Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Haya tuonyeshe hayo majini , na misukule nadhani unajua ipo upande gani sitaki kutukana wakristo wote kwa ujinga wako ila tunajua kwamba makanisani ndio tunawaonaga kuna nabii yule mama wa mwanza na kanisa lake kawajaza , gwaji boy nae hua anawafufua na makanisa mengi wanakuwa na swaga hizo , haya ulishawahi kuona jini au msukule kwa muislamu au msikitini?Hii dini na wafuasi wake Elimu ya utambuzi ni finyu...
Sheria za manispaa na huwa zinafanya kazi wakati wa ramadhani tu, kwamba mtu yyte haruhusiwi kupika/ kula chakula hadharani sasa hao hawajapikia Wala kula hadharani na sio waislamu kwahiyo unawataka na wao wafunge?Hadi anatozwa faini inamaana kunasheria amevunja ambayo adhabu yake ni tshs elfu 50,000 mwenye uelewa wa sheria hii aiweke hapa ilikuepusha lawama kwa pande zote
Ila ndio wana akili na ndio walipa kodi wakubwa nchi hii unalijua hilo?Kusema ukweli wafuasi wengi wa hii dini wamekosa elimu Dunia elimu pekee waliyokua mayo niya dini hivyo upande wa kufanya maamuzi na kufikili sahihi ina kua haibalance vizuri.
Pale Mjini, kuna mgahawa uko sawia na lile kanisa la Anglican its only local place you can get food in Zanzibar kipindi hiki cha mwezi mtukufu.Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua...
kukarangiza mchan, majirani wakasikiaKosa la huyo mama hapo ni lipi?
Jimmy acha kudekadeka aisee!Unapenda aweke picha ya bodaboda kabeba msosi au jinsi mlango ulivyofungwa huku mapishi yanaendelea kwa ndani?picha