Wakala wa Wachezaji Jasmine Razaq: Kumtetea Kwangu Fei Toto kulisababisha nitishiwe kuwekewa Tindikali, Kutekwa na Kubakwa

GENTAMYCINE Acha kuharibu taswira za watu na kunukuu media kubwa ambayo haijafanya hayo mahojiano. Hii mara ya pili unaleta maandiko na manukuu ya uwongo. Mara ya tatu ukijaribu nitajua cha kukufanya. Saa ngapi hizo habari umezipata? Manukuu hayana maana tupe ushahidi wa sauti au video tuamini. Huyu mama ni mwanasheria anayejielewa na anasimamia wachezaji wengi tu. Haya mambo yako ya kulisha watu matango pori nitakunyoosha
 
Issue ya Feisal na Phili zina fanana? watu wengine sijui kwanini hua huwezi kujizuia ku expose ujinga wenu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hio ndo michezo ya gsm hapo walikutana na mwamba mwenzao
 
Wewe mtoto acha uongo
 
Huyu dada yan akishaona fei kazngua kitu yeye ndo anatokea ..Jana kaona mchezaji wake kashapotea mtu anacheza kama sio professional Leo anajileta tena kuongea mambo yake ili kupata attention...huyu mtu hafai kwenye soka letu sie kabisa.
Ndio maana FIFA wakaweka Course ya uwakala sababu waliyajua haya,hao wote wanaongea sio MAWAKALA wanaotambulika na FIFA ni wajanja wajanja wa mjini.

Natamani Yanga wasisajili mchezaji yoyote kutoka kwake, hata walio kuwepo waache kwani atatusumbua msimu uliopita walikuwa wanataka kututoa kwenye malengo ila uzuri tulivuka malengo.
 
Na tungemfumua marinda kabisa![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…