zenj sio dola la kiislam , Zanzibar haiendeshwi na shariaTaratibu zinasemaje huko zenji?
ni ujinga wa wanasiasa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zenj sio dola la kiislam , Zanzibar haiendeshwi na shariaTaratibu zinasemaje huko zenji?
kuna sheria gan ina mzuia mtu kupikia ndan kwake kisa ni ramadhani ebu jifungue akili mkuuHadi anatozwa faini inamaana kunasheria amevunja ambayo adhabu yake ni tshs elfu 50,000 mwenye uelewa wa sheria hii aiweke hapa ilikuepusha lawama kwa pande zote
upo nje ya madaa mkuuHaya tuonyeshe hayo majini , na misukule nadhani unajua ipo upande gani sitaki kutukana wakristo wote kwa ujinga wako ila tunajua kwamba makanisani ndio tunawaonaga kuna nabii yule mama wa mwanza na kanisa lake kawajaza , gwaji boy nae hua anawafufua na makanisa mengi wanakuwa na swaga hizo , haya ulishawahi kuona jini au msukule kwa muislamu au msikitini?
akili za ugaidi wa kule amboni na kibiti ?Ila ndio wana akili na ndio walipa kodi wakubwa nchi hii unalijua hilo?
tuletee utaratibu aliouvunja hapo ?umesahau kuwa utaratibu nao ni sheria?
lkn hiyo haizuii mtu kupikia ndan kwake , hii dini inazalisha mazuzu na ndio maana boko haram wanazuia elimu dunia ili maamuz yao mabovu yasipate wakosoajiPale Mjini, kuna mgahawa uko sawia na lile kanisa la Anglican its only local place you can get food in Zanzibar kipindi hiki cha mwezi mtukufu.
Kama mtu anaweza kucontrol uchumibwa nchi yako huyo amekuzidi akili wewe umekaririshwa inawezekana huna akili mwisho wa siku anakuajiri hizo ndio akiliakili za ugaidi wa kule amboni na kibiti ?
Uhuru binafsi anayetaka ale.. asietaka asile. Huo ndio ustarabu na busaraTaratibu zinasemaje huko zenji?
kwahiyo wakisikia imani inawatoka ? hii dini inawadharau sana waumini wake , ss nin maana ya kufunga ?kukarangiza mchan, majirani wakasikia
kupika hadharani sio kupika tuZinaagiza utandikwe viboko vingi vya shingoni ukikutwa unabugia msosi hadharani au kupikapika bila ruksa maalum ya sheha wakati wa mchana.Utajua umejua sana!
kwan Zanzibar ni nchi ya kiislam ?Zinasema watu wasile kabisa! Yaani uwe nani hakuna kula...
wengi wao wajinga tuWazenji wengi ni watu waliozaliwa uku na pia wamekulia huku wengi wao hata kwenda dar apo hawajawahi kabisa so huwa naona wengine wakifanikisha kwenda dar au mikoa mingine huwa mindset yao hubadilika na kuanza upya style za maisha mengine kiufupi wanaanza kurealize kwamba sisi wabongo huwa hatuna chuki nao bali wao ndo wanachukia na sisi naumia sana kwa kuandika haya ila wazenji wanatuchukia sana sisi wabongo haswa sisi wenye majina ya kikristo ....huwa wanatuona kama uchafu
Dola ya kiislamu ile, sasa kama mnakamatwa hata mkipika chumbani kwenu sio dola ya kislam hiyo?kwan Zanzibar ni nchi ya kiislam ?
Viongozi wa dini wa zanzibar hasa waliokaribu na serikali akili zao sio kiimani hakuna andiko linalo zuiya mtu kupika chakula nyumbani kwake mchana wa ramadhani na kula sababu wapo watu wanao ruhusiwa kula mchanaHili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=
Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
- Mm nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
-Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Unapo wakusanya waisilamu wote na kuwaita wafuga majini inabidi ututhitishie vinginevyo chuki ya kishamba inakusumbuaHii dini na wafuasi wake Elimu ya utambuzi ni finyu.
Wengi wao wanafanya mambo kwa mihemko, wanajifanya wanamuabudu MUNGU MUUMBA kwa dhati kipindi hiki huku ndani wamefuga misukule na majini bila kusahau ufirauni.
Huwezi kuta upuuzi huu kwa Buddha, Christians au Shinto.
Kitendo cha kusema wafuasi wa dini ya uisilamu kuwa wamekosa elimu dunia kinatosha kukuhukumu yakuwa wewe ni mbumbu sababu umehukumu waisilamu wote duniani bila ushahidi tena wewe hata elimu ya kujisafi baada ya kunya hunaKusema ukweli wafuasi wengi wa hii dini wamekosa elimu Dunia elimu pekee waliyokua mayo niya dini hivyo upande wa kufanya maamuzi na kufikili sahihi ina kua haibalance vizuri.
Hahaaaa acha Roho mbaya.Nna duka la nafaka, sasa kuna Waislamu huwa wanakuja kununua mchele kwa ajili ya kufungua, sasa ngoja ntawachanganyia na ule mchele wenye virutubisho wakalegee mbele hukoooo