Wakala wa Wachezaji Jasmine Razaq: Kumtetea Kwangu Fei Toto kulisababisha nitishiwe kuwekewa Tindikali, Kutekwa na Kubakwa

Wakala wa Wachezaji Jasmine Razaq: Kumtetea Kwangu Fei Toto kulisababisha nitishiwe kuwekewa Tindikali, Kutekwa na Kubakwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Nilichogundua 90% ya Waandishi wa Habari za Michezo na Wachambuzi wa Michezo waliokuwa wakishadadia Sakata la Mchezaji Fei Toto na Yanga SC walikuwa katika Payroll ya Yanga SC na pia hawajui Sheria zozote za Soka kitu ambacho Kilinisikitisha mno kwani hizi Sheria zote ziko Online na kila Mtu anaweza Kusoma ili kuwa na Maarifa zaidi"

"Ni kweli nasimamia Wachezaji wengi tu Yanga na Simba na hata huyu Djuma Shabaan namsimamia ila sijawahi kupata Changamoto kama nilizozipata hapa Tanzania. Sakata la Fei Toto lilifanya nipokee Vitisho vya kuwekewa Tindikali, Kutekwa na Kubakwa kutoka kwa Watu wa Yanga ambao baadhi yao nawafahamu na wengine siwafahamu ila niliwajibu kuwa Siogopi, Najiamini Kisheria na naamini Mwenyezi Mungu yuko kwa ajili ya Kuwatetea Watenda haki duniani"

"Kwa kutishiwa huko ilibidi Kaka yangu alazimishe kunifungia CCTV Camera Kwangu na ku Track Simu yangu na ananifuatilia mara kwa mara. Baada ya Watu hao ( Maadui ) zangu wa Sakata la Mchezaji Fei Toto kujua kuwa Kaka yangu sasa ameingia Kati kunilinda wakaogopa kwakuwa wanamjua Yeye ni nani na Kazi yake hapa Tanzania na hata Kaka yangu nae anawajua baadhi yao hivyo ikaishia hapo na kuwa salama Kwangu"

Nukuu zote hizi za huyu Wakala nimezinukuu baada ya Kumsikiliza akiongea Mubashara EFM Radio katika Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters kinachoendelea sasa.

Kwa Kitendo tu cha Dada ( Wakala ) huyu Jasmine Razaq kusema kuwa alitishiwa kuwekewa Tindikali na Kutekwa GENTAMYCINE haraka sana nimeshawajua Watu Wawili Wakubwa ( Mmoja yuko Serikalini ) na Mwingine kwa mbali ( Nje ya Serikali ) ambao wanajulikana kwa Sifa hizi Mbili tokea wakiwa Watendaji wa Chama Chao Kikubwa na Kikongwe ( na ni wana Yanga SC lia lia ) hivyo sijashangaa sana.

Pole mno Dada Jasmine kwa Mtihani.
 
"Nilichogundua 90% ya Waandishi wa Habari za Michezo na Wachambuzi wa Michezo waliokuwa wakishadadia Sakata la Mchezaji Fei Toto na Yanga SC walikuwa katika Payroll ya Yanga SC na pia hawajui Sheria zozote za Soka kitu ambacho Kilinisikitisha mno kwani hizi Sheria zote ziko Online na kila Mtu anaweza Kusoma ili kuwa na Maarifa zaidi"

"Ni kweli nasimamia Wachezaji wengi tu Yanga na Simba na hata huyu Djuma Shabaan namsimamia ila sijawahi kupata Changamoto kama nilizozipata hapa Tanzania. Sakata la Fei Toto lilifanya nipokee Vitisho vya kuwekewa Tindikali, Kutekwa na Kubakwa kutoka kwa Watu wa Yanga ambao baadhi yao nawafahamu na wengine siwafahamu ila niliwajibu kuwa Siogopi, Najiamini Kisheria na naamini Mwenyezi Mungu yuko kwa ajili ya Kuwatetea Watenda haki duniani"

"Kwa kutishiwa huko ilibidi Kaka yangu alazimishe kunifungia CCTV Camera Kwangu na ku Track Simu yangu na ananifuatilia mara kwa mara. Baada ya Watu hao ( Maadui ) zangu wa Sakata la Mchezaji Fei Toto kujua kuwa Kaka yangu sasa ameingia Kati kunilinda wakaogopa kwakuwa wanamjua Yeye ni nani na Kazi yake hapa Tanzania na hata Kaka yangu nae anawajua baadhi yao hivyo ikaishia hapo na kuwa salama Kwangu"

Nukuu zote hizi za huyu Wakala nimezinukuu baada ya Kumsikiliza akiongea Mubashara EFM Radio katika Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters kinachoendelea sasa.

Kwa Kitendo tu cha Dada ( Wakala ) huyu Jasmine Razaq kusema kuwa alitishiwa kuwekewa Tindikali na Kutekwa GENTAMYCINE haraka sana nimeshawajua Watu Wawili Wakubwa ( Mmoja yuko Serikalini ) na Mwingine kwa mbali ( Nje ya Serikali ) ambao wanajulikana kwa Sifa hizi Mbili tokea wakiwa Watendaji wa Chama Chao Kikubwa na Kikongwe ( na ni wana Yanga SC lia lia ) hivyo sijashangaa sana.

Pole mno Dada Jasmine kwa Mtihani.
Huyu dada yan akishaona fei kazngua kitu yeye ndo anatokea ..Jana kaona mchezaji wake kashapotea mtu anacheza kama sio professional Leo anajileta tena kuongea mambo yake ili kupata attention...huyu mtu hafai kwenye soka letu sie kabisa.
 
Huyu nae ametafuta pa kutokea basi kila siku wakala wa fei wakala wakala wakala so what? Akiona tumemsahau kidogo tu analazimisha kingi.

Ishu yenyewe aliishia kuzingua tu mpaka Rais wa nchi akaingilia kati ila utadhani yeye ndio alishinda.
 
Huyu dada yan akishaona fei kazngua kitu yeye ndo anatokea ..Jana kaona mchezaji wake kashapotea mtu anacheza kama sio professional Leo anajileta tena kuongea mambo yake ili kupata attention...huyu mtu hafai kwenye soka letu sie kabisa.
Ni mpuuzi sana attention seeker. Kama anasimamia wachezaji wengi hivi kinachomfanya ademke kila ishu ya fei ikiamka ni nini au anamkula?

Haiwezekani mtu anasema ana wachezajj wengi anaowasimamia ila kutwa kucha yeye ishu yake ni gei ambapo ilishaishaga na mchezaji mwenyewe a.eshaisha ila haachi kujifalagua kwenye media as if alimsaidia cha maana zaidi ya kumla pesa zake dogo akaishia kugalagazwa kila mahakama ashukuru ombi la Rais pekee.

Atulie bana.
 
UTOPOLO majambazi
IMG_0107.jpg
 
Ukitaka kujua tofauti ya msingi kati ya Simba na Yanga, linganisha sakata la Phiri na haya masakata ya Yanga. Wapenzi wa Simba wako radhi Phiri aachwe aondoke kuliko kuona anateswa na anaonewa na vibopa.

Ningependa kuona virusi vilivyojipenyeza pale kwenye uongozi wa juu wa Simba vyenye vitabia vya kubeba wachezaji wanaoigharimu timu kila siku na wanaowapiga pini watu wenye msaada mkubwa kwa timu wanadhibitiwa.
 
Huyu dada yan akishaona fei kazngua kitu yeye ndo anatokea ..Jana kaona mchezaji wake kashapotea mtu anacheza kama sio professional Leo anajileta tena kuongea mambo yake ili kupata attention...huyu mtu hafai kwenye soka letu sie kabisa.
Alijua Azam atashinda mechi ya jana ndio maana aliandaa kipindi cha kujimwambafai! Alivyoona haijashinda ndio amekuja na hizo allegations.
 
"Nilichogundua 90% ya Waandishi wa Habari za Michezo na Wachambuzi wa Michezo waliokuwa wakishadadia Sakata la Mchezaji Fei Toto na Yanga SC walikuwa katika Payroll ya Yanga SC na pia hawajui Sheria zozote za Soka kitu ambacho Kilinisikitisha mno kwani hizi Sheria zote ziko Online na kila Mtu anaweza Kusoma ili kuwa na Maarifa zaidi"

"Ni kweli nasimamia Wachezaji wengi tu Yanga na Simba na hata huyu Djuma Shabaan namsimamia ila sijawahi kupata Changamoto kama nilizozipata hapa Tanzania. Sakata la Fei Toto lilifanya nipokee Vitisho vya kuwekewa Tindikali, Kutekwa na Kubakwa kutoka kwa Watu wa Yanga ambao baadhi yao nawafahamu na wengine siwafahamu ila niliwajibu kuwa Siogopi, Najiamini Kisheria na naamini Mwenyezi Mungu yuko kwa ajili ya Kuwatetea Watenda haki duniani"

"Kwa kutishiwa huko ilibidi Kaka yangu alazimishe kunifungia CCTV Camera Kwangu na ku Track Simu yangu na ananifuatilia mara kwa mara. Baada ya Watu hao ( Maadui ) zangu wa Sakata la Mchezaji Fei Toto kujua kuwa Kaka yangu sasa ameingia Kati kunilinda wakaogopa kwakuwa wanamjua Yeye ni nani na Kazi yake hapa Tanzania na hata Kaka yangu nae anawajua baadhi yao hivyo ikaishia hapo na kuwa salama Kwangu"

Nukuu zote hizi za huyu Wakala nimezinukuu baada ya Kumsikiliza akiongea Mubashara EFM Radio katika Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters kinachoendelea sasa.

Kwa Kitendo tu cha Dada ( Wakala ) huyu Jasmine Razaq kusema kuwa alitishiwa kuwekewa Tindikali na Kutekwa GENTAMYCINE haraka sana nimeshawajua Watu Wawili Wakubwa ( Mmoja yuko Serikalini ) na Mwingine kwa mbali ( Nje ya Serikali ) ambao wanajulikana kwa Sifa hizi Mbili tokea wakiwa Watendaji wa Chama Chao Kikubwa na Kikongwe ( na ni wana Yanga SC lia lia ) hivyo sijashangaa sana.

Pole mno Dada Jasmine kwa Mtihani.
Mwanasheria kilaza mwenye kaka kilaza wote ni vilaza.
Halafu watu hawapo huko. Labda kama analitegemea hilo kama mtaji.
 
Huyu Jasmine tayari keshapoteza uaminifu wake kwa jamii ya wanamichezo aada ya kugalagazwa sasa anachokifanya sasa ivi ni kuhakikisha anairudisha trust yake ila kinachomharibia mbinu anazotumia ndio zinazidi kumshusha zaidi.

Huyu ni wa kupuuzwa tu yeye na wateja wake
 
"Nilichogundua 90% ya Waandishi wa Habari za Michezo na Wachambuzi wa Michezo waliokuwa wakishadadia Sakata la Mchezaji Fei Toto na Yanga SC walikuwa katika Payroll ya Yanga SC na pia hawajui Sheria zozote za Soka kitu ambacho Kilinisikitisha mno kwani hizi Sheria zote ziko Online na kila Mtu anaweza Kusoma ili kuwa na Maarifa zaidi"

"Ni kweli nasimamia Wachezaji wengi tu Yanga na Simba na hata huyu Djuma Shabaan namsimamia ila sijawahi kupata Changamoto kama nilizozipata hapa Tanzania. Sakata la Fei Toto lilifanya nipokee Vitisho vya kuwekewa Tindikali, Kutekwa na Kubakwa kutoka kwa Watu wa Yanga ambao baadhi yao nawafahamu na wengine siwafahamu ila niliwajibu kuwa Siogopi, Najiamini Kisheria na naamini Mwenyezi Mungu yuko kwa ajili ya Kuwatetea Watenda haki duniani"

"Kwa kutishiwa huko ilibidi Kaka yangu alazimishe kunifungia CCTV Camera Kwangu na ku Track Simu yangu na ananifuatilia mara kwa mara. Baada ya Watu hao ( Maadui ) zangu wa Sakata la Mchezaji Fei Toto kujua kuwa Kaka yangu sasa ameingia Kati kunilinda wakaogopa kwakuwa wanamjua Yeye ni nani na Kazi yake hapa Tanzania na hata Kaka yangu nae anawajua baadhi yao hivyo ikaishia hapo na kuwa salama Kwangu"

Nukuu zote hizi za huyu Wakala nimezinukuu baada ya Kumsikiliza akiongea Mubashara EFM Radio katika Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters kinachoendelea sasa.

Kwa Kitendo tu cha Dada ( Wakala ) huyu Jasmine Razaq kusema kuwa alitishiwa kuwekewa Tindikali na Kutekwa GENTAMYCINE haraka sana nimeshawajua Watu Wawili Wakubwa ( Mmoja yuko Serikalini ) na Mwingine kwa mbali ( Nje ya Serikali ) ambao wanajulikana kwa Sifa hizi Mbili tokea wakiwa Watendaji wa Chama Chao Kikubwa na Kikongwe ( na ni wana Yanga SC lia lia ) hivyo sijashangaa sana.

Pole mno Dada Jasmine kwa Mtihani.
Jiweke mbali na Makanjanja Mkuu.
 
Aliongea sana msimu uliopita Yanga ikachukua taji zote tatu.
Msimu huu pia ameanza kwa kuongea napo taji zote Yanga itachukua.

Pia ninachoona Yanga inaachana na wachezaji wote wanaowakilishwa na huyu Bi Razaq maana hana confidentiality naambo mengi anapenda kuyafanyia redioni badala ya ofisini
 
Huyu dada yan akishaona fei kazngua kitu yeye ndo anatokea ..Jana kaona mchezaji wake kashapotea mtu anacheza kama sio professional Leo anajileta tena kuongea mambo yake ili kupata attention...huyu mtu hafai kwenye soka letu sie kabisa.
EFM Radio ( Sports Headquarters ) kumualika Studioni leo kwa Interview ni Kosa au Dhambi? Uko sawa sawa Mtimani ( Kichwani ) mwako Kweli?
 
Mwanasheria gani anatishiwa kuuwawa na kumwagiwa tundikali anashtaki kwa kaka yake badala ya polisi? Na kaka anamfungia kamera na tracker
Kuna watu wameamua kuwadharau sana watanzania. Wameshaona watanzania ni Mapunguani sana.
Halafu hiyo kesi yenyewe ya Fei alishapoteza kitambo. Labda kama watu wa Fei ndiyo walikua wakimtisha kwa kura hela yao lakini akashindwa kumsaidia mtu wao. Maana zile hela watu walichangishana mitandaoni.
 
Huyu nae ametafuta pa kutokea basi kila siku wakala wa fei wakala wakala wakala so what? Akiona tumemsahau kidogo tu analazimisha kingi.

Ishu yenyewe aliishia kuzingua tu mpaka Rais wa nchi akaingilia kati ila utadhani yeye ndio alishinda.
Naona sasa wale Watekaji, mliomtishia kumuwekea Tindikali na Kumbaka taratibu mnajitokeza baada ya Kujishtukia.
 
Maisha ya wabongo ni mtihani sana!!

Huyu dada alikuwa anajibu swali aliloulizwa na mtangazaji. Kosa lake ni lipi??
Kama Haji Manara ( waliyenae Yanga SC ) alishasema wenye Akili Timamu Yanga SC nzima ni Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete unategemea kipya Mkuu?

Aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wao Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) nae alishasema ( iko YouTube ) kuwa wana Yanga SC wako kama Nyani, Mbwa na Sokwe je, ulitegemea Jipya kutoka Kwao Mkuu?
 
Back
Top Bottom