Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.
8.Ruto ni fisadi,Ruto ni mwizi.
Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.
Niko Siti ya Mbele,, ni leo jioni
 
Ukweli mchungu;
Ruto hatakiwi na matajiri wa Kenya?;
1. Wanadai ni atawafilisi.

2. Wanadai ana visasi.
Hili nimelisikia kwa masikio yangu nikiwa Naitobi wameapa kamwe Ruto hapewi hicho kiti.
Umeona Uhuru anavyompigania ni kulinda maslahi yake na matajiri wenzie.
Ni Leo jion,,,
 
Kumchagua Ruto ni SAwa na kumrudisha marehemu dictator Moi tena madarakani. Like father like son. Ruto amekulia nyumbani kwa dictator Arap Moi.
 
Kumchagua Ruto ni SAwa na kumrudisha marehemu dictator Moi tena madarakani. Like father like son. Ruto amekulia nyumbani kwa dictator Arap Moi.
Kenya haijawai pata Rais mahiri na makini kama Moi
 
Waaaapiiii
Matokeo yako karibu,mkuu Maghayo nitakutafutia. Odinga nchi yake awamu hii kama siasa za Kenya umeanza kuzifuatilia uchaguzi huu ni sawa sikulaumu. Hao waliokuwa wakimdanganya Ruto ni hustler mwenzao wanapofika kwenye ballot box wao wakenya huita debe kitu Cha kwanza kuwajia ji je ni kabila lao? Hapo ndipo atakapolia mweleka.
 
System za dunia ya chumbani kwenu? Huzijui Siasa za Kenya wewe hizo porojo zenu za vatican sijui western ni utoto uliotopea.

Kenya hakuna siasa za kanisa kama TZ na wakenya consciousness yao huwezi ilinganisha na kizazi cha ujamaa cha Nyerere.

Kenya namba za ushindi zinabebwa na ukabila nukta.
Wewe ndio umejaza Mavi kichwani. Unafikiri wapiga kura ndio wanaoamua nani awe Rais.

Kuna watu wapo nyuma ya pazia ndio wanachezesha nyuzi

Hao watu wakikukataa hata upigwe kura nyingi kiasi gani, Ikulu utapasikia tu. Sio ishu ya numbers.

Wait and see.
 
Wewe ndio umejaza Mavi kichwani. Unafikiri wapiga kura ndio wanaoamua nani awe Rais.

Kuna watu wapo nyuma ya pazia ndio wanachezesha nyuzi

Hao watu wakikukataa hata upigwe kura nyingi kiasi gani, Ikulu utapasikia tu. Sio ishu ya numbers.

Wait and see.
Pathetic fool!
 
Raila atailaumu ile march handshake hataamini kwamba Uhuru Kenyatta born town na wala sio mzaliwa wa ikulu

Na pakukimbilia kujiapisha patakua hapapo mana watasema ulisheki hand mwenyewe
 
Kura za Wakalenjini na wakikuyu tu zimetosha kumvukisha this humble God fearing gentleman. Kusema kweli Ruto anastahili kuwa Rais wa Tano Kenya. Namuombea na nitafurahivsana akashinda.
Kura mnataja makabila. Badirikeni.
 
Nimefanya tafiti. Tafiti hujibiwa na tafiti bwana mdogo. You are still young in great lakes region politics. Watu hatupayukipayuki tunafanyanya Kwanza tafiti ya muda mrefu painstaking research halafu tunakaa chini na kuanalyze data kabla hatujatoka na majibu sahihi. Hii siyo kama battle of Nairobi vs Dar esalaam. When it comes to issues pertaining national and regional importance watu hatuleti porojo Bali facts zinazotokana na tafiti bobezi zilizojitosheleza. Niko makini Sana bwana katika siasa za maziwa makuu na beyond.

Masters,

John Hopkins university
Weka hapa hiyo tafiti yako wacha porojo dogo

John Hopkins University ya kwa tumbo
 
Kura za Wakalenjini na wakikuyu tu zimetosha kumvukisha this humble God fearing gentleman. Kusema kweli Ruto anastahili kuwa Rais wa Tano Kenya. Namuombea na nitafurahivsana akashinda.
Sheria ya uchaguzi ya kenya inasema lazima kuna namba of counties unatakiwa kushinda ,sio kabila lako tu. Na ukumbuke wanaza counties 47
 
Ngome nyingi za Raila zinaangushwa kuanzia ngazi ya "parliamentary seats"
 
Back
Top Bottom