Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Haya tuonyeshe hayo majini , na misukule nadhani unajua ipo upande gani sitaki kutukana wakristo wote kwa ujinga wako ila tunajua kwamba makanisani ndio tunawaonaga kuna nabii yule mama wa mwanza na kanisa lake kawajaza , gwaji boy nae hua anawafufua na makanisa mengi wanakuwa na swaga hizo , haya ulishawahi kuona jini au msukule kwa muislamu au msikitini?
upo nje ya madaa mkuu
 
Wazenji wengi ni watu waliozaliwa uku na pia wamekulia huku wengi wao hata kwenda dar apo hawajawahi kabisa so huwa naona wengine wakifanikisha kwenda dar au mikoa mingine huwa mindset yao hubadilika na kuanza upya style za maisha mengine kiufupi wanaanza kurealize kwamba sisi wabongo huwa hatuna chuki nao bali wao ndo wanachukia na sisi naumia sana kwa kuandika haya ila wazenji wanatuchukia sana sisi wabongo haswa sisi wenye majina ya kikristo ....huwa wanatuona kama uchafu
wengi wao wajinga tu
 
Kwahiyo huko dhambi zinafanana ndiyo maana wanataka kutubu kwa pamoja kama watu wa Ninawi na wanaogopa kuangamizwa kama Sodoma na Gomora walivyochomwa moto.🥲🥲🥲
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
- Mm nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
-Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Viongozi wa dini wa zanzibar hasa waliokaribu na serikali akili zao sio kiimani hakuna andiko linalo zuiya mtu kupika chakula nyumbani kwake mchana wa ramadhani na kula sababu wapo watu wanao ruhusiwa kula mchana
Wagonjwa
Wazee
Wasafiri
Watoto
Wasio kuwa waisilamu
Ifahamike Zanzibari sio nchi ya kiisilamu sababu aitumii huku ya kiisilamu

Ndio maana kwenye mahoteli ya kitalii wanakula mchana kweupe hata pombe zimo uzinzi pia watalii wanatembea mchana kweupe na chupa za maji mkononi

Pia kuna mabenki ya riba nk hiyo danganya toto hili wazanzibari wasio jitambua waone serikali inawajali kumbe sio kweli unafiq mtupu
 
Hii dini na wafuasi wake Elimu ya utambuzi ni finyu.

Wengi wao wanafanya mambo kwa mihemko, wanajifanya wanamuabudu MUNGU MUUMBA kwa dhati kipindi hiki huku ndani wamefuga misukule na majini bila kusahau ufirauni.

Huwezi kuta upuuzi huu kwa Buddha, Christians au Shinto.
Unapo wakusanya waisilamu wote na kuwaita wafuga majini inabidi ututhitishie vinginevyo chuki ya kishamba inakusumbua
 
Kusema ukweli wafuasi wengi wa hii dini wamekosa elimu Dunia elimu pekee waliyokua mayo niya dini hivyo upande wa kufanya maamuzi na kufikili sahihi ina kua haibalance vizuri.
Kitendo cha kusema wafuasi wa dini ya uisilamu kuwa wamekosa elimu dunia kinatosha kukuhukumu yakuwa wewe ni mbumbu sababu umehukumu waisilamu wote duniani bila ushahidi tena wewe hata elimu ya kujisafi baada ya kunya huna
 
Back
Top Bottom