Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Now
Screenshot_20220810_001737.jpg
 
Moi alikua chuma ndio maana Kenya ana strong exonomy in the region.
Kuwa na strong economy in the region sio sababu ya Moi.. Ni namna ya super powers ndio zinazoamua (GB na US) hao ndio wanaorun sehemu kubwa ya uchumi wa Kenya na Dunia kwa ujumla.

Unaweza ukachukulia poa, lakini kuna vitu vingi nyuma ya pazia.

Kibaki anasifika kwa major projects zilizowahi kutokea Kenya na hii demokrasia waliyo nayo sasa. Moi kwa upande wake anasifika kwa mkono wa chuma,watu wengi wamepotezwa kwenye utawala wake..Labda useme maziwa ya Moi ndio kitu pekee kizuri kwenye Era yake.
 
Kuwa na strong economy in the region sio sababu ya Moi.. Ni namna ya super powers ndio zinazoamua (GB na US) hao ndio wanaorun sehemu kubwa ya uchumi wa Kenya na Dunia kwa ujumla.

Unaweza ukachukulia poa, lakini kuna vitu vingi nyuma ya pazia.

Kibaki anasifika kwa major projects zilizowahi kutokea Kenya na hii demokrasia waliyo nayo sasa. Moi kwa upande wake anasifika kwa mkono wa chuma,watu wengi wamepotezwa kwenye utawala wake..Labda useme maziwa ya Moi ndio kitu pekee kizuri kwenye Era yake.
Najuta kupoteza muda wangu kujadili na damn pathetic fool.
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.
8.Ruto ni fisadi,Ruto ni mwizi.
Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.
Umeandika kwa ushabiki mkubwa sana kwa odinga kiasi cha kwamba wewe ndio uko kwenye huo ulimwengu wa kiroho unaosemea, vipi hapa kwetu bongo mama naye alikubalika kwa hao ulio wasemea wamemkubali odinga?
 
Umeandika kwa ushabiki mkubwa sana kwa odinga kiasi cha kwamba wewe ndio uko kwenye huo ulimwengu wa kiroho unaosemea, vipi hapa kwetu bongo mama naye alikubalika kwa hao ulio wasemea wamemkubali odinga?
Haya majitu majinga sana.
 
Kibaki huyu huyu aliyejiapisha mwaka 2007 baada ya kushindwa na odinga. Si bora moi ajikubal kushindwa mwaka 2002 baada ya kumsapport uhuru.
 
Umeandika kwa ushabiki mkubwa sana kwa odinga kiasi cha kwamba wewe ndio uko kwenye huo ulimwengu wa kiroho unaosemea, vipi hapa kwetu bongo mama naye alikubalika kwa hao ulio wasemea wamemkubali odinga?
Naam anafanya interest zao.Hamuoni mnavyoisoma namba
 
Kura za Wakalenjini na wakikuyu tu zimetosha kumvukisha this humble God fearing gentleman. Kusema kweli Ruto anastahili kuwa Rais wa Tano Kenya. Namuombea na nitafurahivsana akashinda.
Mtaacha lini ukabila ndugu zetu. Mimi ni Pro Ruto, lakini haya mambo yenu ya kikabila yanasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom