GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #41
Ninasikitika wengine wanamsifu Kocha.Yule kocha mbona imeonekana wazi ana tatizo na Kagere siku nyingi, kuna mechi ya CAF alimpanga Mugalu jamaa akakosa nafasi nyingi sana za wazi mpaka kocha akaona aibu ndio akamtoa...
I know akiulizwa atasema ni maamuzi yake asiingiliwe but he is not our God, he acted too selfish, hakumtendea haki Kagere.Ninasikitika wengine wanamsifu Kocha.
Zilibaki sub mbiliHuyo meneja mpuuzi.... je kocha wa zamani kishingo alikuwa anampanga kagere?
Kwanza simba alishamaliza sub mapema sana ile gemu ya juzi na kaizer chief
Sub ni tano. Hukuangalia mpira nini?Una uhakika na unachokiongea? Naona mlioanza angalia mpira juzi mnakurupuka, elezea kwa jinsi gani simba alikuwa bado ana sub 2?
Simba SC wakiiomba tu Yeye atawapa.Atuletee hiyo audio tuisikilize.
Ninashangaa Watu hili hawalijui Mkuu.
Idiots kama huyo wasikupotezee muda.
Huyo wakala mlopokaji tuu.Gomez asifanye mkampuuza Gakumba.
' Wajala ' yako uliyoandika ni nini labda?Huyo wajala mlopokaji tuu.
Utaratibu ni kufanya mabadiliko kwa awamu 3 tu. Km unataka kufanya Sub. kwa wachezaji wote 5 inabidi waingie wachezaji 2:2:1 au 3:2:1 basi. Simba walijichanganya kwa kuingiza wachezaji 1:1:1 wakawa tayari wamemaliza awamu zote.Ndugu Sub zinakuwa tano na sio tatu nachokumbuka Simba alifanya sub 3 na zilibaki 2.
Kibao cha sub kinapaswa kunyanyuliwa mara 3 tu, hivyo onyango na mwenzie walivyoumia ilipaswa watoke kwa pamojaNani alikudanganya kuwa Sub ziliisha?
Ndiyo kusema Simba SC hawana Akili?Utaratibu ni kufanya mabadiliko kwa awamu 3 tu. Km unataka kufanya Sub. kwa wachezaji wote 5 inabidi waingie wachezaji 2:2:1 au 3:2:1 basi. Simba walijichanganya kwa kuingiza wachezaji 1:1:1 wakawa tayari wamemaliza awamu zote.
Kumbe Simba SC hawakujua hili vyema?Kibao cha sub kinapaswa kunyanyuliwa mara 3 tu, hivyo onyango na mwenzie walivyoumia ilipaswa watoke kwa pamoja
Sub 5 ila zinatakiwa kufanywa kwa mikupuo isoyozidi mitatu, Simba walifanya sub zao zote kwa kuingiza mchezaji mmoja mmoja, kocha hakuwa na nafasi ya kumuingiza yoyote tena iwe Kagere au Bwalya ambao walihitajika kuumaliza mchezo.Ninashangaa Watu hili hawalijui Mkuu.
Kaizer Chiefs FC wao Subs zao Tano ( 5 ) zilukuwaje? Mbona niliona kama vile walimaliza Wachezaji wao wote na tena waliwaingiza mara zote Tano kwa Nyakati tofauti tofauti?Sub 5 ila zinatakiwa kufanywa kwa mikupuo isoyozidi mitatu, Simba walifanya sub zao zote kwa kuingiza mchezaji mmoja mmoja, kocha hakuwa na nafasi ya kumuingiza yoyote tena iwe Kagere au Bwalya ambao walihitajika kuumaliza mchezo.
Kaizer chiefs walifanya sub nne kwa mikupuo mitatu. Simba hawakuwa na nafasi tena ndio maana hata hao kina Kagere hawakuwa wanapasha maana hakukuwa na nafasi tena.Kaizer Chiefs FC wao Subs zao Tano ( 5 ) zilukuwaje? Mbona niliona kama vile walimaliza Wachezaji wao wote na tena waliwaingiza mara zote Tano kwa Nyakati tofauti tofauti?
"Huyu Kocha nimejuana nae Siku nyingi hata kabla ya kuja hapo Simba SC. Anafanya mambo ambayo najua yatakuja Kumrudia na ataumbuka kwani hata Mwenyezi Mungu anayaona na atamuadhibu. Ana Chuki Binafsi na Mimi kwakuwa nilikataa Kumpigia Chapuo kwa Ushawishi wangu mkubwa katika Soka la hapa nchini Kwetu Rwanda ili awe Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Rwanda Amavubi ".
" Amehamishia Chuki zake dhidi yangu kwa Mchezaji wangu Meddie Kagere kitu ambacho naona anamuonea sana. Hivi karibuni na hata Sauti yake ninayo nimemrekodi Simba SC wakiitaka nitawapa ambapo alinipigia na Kulalamika kuwa Simba SC haimlipi vizuri kama vile alivyotegemea na kwamba taratibu ameanza Mipango ya kutaka kujiunga na Klabu ya Ismailia ya nchini Misri ".
" Aliyewanyima Simba SC nafasi ya Kufuzu Juzi ni Kocha Gomez kwani nina uhakika kwa ule Ubora wa Nahodha John Boko angeingia Meddie Kagere na kwa ninavyomjua angefunga Magoli hata Mawili tofauti na Mapungufu makubwa aliyoyaonyesha Mshambuliaji Butu Chris Mugalu "
Chanzo: Spoti Leo Radio One
Juzi GENTAMYCINE nilipokuja na ' Post Match Analysis ' yangu hapa juu ya Mechi ya Marudiano ya Simba SC na Kaizer Chiefs FC niliutaka Uongozi wa Simba SC ukae chini na Kocha Gomez kwani nilihisi kuwa alikuwa na Chuki Binafsi na Mshambuliaji Meddie Kagere.
Ninamshukuru sana Wakala wa Mchezaji husika aitwae Patrick Gakumba ambaye muda mfupi tu uliopita akizungumza na Mtangazaji Amri Masare wa Radio One / ITV katika Kipindi Kizuri cha Michezo cha Spoti Leo ameweza kutoa SIRI na Kukamilisha kile ambacho nilikihisi kwa Kocha Gomez.
Simba SC limalizeni hili haraka sana tu.
Ni kahaba kama nani katika siasaMtoa mada ni kahaba wa kitusi anatafuta mtu wa kumpiga katerero
Hapa pia nina mashaka na mie.Mtu ana chuki na wewe pamoja na mchezaji wako ila bado anakupa siri zake.
Inawezekanaje hilo