Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Possible to some extent, ila hatujui pia kama alikuwa amemaliza homework yake, so pengine kuuwawa ndio kulimaliza tatizo.Vipi kama muuaji aliondoka kabla hajauawa? Vipi kama alishatimiza haja yake na hivyo hakuwa na haja ya kuendelea?
☆Steve
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Karibu sana mkuu. Huwa zinashuka kila wiki.Aisee nondo za maana... Nimehisi kama na angalia filam vile
Mkuu huwa nashusha haya mambo kila wiki mbona. Ushajaa orodhani.Mkuu SteveMollel, kumbe huwa una hizi makitu! Please mkuu, naomba uniweke kwenye taglist yako.
Ni kweli. Wote tunaishia kwenye pengine...Possible to some extent, ila hatujui pia kama alikuwa amemaliza homework yake, so pengine kuuwawa ndio kulimaliza tatizo.
Hahhaa mkuu sikukuona hapa karibuni. Usijali sitakusahau tena.Kama kawaida yako, hutaki kunitag.
Siku nyingine hizi nondo uwe unaniita
Fanya uwezalo ukishusha nizipate mapema iwezekanavyoKaribu sana mkuu. Huwa zinashuka kila wiki.
☆Steve
Nitafanya kila liwezekenalo, mkuu. [emoji4] wewe tu usiwe mvivu.Fanya uwezalo ukishusha nizipate mapema iwezekanavyo
Mimi ni mfatiliaji sana mkuuNitafanya kila liwezekenalo, mkuu. [emoji4] wewe tu usiwe mvivu.
☆Steve
Dah, nitashukuru sana mkuu...maana hizi ndo kitu roho inapenda. Huwa kila siku nawinda zile nondo za mkuu @TheBold, na yeye nimemuomba mara kadhaa aniweke kwenye taglist yake lkn bado, sijui ni manchester yule! Hahaaaa!!Mkuu huwa nashusha haya mambo kila wiki mbona. Ushajaa orodhani.
☆Steve
Hhahaha Machester wanahusikaje sasa mkuu? Anyway atakuwa anasahau. Karibu jamvini mkuu. Nishakutia orodhani.Dah, nitashukuru sana mkuu...maana hizi ndo kitu roho inapenda. Huwa kila siku nawinda zile nondo za mkuu @TheBold, na yeye nimemuomba mara kadhaa aniweke kwenye taglist yake lkn bado, sijui ni manchester yule! Hahaaaa!!
Mkuu, akiwa manchester halafu ajue mimi ni wa kule kwa wabaya wao inaweza kula kwangu ati!Hhahaha Machester wanahusikaje sasa mkuu? Anyway atakuwa anasahau. Karibu jamvini mkuu. Nishakutia orodhani.
☆Steve