara moja ukizijua tu unajua ni nani aliyefanya haya matukio....
Natamani kukujibu lakini tutaharibu uzi wa watu mkuu wangu....Mkuu Eiyer nasoma hizi makala zako kila Mara nipatapo muda najiuliza hivi?
Huyu Nimrod mjukuu wa Nuhu na mtoto wa Ham,mkewe Semiramis na mtoto wao Tamuz
Mpk walipoamua kuunda utatu wao wa kikanjanja kanjanja
Sasa mbn km hadithi yao inafanana na ule 'Utatu Mtakatifu'? hapa nani alianza na huu utatu? Km ni wao akina tamuz ,huu tunaousoma utatu mtakatifu umeanzia wapi?
Ilipita miaka mingapi toka utatu huo wa akina Semiramis, nimrod na Tamuz ,hadi utatu huu mtakatifu?
Maswali mengi ila majibu sina
samahani nahamishia swali kule ktk ule uziNatamani kukujibu lakini tutaharibu uzi wa watu mkuu wangu....
Lets hope for another time....
Okay....samahani nahamishia swali kule ktk ule uzi
Mkuu tushushie basi mambo, wewe unaona nini hapo katika jicho la tatu?Kwa sisi tunaoangalia mambo kwa namna tofauti kabisa tumeona mengi kwenye hili tukio lililokuwa linatokea kwa mtindo wa series...
Hawa watu huwa wanaacha signature zao na mara moja ukizijua tu unajua ni nani aliyefanya haya matukio....
Nitakueleza kidogo sana ili tusiharibu uzi wa mkuu hapo...Mkuu tushushie basi mambo, wewe unaona nini hapo katika jicho la tatu?
Sasa basi kuwa wazi, saa sita na robo usiku (muda wa dunia) Jumanne ijayo (March 19, 1919), nitakatiza jiji la New Orleans. Kwa huruma yangu ndogo, nitawahitaji mfanye jambo fulani dogo. Hili hapa:
Hapana mkuu sijui! Naomba uendelee kunieleweshaNitakueleza kidogo sana ili tusiharibu uzi wa mkuu hapo...
Muuaji alisema atakatiza kwenye jiji siku ya tarehe 19/03/1919..
Nanukuu..
Hii ni signature na ziko nyingi tu hapo lakini nakupa moja tu....
19031919 = 33 [1+9+0+3+1+9+1+9]
Najua unajua 33 ni kitu gani.....