Wakala wa Meddie Kagere, Mnyarwanda Patrick Gakumba atoa siri nzito za Kocha wa Simba SC Didier Gomez Da Rosa

Nimepata somo pia.
 
Nataka kushawishika na huo ufafanuzi wa sub tato ila katika awamu tatu tu. Ikizingatiwa simba waliingiza kwa awamu ya kwanza Morrison
Awamu ya pili nyoni
Awamu ya tatu Kennedy
Na kaizer waliingiza watu wa wawili kati awamu moja, ambayo kwayo ilikua ni awamu ya pili ya sub zao. Huyo wa DKK 59 na ya 60.
Mwenye hiyo kanuni kimaandishi aiambatanishe hapa ili tumalize utata.
 
Kaizer chiefs walifanya sub nne kwa mikupuo mitatu. Simba hawakuwa na nafasi tena ndio maana hata hao kina Kagere hawakuwa wanapasha maana hakukuwa na nafasi tena.
Subs Nne ( 4 ) kwa Mikupuo Mitatu ( 3 ) wakati Waliingiza Wachezaji wao Watano ( 5 ) wote? Mbona mnatuchanganya kiasi hiki Jamani?
 
Hii ni kutafuta mchawi tu, Simba walifanya makosa game ya kwanza kuruhusu goli nne.
Ni kweli, tuaangalia tulipoangukia badala ya kuangalia tulipojikwaa, na kama tungefuzu haya yote yasingesemwa.

Narudia, makosa yalikuwa game ya kwanza kuruhusu mvua ya mabao
 
Ni kweli, tuaangalia tulipoangukia badala ya kuangalia tulipojikwaa, na kama tungefuzu haya yote yasingesemwa.

Narudia, makosa yalikuwa game ya kwanza kuruhusu mvua ya mabao

Kabisa, na ushambuliaji butu, mfano angemuingiza Morrison ile game ya kwanza baada tu ya bao mbili, kidogo ingeweza kusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…