Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.
8.Ruto ni fisadi,Ruto ni mwizi.
Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.
We nawe kama mganga wa kienyeji.
 
Kenyatta alinawa tu mikono kama Pilato
Ok Yeye Kenyatta yawezekana alitaka kurudisha utawala kwa Odinga kulipa fadhila kwa familia ya baba mzazi wa Raila Odinga ambaye alikuwa makamu wa Raisi wa mzee Jomo Kenyatta kabla ya kutofautiana

Lakini siasa za Kenya ni mwiba .Alitakiwa waondoe ukabila kwanza ndipo Raila angeshinda!!
Ukabila Kenya unatisha.Mkikuyu au mkalenjini hawezi kugombea ujaluoni na akashinda kule.Na mjaluo hawezi gombea ukikuyuni na ukalenjini na akashinda

Hivyo tribal numbers ndio zina matter.Kabila kubwa ndio mwenye uwezo wa kushinda

Kalenjini watampa kura mkalenjini mwenzao William Ruto na wakikuyu hawatampa kura Raila mjaluo kutokana na ukabila watampa mkalenjini William Rutto wakalenjini na wajaluo wana alliance yao ya muda mrefu toka kipindi cha Moi ambaye ni mkalenjini aliyemlea William Ruto toka akiwa mdogo kijana mdogo mwimba kwaya kanisa la African Inland Church kanisa alilokuwa akisali Raisi Moi.

Ushindi wa Ruto uko wazi based on big tribal numbers!!
Hata lowasa alishinda lakini force zilimkataa alitaka kukiuka lile agano la kwamba hapa nchini Katu haitotokea kwa Mtu ambae amewahi kuwa Waziri Mkuu kuja kuwa raisi ya nchi hii.
We piga kura usipige kura nguvu toka ulimwengu usioonekana ndizo uamua nani awe Raisi.
Ruto anaweza kuwa Rais wa Kenya labda kama Odinga akifa madarakani then aje apambane na Martha Karua.
Conspiracy.
 
Hapa lijaluo MK254 na lenyewe litakuja kutudanganya kuwa linatoka kabila moja na fisadi Ruto
 
Mzuka wanajamvi!

Kesho jioni watu tutakuwa tumehakikishiwa ushindi mnono wa ndugu yetu William Ruto kuwa Rais wa Tano Kenya.

Ruto atakuwa Rais kwa mihula miwili Hadi 2032. Na baada ya hapo makamu wake Rigathi Gachagua ataendelea mihula mingine miwili Hadi 2042. Wakati huo tumeshapeleka binadamu mars.

Leo kwaanzia jion Hadi kesho jioni nitafunga. Namuombea Ndugu Ruto na Gachagua waibuke na ushindi mnono.

Huo ni mpango wa Mungu believe me!

hii nchi iko backward sana karne hii bado inaongelea ukabila
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.
8.Ruto ni fisadi,Ruto ni mwizi.
Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.
Umeandika kimahaba na kishabiki sana.
 
Ruto akichukua nchi atawachinja wake ya kama kuku
 
Siku tano subiria.
West na Vatican tayari walishaamua Odinga.Jiulize Why UHURU amsapoti Odinga.Uliona alichifanyiwa Odinga uchaguzi uliopita ndicho atafanyiwa Ruto hata akishinda.
Umejaza mavi kichwani.
 
Mzuka wanajamvi!

Kesho jioni watu tutakuwa tumehakikishiwa ushindi mnono wa ndugu yetu William Ruto kuwa Rais wa Tano Kenya.

Ruto atakuwa Rais kwa mihula miwili Hadi 2032. Na baada ya hapo makamu wake Rigathi Gachagua ataendelea mihula mingine miwili Hadi 2042. Wakati huo tumeshapeleka binadamu mars.

Leo kwaanzia jion Hadi kesho jioni nitafunga. Namuombea Ndugu Ruto na Gachagua waibuke na ushindi mnono.

Huo ni mpango wa Mungu believe me!
Rutoo can't be Kenyan President

Ever

Just wait time will tell you
 
Hata lowasa alishinda lakini force zilimkataa alitaka kukiuka lile agano la kwamba hapa nchini Katu haitotokea kwa Mtu ambae amewahi kuwa Waziri Mkuu kuja kuwa raisi ya nchi hii.
We piga kura usipige kura nguvu toka ulimwengu usioonekana ndizo uamua nani awe Raisi.
Ruto anaweza kuwa Rais wa Kenya labda kama Odinga akifa madarakani then aje apambane na Martha Karua.
Conspiracy.
Siasa za Kenya ziko based tu kwenye population za kikabila tu.Hata uwe mzuri vipi kama hiyo mikabila mikubwa kabila yako hawaivi hushindi!! Wajaluo hawaivi na makabila makubwa ya Kalenjini na wakikuyu
Ushindi kwake mgumu.Ok anaungwa mkono na Kenyatta lakini Kenyatta anamuunga mkono kama individual.Kabila yake haibi na wajaluo .Hivyo kufanya support ya Kenyatta kwa Raila Odinga isisaidie ushindindio maana nasema kura zitakazoamua Kenya nani anashinda ni yule anayetaka makabila makubwa .Kalenjini na kikuyu wako pamoja dhidi ya mjaluo mmoja Raila!!

Raia ataambulia umakamu wa Raisi
Sababu atakuwa mshindi wa pili ila uraisi hatashinda
 
Hata lowasa alishinda lakini force zilimkataa alitaka kukiuka lile agano la kwamba hapa nchini Katu haitotokea kwa Mtu ambae amewahi kuwa Waziri Mkuu kuja kuwa raisi ya nchi hii.
We piga kura usipige kura nguvu toka ulimwengu usioonekana ndizo uamua nani awe Raisi.
Ruto anaweza kuwa Rais wa Kenya labda kama Odinga akifa madarakani then aje apambane na Martha Karua.
Conspiracy.
Yaani we jamaa ni mjinga wa kutupwa.
 
Siasa za Kenya ziko based tu kwenye population za kikabila tu.Hata uwe mzuri vipi kama hiyo mikabila mikubwa kabila yako hawaivi hushindi!! Wajaluo hawaivi na makabila makubwa ya Kalenjini na wakikuyu
Ushindi kwake mgumu.Ok anaungwa mkono na Kenyatta lakini Kenyatta anamuunga mkono kama individual.Kabila yake haibi na wajaluo .Hivyo kufanya support ya Kenyatta kwa Raila Odinga isisaidie ushindindio maana nasema kura zitakazoamua Kenya nani anashinda ni yule anayetaka makabila makubwa .Kalenjini na kikuyu wako pamoja dhidi ya mjaluo mmoja Raila!!

Raia ataambulia umakamu wa Raisi
Sababu atakuwa mshindi wa pili ila uraisi hatashinda
Hawa wanaonekana bado watoto sana , mwingine anajidai sijui nguvu zisizoonekana mwingine sijui hawezi pewa nchi hivi walizishuhudia zama za Moi hawa? Walishuhudia jinsi Kibaki alivyotwaa nchi mbele ya makucha ya dikteta moi?

Ukweli ulio wazi Odinga based on his tribal ties hawezi shinda Kenya wala huyo Kenyatta hawezi mpa nchi.
 
Yaani we jamaa ni mjinga wa kutupwa.
Subiri
Odinga apate kura nyingi kwa wakikuyu na wakalenjini ambao kura zao ndio huamua nani awe Raisi kwa uwingi wao unatania

Kenya ili kufanya chaguzi Zikae vizuri walitakiwa kwanza wafute ukabila ikiwemo magazeti ya kikabila radio za kikabila,TV za kikabila nk

Hawajafanya hivyo.Hapo ndipo kushindwa uraisi wa Raila kulipojificha
 
Back
Top Bottom