Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Subiri
Odinga apate kura nyingi kwa wakikuyu na wakalenjini ambao kura zao ndio huamua nani awe Raisi kwa uwingi wao unatania

Kenya ili kufanya chaguzi Zikae vizuri walitakiwa kwanza wafute ukabila ikiwemo magazeti ya kikabila radio za kikabila,TV za kikabila nk

Hawajafanya hivyo.Hapo ndipo kushindwa uraisi wa Raila kulipojificha
Huyo mjinga anafikiri Urais wa Kenya unatolewa kwenye sahani. Alivyo mpuuzi anakwambia sijui Vatican inamtaka Raila hahahaha.
 
Japo simkubali Odinga lakini ni bora kuliko Ruto. Odinga katulia pia ni matured na civilized hawezi lipiza visasi.
Mimi kura yangu ningempa Wajakoa
 
Huyo mjinga anafikiri Urais wa Kenya unatolewa kwenye sahani. Alivyo mpuuzi anakwambia sijui Vatican inamtaka Raila hahahaha.
Sio mbali ujui system za dunia.
Mwenzio Putin anahaaha alidhani anapigana na Ukraine.Tulia
 
Sio mbali ujui system za dunia.
Mwenzio Putin anahaaha alidhani anapigana na Ukraine.Tulia
System za dunia ya chumbani kwenu? Huzijui Siasa za Kenya wewe hizo porojo zenu za vatican sijui western ni utoto uliotopea.

Kenya hakuna siasa za kanisa kama TZ na wakenya consciousness yao huwezi ilinganisha na kizazi cha ujamaa cha Nyerere.

Kenya namba za ushindi zinabebwa na ukabila nukta.
 
Case study closed

What is a case study?

Case study is a research methodology, typically seen in social and life sciences. There is no one definition of case study research.1 However, very simply… ‘a case study can be defined as an intensive study about a person, a group of people or a unit, which is aimed to generalize over several units’. A case study has also been described as an intensive, systematic investigation of a single individual, group, community or some other unit in which the researcher examines in-depth data relating to several variables.
copy and paste
 
System za dunia ya chumbani kwenu? Huzijui Siasa za Kenya wewe hizo porojo zenu za vatican sijui western ni utoto uliotopea.

Kenya hakuna siasa za kanisa kama TZ na wakenya consciousness yao huwezi ilinganisha na kizazi cha ujamaa cha Nyerere.

Kenya namba za ushindi zinabebwa na ukabila nukta.
Tuwekeane Dau.
Usikimbie JF.
Kushinda na kutangazwa ni vitu viwili tofauti.
Lowasa alishinda lakini alitangazwa nani?
Odinga alishinda uchaguzi uliopita dhidi ya UHURU lakini alitangazwa nani?
Bi Hilary Clinton kashinda mara mbili lakini akapewa OBAMA then Kichaa Trump.

Anaweza Ruto akashinda kwa kura lakini sio kushinda uraisi.
Hayo mambo sijui ya siasa za wingi wa kabila ni ya nje sio ya ndani.
Jumamosi sio mbali. UHURU sio mjinga anajua siri.
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.
8.Ruto ni fisadi,Ruto ni mwizi.
Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.
Kumbe ndio maana wakuu hawakukubali hayawani aendelee kuitawala tanzania........
 
What is a case study?

Case study is a research methodology, typically seen in social and life sciences. There is no one definition of case study research.1 However, very simply… ‘a case study can be defined as an intensive study about a person, a group of people or a unit, which is aimed to generalize over several units’. A case study has also been described as an intensive, systematic investigation of a single individual, group, community or some other unit in which the researcher examines in-depth data relating to several variables.
copy and paste
That guy is sugu corrupt man Kenyans mzima wanajua Ruto ni fisadi.
 
Kura za Wakalenjini na wakikuyu tu zimetosha kumvukisha this humble God fearing gentleman. Kusema kweli Ruto anastahili kuwa Rais wa Tano Kenya. Namuombea na nitafurahivsana akashinda.
Kwa uchaguzi huu Ruto hawezi kamwe kuwa rais wa Kenya, sio kweli kuwa eti wakikuyu wote watampigia yeye, kwani KENYATA, ameharibu hilo, na yeye mwenyewe kila akipanda jukwaani ni kumsema vibaya Kenyata tu, ili kutafuta kura za huruma!!kwa badaye ataweza kuwa rais ila kwa sasa ni BABA!!
 
Tuwekeane Dau.
Usikimbie JF.
Kushinda na kutangazwa ni vitu viwili tofauti.
Lowasa alishinda lakini alitangazwa nani?
Odinga alishinda uchaguzi uliopita dhidi ya UHURU lakini alitangazwa nani?
Bi Hilary Clinton kashinda mara mbili lakini akapewa OBAMA then Kichaa Trump.

Anaweza Ruto akashinda kwa kura lakini sio kushinda uraisi.
Hayo mambo sijui ya siasa za wingi wa kabila ni ya nje sio ya ndani.
Jumamosi sio mbali. UHURU sio mjinga anajua siri.
Wewe bado mtoto haya nenda kaoshe gari la shemeji yako.
 
Kumbe ndio maana wakuu hawakukubali hayawani aendelee kuitawala tanzania........
You have no right to choice what you see.
Your under one umbrella.
Kenya ni muhimu sana kama base ya interest za wakuu wa dunia.
Hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu.
Utulivu wa nchi za maziwa makuu yaani East Africa na Central Afrika unategemea utulivu wa Kenya so Kenya ni lazima apewe mtu ambae ni matured na mwenye utulivu wa akili.Kenya ikichafuka itaathiri nchi nyingi za kusini Mwa jangwa la sahara.
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.
8.Ruto ni fisadi,Ruto ni mwizi.
Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.
Stupid conspiracy,kama ulimwengu wa kiroho ndio unaleta kiongozi nchini,je Adolf hilter,IdicAmin,Mobutu na wao waliwekwa na huyo roho!?Ili iweje?Ili wafe,harafu huyo roho wa ulimwengu usioonekana anapata faida gani??
Yaani upuuzi aliofanya Maghufur wa kuhakikisha aliowataka ndio wanapiga kwenye uchaguzi,wewe unasema hsyo yote yamefanywa na "nguvu zsizoonekqnq kwa macho""!!ur fucking kidding bro!!waliohakikisha Maghu anapita sie tunawajua,na viongozi wote waliopo sasa walipitishwa na Maghu kwa nguvu za kidola,hakuna Cha ajabu Wala Cha nguvu zsizoonekqnq Wala spiritual intervention ni ufisadi tu,acha kuwa mvivu wa kufikili
 
Mzuka wanajamvi!

Kesho jioni watu tutakuwa tumehakikishiwa ushindi mnono wa ndugu yetu William Ruto kuwa Rais wa Tano Kenya.

Ruto atakuwa Rais kwa mihula miwili Hadi 2032. Na baada ya hapo makamu wake Rigathi Gachagua ataendelea mihula mingine miwili Hadi 2042. Wakati huo tumeshapeleka binadamu mars.

Leo kwaanzia jion Hadi kesho jioni nitafunga. Namuombea Ndugu Ruto na Gachagua waibuke na ushindi mnono.

Huo ni mpango wa Mungu believe me!

Ruto hatoi
Hata kama kabila lake lina watu wengi na siasa za Kenya zimekaa kikabila ila Ruto hafiki kokote natabiri
 
Back
Top Bottom