Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Yaani mtatukana, mtaponda, mtachonga na mtaropoka na kuropoka mpendavyo lakini Wazanzibari wana exercise their right of being autonomous.
Kwahiyo unataka Kujustify kubagua Wazanzibari Wakristo na wale ambao hawafungi kwa utashi wao binafsi?
 
Viongozi wa dini wa zanzibar hasa waliokaribu na serikali akili zao sio kiimani hakuna andiko linalo zuiya mtu kupika chakula nyumbani kwake mchana wa ramadhani na kula sababu wapo watu wanao ruhusiwa kula mchana
Wagonjwa
Wazee
Wasafiri
Watoto
Wasio kuwa waisilamu
Ifahamike Zanzibari sio nchi ya kiisilamu sababu aitumii huku ya kiisilamu

Ndio maana kwenye mahoteli ya kitalii wanakula mchana kweupe hata pombe zimo uzinzi pia watalii wanatembea mchana kweupe na chupa za maji mkononi

Pia kuna mabenki ya riba nk hiyo danganya toto hili wazanzibari wasio jitambua waone serikali inawajali kumbe sio kweli unafiq mtupu
wapo watu wanao ruhusiwa kula mchana
Wagonjwa
Wazee
Wasafiri
Watoto
Wasio kuwa waisilamu

Ikiwa Mimi ni mzima wa afya na ni muislamu siko katika hilo kundi ulilotaja hapo juu kwani kuna sheria ya kunilazimisha kufunga ikiwa sihitaji kufunga?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo unataka Kujustify kubagua Wazanzibari Wakristo na wale ambao hawafungi kwa utashi wao binafsi?

Hoja ni unafanya nini na namna gani wakati huu ambapo wengi wanafunga.
Si swala la wewe ni Mpagani ama huna Dini.

Vitu vingine mbona si-vigumu kueleweka ?

Shida watu wanaleta mazoea ya sehemu nyingine sehemu tofauti,
Narudia tena Zanzibar ni Zanzibar na si sehemu nyingine yoyote na ni watu ambao wanao uhuri wa kujuamulia yao.
Ipo hivyo na itakuwa hivyo tu.

Haijawahi kutokea wala kusikika kuwa ambao hawafungi wote wamekamatwa Zenj, kwa nini?

Sasa lazima ujiulize huyo ambae anakutwa na hilo anao 'umaalum' gani?
Lazime kuna shida sehemu.
 
Kitendo cha kusema wafuasi wa dini ya uisilamu kuwa wamekosa elimu dunia kinatosha kukuhukumu yakuwa wewe ni mbumbu sababu umehukumu waisilamu wote duniani bila ushahidi tena wewe hata elimu ya kujisafi baada ya kunya huna
We huna akili bila ushahidi vipi na ushahidi ni hapo Zanzibar na haya yanayojadiliwa hapa ni uthibitisho kwamba washinda njaa hawana kitu kichwani
Kungekuwa na mwenye akili angekemea huo upuuzi, kukaa kimya ni kuona kwamba kinachofanyika ni sawasawa tulioko pembeni sasa ndiyo tunaona kumbe hawa hawana akili kiasi hichi



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hoja ni unafanya nini na namna gani wakati huu ambapo wengi wanafunga.
Si swala la wewe ni Mpagani ama huna Dini.

Vitu vingine mbona si-vigumu kueleweka ?

Shida watu wanaleta mazoea ya sehemu nyingine sehemu tofauti,
Narudia tena Zanzibar ni Zanzibar na si sehemu nyingine yoyote na ni watu ambao wanao uhuri wa kujuamulia yao.
Ipo hivyo na itakuwa hivyo tu.

Haijawahi kutokea wala kusikika kuwa ambao hawafungi wote wamekamatwa Zenj, kwa nini?

Sasa lazima ujiulize huyo ambae anakutwa na hilo anao 'umaalum' gani?
Lazime kuna shida sehemu.
Hivi alieamrisha kufunga ni Allah au Serikali ya Mapinduzi?

Nijibu hapa ili tuanze Mjadala vizuri.
 
Acha kutetea upumbavu
Hoja ni unafanya nini na namna gani wakati huu ambapo wengi wanafunga.
Si swala la wewe ni Mpagani ama huna Dini.

Vitu vingine mbona si-vigumu kueleweka ?

Shida watu wanaleta mazoea ya sehemu nyingine sehemu tofauti,
Narudia tena Zanzibar ni Zanzibar na si sehemu nyingine yoyote na ni watu ambao wanao uhuri wa kujuamulia yao.
Ipo hivyo na itakuwa hivyo tu.

Haijawahi kutokea wala kusikika kuwa ambao hawafungi wote wamekamatwa Zenj, kwa nini?

Sasa lazima ujiulize huyo ambae anakutwa na hilo anao 'umaalum' gani?
Lazime kuna shida sehemu.
 
Hivi Pasaka hapapikwi wala kuliwa mchana poleni sana ndugu zetu huko
 
Kwahiyo nawewe unaamini kuna mama amekamatwa na kutozwa faini?
Hiyo habar ni kweli kabisa kama una raia anayeishi Paje muulize., na hilo sio tukio la kwanza kama unaishi Zanzibar kipindi hiki Cha Ramadhani hayo matukio ni mengi sana
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
  • Mimi nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
  • Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Huwa kuna shida gani huko upande wa pili? Yani mtu ukifunga unataka na wengine wafunge, kufunga kwako kunanyima uhuru watu wengine. Kufunga ni hiyari, kila mtu atahukumiwa kivyake.

I'm proud to be Christian aisee, By the way Pasaka haijafika tuu??!!
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
  • Mimi nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
  • Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Serikali yenyewe ya Zanzibar ina matatizo kuruhusu ujinga huu kuendelea Zanzibar, si wote wanaokamata watu ni wema, kuna wengine wana wivu tu kuona wenzao wanakula mara 3 kwa siku. Kwani kuna anayekatazwa kula jamani? Mtu kama unafunga ni shida yako, usilazimishe wengine wakuige. Yaani hiyo siku mtu atakayerogwa kunipiga ama kunikamata kwa kuwa nakula mchana, aisee aombe tu mizimu yake - kumanina zake nitamfumua kishenzi mpaka atajuta kuzaliwa ili tu iwe fundisho kwa wajinga wote wakamatao watu wanaopenda kula na kujenga miili yao.
 
Imani ya dini haitakiwi iwe ya kulazimisha
Dini ya Kiislam ndivyo ilivyo, ni kulazimishana tu Imani hata Mohammed alikuwa anayafanya haya kulazimisha watu kuwa Waislam na waliokataa aliwaua na kubaka wake zao na ndiyo maana walimuua kwa kumuwekea sumu kwenye chakula alicholazimisha apikiwe. Mwanangu yeyote anakuwa Muislam nampa laana.
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
  • Mimi nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
  • Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Kwani Zanzibar inaendeshwa kwa sheria za kidini jaman??
 
""aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula""

Kuna sheria inakataza ndani nikiwa nimejifungia?

#YNWA
Hapana, kujipikia ww mwenyewe ukala ndani kwako ni ruhusa wanaokamatwa ni mama ntilie ambao wanapikia ndani kwao na kupaki chakula kwa kuwauzia watu wengine ambao hawajafunga tena hao wanaonunua wenyewe wanalia hicho chakula sehemu ya faragha na sio hadharani.
 
Back
Top Bottom