Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Stupid conspiracy,kama ulimwengu wa kiroho ndio unaleta kiongozi nchini,je Adolf hilter,IdicAmin,Mobutu na wao waliwekwa na huyo roho!?Ili iweje?Ili wafe,harafu huyo roho wa ulimwengu usioonekana anapata faida gani??
Yaani upuuzi aliofanya Maghufur wa kuhakikisha aliowataka ndio wanapiga kwenye uchaguzi,wewe unasema hsyo yote yamefanywa na "nguvu zsizoonekqnq kwa macho""!!ur fucking kidding bro!!waliohakikisha Maghu anapita sie tunawajua,na viongozi wote waliopo sasa walipitishwa na Maghu kwa nguvu za kidola,hakuna Cha ajabu Wala Cha nguvu zsizoonekqnq Wala spiritual intervention ni ufisadi tu,acha kuwa mvivu wa kufikili
Hao madikteta wote hao uliowataja hawakuwa wanadamu wa kawaida isipokuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu,thus walifanya inhuman act na Mobutu aliuza nafsi yake na akapewa nguvu ya mnyama chui thus alipenda kuvaa ngozi ya chui.
KILA mission huja kwa hitaji la wakati ni SAwa na corona je bado unasikia tena wimbo wa corona, corona haipo baada ya mission complete.
Ishu ya Magu kuwaweka watu wake hilo ni takwa lake kwa interest zake za kumsaidia kubadili katiba bila kujua kesho nayo ni siku, system ya Dunia udeal na ngazi ya Uraisi haishughuliki na matawi. Wao huweka mtu wao wamtakao kwa interest zao na sio zetu.
 
Ruto hatoi
Hata kama kabila lake lina watu wengi na siasa za Kenya zimekaa kikabila ila Ruto hafiki kokote natabiri
Unapoteza muda siasa za Kenya hata mtu awe na kasoro vipi kama ni kabila yao wanampa kura
Kenya ikifika swala la ukabila akili huwa zinawaruka kwenye uchaguzi hawaangalii uzuri wa mtu .Huuliza tu huyo.kabila yetu basi wanampa kura au kumnyima

Kenya kuna uchaguzi wa kikabila tu wa kutafuta viongozi wa makabila yao

Wakenya wajinga sana wako wanasoma vizuri aggressive kila eneo na competent kuliko watanzania lakini uchaguzi ukifika hupiga kura kikabila tu
 
Unapoteza muda siasa za Kenya hata mtu awe na kasoro vipi kama ni kabila yao wanampa kura
Kenya ikifika swala la ukabila akili huwa zinawaruka kwenye uchaguzi hawaangalii uzuri wa mtu .Huuliza tu huyo.kabila yeti basi wanampa kura au kumnyima

Kenya kuna uchaguzi wa kikabila tu
Anafikiri huko Urais unapewa kwenye sahani kama ambavyo Magufuli alipanga kumpea Bashiru 2025.
 
Mzuka wanajamvi!

Kesho jioni watu tutakuwa tumehakikishiwa ushindi mnono wa ndugu yetu William Ruto kuwa Rais wa Tano Kenya.

Ruto atakuwa Rais kwa mihula miwili Hadi 2032. Na baada ya hapo makamu wake Rigathi Gachagua ataendelea mihula mingine miwili Hadi 2042. Wakati huo tumeshapeleka binadamu mars.

Leo kuanzia jioni hadi kesho jioni nitafunga. Namuombea Ndugu Ruto na Gachagua waibuke na ushindi mnono.

Huo ni mpango wa Mungu believe me!
Mpango WA Mungu halafu unamuomba tena[emoji849][emoji849][emoji849]. Kwani mipango ya Mungu ikipangwa si imeshapangwa.
 
Kifupi uchaguzi mkuu wa Kenya kazi yake ni wa kupigia kura viongozi wa kikabila waliogombea wa kabila husika tu

Hakuna uchaguzi wa maana pale

Wakenya wajinga sana wako wamesoma vizuri, aggressive kila eneo na competent kuliko watanzania lakini uchaguzi ukifika hupiga kura kikabila tu
 
Kenya Issue ni nani anatoka kabila kubwa ndie mshindi
Kule siasa ni za ukabila

Wana Miaka karibu 60 swala la ukabila hawataki kulimaliza!!
Sio KILA siku ni mazoea.Hata wao Wana macho siasa zimebadilika Kenya
 
Kenya Issue ni nani anatoka kabila kubwa ndie mshindi
Kule siasa ni za ukabila

Wana Miaka karibu 60 swala la ukabila hawataki kulimaliza!!
Shida ya watanzania hawapendi facts... ni kama kule international forum leo Museven kakataa kununua mafuta ya urusi wanarusha mate wakati juzi walishangulia Museven kupinga ombi la Biden. Tuliwaambia Museven hawezi thubutu kwenda kinyume na Magharibi wakakataa.
 
Mzuka wanajamvi!

Kesho jioni watu tutakuwa tumehakikishiwa ushindi mnono wa ndugu yetu William Ruto kuwa Rais wa Tano Kenya.

Ruto atakuwa Rais kwa mihula miwili Hadi 2032. Na baada ya hapo makamu wake Rigathi Gachagua ataendelea mihula mingine miwili Hadi 2042. Wakati huo tumeshapeleka binadamu mars.

Leo kuanzia jioni hadi kesho jioni nitafunga. Namuombea Ndugu Ruto na Gachagua waibuke na ushindi mnono.

Huo ni mpango wa Mungu believe me!
Tatizo unaropokwa sana.
 
Tatizo unaropokwa sana.
Nimefanya tafiti. Tafiti hujibiwa na tafiti bwana mdogo. You are still young in great lakes region politics. Watu hatupayukipayuki tunafanyanya Kwanza tafiti ya muda mrefu painstaking research halafu tunakaa chini na kuanalyze data kabla hatujatoka na majibu sahihi. Hii siyo kama battle of Nairobi vs Dar esalaam. When it comes to issues pertaining national and regional importance watu hatuleti porojo Bali facts zinazotokana na tafiti bobezi zilizojitosheleza. Niko makini Sana bwana katika siasa za maziwa makuu na beyond.

Masters,

John Hopkins university
 
Back
Top Bottom