Wakala wa kuzimu aliyetumwa na mafia

Wakala wa kuzimu aliyetumwa na mafia

huo mwaka sasa si ndio vita ya kwanza ya dunia
 
Nadhani nyakati hizo New Orleans ilikuwa na hofu za hatari...Na Axeman angeamrisha lolote lingefanyika.
 
Kama ilivyoanishwa, kulikuwa kuna 'mtandao' ka Mafia ndani ya huo mji. Kulipuana na kuchomana ni mojawapo ya kitu cha kawaida kutokea.

Mjane wa Peptone alipata taarifa kwamba muuaji wa shoka ni Momfre. Japokuwa haikuthibitishwa na polisi yeye akaona alipe kisasi kwa kumwagia risasi.




☆Steve
Na ndio muuaji sahihi Huyo, that's why mauaji yalikoma
 
Na ndio muuaji sahihi Huyo, that's why mauaji yalikoma
Vipi kama muuaji aliondoka kabla hajauawa? Vipi kama alishatimiza haja yake na hivyo hakuwa na haja ya kuendelea?




☆Steve
 
Aisee nondo za maana... Nimehisi kama na angalia filam vile
 
Back
Top Bottom