Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Pole,siku nyingine maana hii siyo mada ya haya mambo....Hapana mkuu sijui! Naomba uendelee kunielewesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole,siku nyingine maana hii siyo mada ya haya mambo....Hapana mkuu sijui! Naomba uendelee kunielewesha
Hahaha mkuu wachokoza mada na kukimbia tena.Pole,siku nyingine maana hii siyo mada ya haya mambo....
hapana mkuu sijakimbia ila tutauchafua uzi wako na mambo mengine ambayo hayahusiani na uzi wako....Hahaha mkuu wachokoza mada na kukimbia tena.
☆Steve
Nashukuru mkuu. Ila waweza pia kuanzisha uzi mpya tukapata maneno yako.hapana mkuu sijakimbia ila tutauchafua uzi wako na mambo mengine ambayo hayahusiani na uzi wako....
Nimekusoma mkuu....Nashukuru mkuu. Ila waweza pia kuanzisha uzi mpya tukapata maneno yako.
☆Steve
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Nimependa makala yakoVip mkuu?
☆Steve
Na ndio muuaji sahihi Huyo, that's why mauaji yalikomaKama ilivyoanishwa, kulikuwa kuna 'mtandao' ka Mafia ndani ya huo mji. Kulipuana na kuchomana ni mojawapo ya kitu cha kawaida kutokea.
Mjane wa Peptone alipata taarifa kwamba muuaji wa shoka ni Momfre. Japokuwa haikuthibitishwa na polisi yeye akaona alipe kisasi kwa kumwagia risasi.
☆Steve
Kabisa mkuu. Maana aliwaimbisha Jazz jiji zima.Nadhani nyakati hizo New Orleans ilikuwa na hofu za hatari...Na Axeman angeamrisha lolote lingefanyika.
Vipi kama muuaji aliondoka kabla hajauawa? Vipi kama alishatimiza haja yake na hivyo hakuwa na haja ya kuendelea?Na ndio muuaji sahihi Huyo, that's why mauaji yalikoma
Vipi kama muuaji aliondoka kabla hajauawa? Vipi kama alishatimiza haja yake na hivyo hakuwa na haja ya kuendelea?Na ndio muuaji sahihi Huyo, that's why mauaji yalikoma