joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
Nachukia sana maisha ya Zanzibar lakini si namna kwakuwa tunapata ridhiki uku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinaagiza utandikwe viboko vingi vya shingoni ukikutwa unabugia msosi hadharani au kupikapika bila ruksa maalum ya sheha wakati wa mchana.Utajua umejua sana!Taratibu zinasemaje huko zenji?
Kwahiyo nitoke paje nije kula mjini sio? Alafu mama ntilie Wana watu wao sidhani kama wanaweza kumudu gharama za hilo eneo unalolisemea.Pale Mjini, kuna mgahawa uko sawia na lile kanisa la Anglican its only local place you can get food in Zanzibar kipindi hiki cha mwezi mtukufu.
Zinasema watu wasile kabisa! Yaani uwe nani hakuna kula...Taratibu zinasemaje huko zenji?
SAfi sana ya wazenji nawaachia wazenji wanajuana wenyewe huko kisiwani, ila kikubwa wafate sheriaZinaagiza utandikwe viboko vingi vya shingoni ukikutwa unabugia msosi hadharani au kupikapika bila ruksa maalum ya sheha.Utajua umejua sana!
Hakuna.Kosa la huyo mama hapo ni lipi?
Sasa kama hao wasiofunga hawaendi kwa watunga sheria kuomba legezo la sheria, unatarajia mamlaka zifanye nini? Maana zenji kila mwaka hali ipo hivi wakati huuZinasema watu wasile kabisa! Yaani uwe nani hakuna kula...
No pale ni bei ya kawaida kabisa.Kwahiyo nitoke paje nije kula mjini sio? Alafu mama ntilie Wana watu wao sidhani kama wanaweza kumudu gharama za hilo eneo unalolisemea.
Kufunga Ni Imani Mbona sisi wakristo tunafunga na husikii makelele Kama hayo...Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=
Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
- Mm nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
-Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
HakikaUkoloni mambo leo
Hilo kumbe ni kosa?kukarangiza mchan, majirani wakasikia
Kipindi hiki ni kosa.Hilo kumbe ni kosa?
Bila kusahau ushoga huko ndio unakuta wanaume wameolewa wanaona sawa Ila Mambo mengine wanaliwa wakali.Hii dini na wafuasi wake Elimu ya utambuzi ni finyu.
Wengi wao wanafanya mambo kwa mihemko, wanajifanya wanamuabudu MUNGU MUUMBA kwa dhati kipindi hiki huku ndani wamefuga misukule na majini bila kusahau ufirauni.
Huwezi kuta upuuzi huu kwa Buddha, Christians au Shinto.
Umeanza kutusimanga.Kufunga Ni Imani Mbona sisi wakristo tunafunga na husikii makelele Kama hayo...
Most Muslim Wengi wao hubadilisha ratiba ya kula 3X badala ya mchana Ni mwendo wa kula usiku 3X
Unakuta JITU Lina nenepeana mwezi HUU
Ndio funga gani HIYO
Kama watu walifungiwa selo kwenye usalama polisi lakini bado wakadokoana thumni zao,vipi wakiwa huru kule Bwejuu?Think twice!😂😂😂😂Bila kusahau ushoga huko ndio unakuta wanaume wameolewa wanaona sawa Ila Mambo mengine wanaliwa wakali.
Mi nimesema baadhi so miongoni mwa hao waliobakia ndo wenye iq kubwa na wanajitambua nao niwa chache sana piaIla ndio wana akili na ndio walipa kodi wakubwa nchi hii unalijua hilo?