Wakali wa hip hop

Wakali wa hip hop

fredism

Senior Member
Joined
Sep 6, 2017
Posts
151
Reaction score
151
Naomba kujuzwa wakali wa hip hop wa zamani kama xplastaz, weusi ten ngangali na wakali wa sasa kama Niki mbishi n.k wako wapi hatusikii wakitoa nyimbo Kali za kuchana au ndo kusema hip hop imekufa
 
IMG_20170904_195857_624.jpg
 
Mimi kwa hip hop hapa bongoland nimewahi kumkubali jamaa mmoja hivi wa kuitwa roho 7 nenda kausikilize leo wimbo wake wa kitambo sana unaitwa nakupenda hip hop utajua namaanisha nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom