Wakala wa Meddie Kagere, Mnyarwanda Patrick Gakumba atoa siri nzito za Kocha wa Simba SC Didier Gomez Da Rosa

Yule kocha mbona imeonekana wazi ana tatizo na Kagere siku nyingi, kuna mechi ya CAF alimpanga Mugalu jamaa akakosa nafasi nyingi sana za wazi mpaka kocha akaona aibu ndio akamtoa...
Ninasikitika wengine wanamsifu Kocha.
 
Ndugu Sub zinakuwa tano na sio tatu nachokumbuka Simba alifanya sub 3 na zilibaki 2.
Utaratibu ni kufanya mabadiliko kwa awamu 3 tu. Km unataka kufanya Sub. kwa wachezaji wote 5 inabidi waingie wachezaji 2:2:1 au 3:2:1 basi. Simba walijichanganya kwa kuingiza wachezaji 1:1:1 wakawa tayari wamemaliza awamu zote.
 
Utaratibu ni kufanya mabadiliko kwa awamu 3 tu. Km unataka kufanya Sub. kwa wachezaji wote 5 inabidi waingie wachezaji 2:2:1 au 3:2:1 basi. Simba walijichanganya kwa kuingiza wachezaji 1:1:1 wakawa tayari wamemaliza awamu zote.
Ndiyo kusema Simba SC hawana Akili?
 
Sub 5 ila zinatakiwa kufanywa kwa mikupuo isoyozidi mitatu, Simba walifanya sub zao zote kwa kuingiza mchezaji mmoja mmoja, kocha hakuwa na nafasi ya kumuingiza yoyote tena iwe Kagere au Bwalya ambao walihitajika kuumaliza mchezo.
Kaizer Chiefs FC wao Subs zao Tano ( 5 ) zilukuwaje? Mbona niliona kama vile walimaliza Wachezaji wao wote na tena waliwaingiza mara zote Tano kwa Nyakati tofauti tofauti?
 
Kaizer Chiefs FC wao Subs zao Tano ( 5 ) zilukuwaje? Mbona niliona kama vile walimaliza Wachezaji wao wote na tena waliwaingiza mara zote Tano kwa Nyakati tofauti tofauti?
Kaizer chiefs walifanya sub nne kwa mikupuo mitatu. Simba hawakuwa na nafasi tena ndio maana hata hao kina Kagere hawakuwa wanapasha maana hakukuwa na nafasi tena.
 

Hii ni kutafuta mchawi tu, Simba walifanya makosa game ya kwanza kuruhusu goli nne.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…