Wakali wa home theater na Soundbars naombeni ushauri katika hili

Wakali wa home theater na Soundbars naombeni ushauri katika hili

LG, JVC au Sony wanakua na home theatres nzuri sana. Ukikosa kabisa tafuta Panasonic kwa dealers wake pale Clock Tower town

Sina tatizo na home theatres kabisa, ila ule wingi wa speakers na kupatia mpangilio wake sahihi sio rahisi, kingine kinanipunguzia mzuka ni wingi wa nyaya. Soundbar nyingi ni wireless. Pia mziki wake laini hauumizi.
 
Wajanja wanatumia HI-FI mkuu ni zaidi ya sound bar na home theatre...
aiseeh kuna SONY mzee wangu (RIP) alinunua Ni Sony Hi-fi music system ni Five CD changer ile music ni nyoko dadeki kwenye kuadjust sauti ni wew tu Soft, dancehall, e.t.c hapa nataka niende nikauchukue maana nimeuhifadhi home vizur sana!!
 
Hilo nakubaliana na wewe. Wingi wa nyaya za hometheatre unaboa sana. Ila bado ni my favorite entertainment
Sina tatizo na home theatres kabisa, ila ule wingi wa speakers na kupatia mpangilio wake sahihi sio rahisi, kingine kinanipunguzia mzuka ni wingi wa nyaya. Soundbar nyingi ni wireless. Pia mziki wake laini hauumizi.
 
aiseeh kuna SONY mzee wangu (RIP) alinunua Ni Sony Hi-fi music system ni Five CD changer ile music ni nyoko dadeki kwenye kuadjust sauti ni wew tu Soft, dancehall, e.t.c hapa nataka niende nikauchukue maana nimeuhifadhi home vizur sana!!
Mkuu HI-FI ni balaa kwa miziki iliofanyiwa sound engineering vizuri unasikia kila kifaa kilichotengenezewa kwenye beat husika...kuna watu wanaitwa Onkyo..ni hatari sana unakuta radio ina speaker 2 tu lakini mziki wake ni hatari sana
 
Mkuu HI-FI ni balaa kwa miziki iliofanyiwa sound engineering vizuri unasikia kila kifaa kilichotengenezewa kwenye beat husika...kuna watu wanaitwa Onkyo..ni hatari sana unakuta radio ina speaker 2 tu lakini mziki wake ni hatari sana
Hata hiyo ninayoisema ina speaker mbili zimeandikwa Hi-fi mzee wangu sijui aliutoaga wapi ule mziki aseeh nahisi alinunua gharama!! Ngoma ikipigwa imechujika vizur..sijawahi kumaliza volume ...hizi Sabufa zinaingia mara 1,000 kwa sound nzito na iliyochujika.
 
Sina tatizo na home theatres kabisa, ila ule wingi wa speakers na kupatia mpangilio wake sahihi sio rahisi, kingine kinanipunguzia mzuka ni wingi wa nyaya. Soundbar nyingi ni wireless. Pia mziki wake laini hauumizi.
Kuna Tv zinasarounding na zinatoa saut nzuri sana kama lengo lako ndyo ilo.
 
Uwe na pesa tuu, sound bar JBL harman kardon inatoa kiu yote utapiga mziki hadi mtaa wa pili, BOSE hii mkasi.

Kibahili bahili nunua tu sony h theater watt 1000 -1200, changamoto zipo chache format zinagoma zingine, ujue setting ya bass n.k
Hata mimi nakubaliana na wewe,
Sema sasa nazipataje hizi hapa nyumbani? Pesa sio tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom