Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Hawa jamaa huwa sijui wnaabudu mungu gani dhaifu kiasi hiki ye ni kukaa kula tende tu wafuasi wake ndo wamsaidie kukimbizana na watu wanaokula mchana 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi naonaga hakuna mzanzibari mwenye akili,
Na ni mahala siwezi kwenda hata itokee kitu gani
 
Ubongo wako unakutuma kufikir kwamba Kila mtu amefunga sio?
kama hutaki fata taratibu zilizopo hujalazimishwa kuwepo eneo hilo. Wapishe endelea na maisha yako kwani lazima ukae hapo? Taratibu zao zinaeleweka sasa kwanini mnataka kuwalazimisha wafanye mnachotaka nyinyi.Miaka yote Zanzibar taratibu zake zinafahamika sasa sioni cha ajabu maana hii ni toka enzi na enzi
 
Hii dini na wafuasi wake Elimu ya utambuzi ni finyu.

Wengi wao wanafanya mambo kwa mihemko, wanajifanya wanamuabudu MUNGU MUUMBA kwa dhati kipindi hiki huku ndani wamefuga misukule na majini bila kusahau ufirauni.

Huwezi kuta upuuzi huu kwa Buddha, Christians au Shinto.

Unaweza kukuta uzuri huu wa kuwakata waafrika mikono uliofanywa na wachungaji wa kikristo tu

1711276542124.jpeg

 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
  • Mimi nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
  • Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Hii mijitu mishetani
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
  • Mimi nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
  • Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Hiyo faini ya 50,000 imeingia serikalini? Kwa hiyo hii ni kwa mujibu wa sheria ndogo ndogo za paje ambazo zimepitishwa na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar?. kama majibu yote hapo juu mi HAPANA.waliofanya hilotukio ni majambazi
 
Nipo Zanzibar aiseh kama ujafunga na upo Zanzibar make sure unanunua chakula unaweka ndani la si hivyo utakufa njaa. Nachukia sana kuona watu wakiheshimu mwezi fulani kuliko kuheshimu Mungu


Kuheshimu mungu yupi ?? huyu anayeruhusu ushoga na kukatwa waafrika mikono ?

1711276664139.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: K11
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
  • Mimi nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
  • Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Zanzibar Ni ya ki k
 
Taratibu zinasemaje huko zenji?
Taratibu ni za Tanzania, usijifanye Juha. Kwani zanzibar siku za mapumziko ni zipi? Sherehe za kitaifa ni zipi? Nyinyi wafuasi wa Shetani Allah ni waajabu sana
 
Nadhani wazenji sio waislam


Zanzibar ndiko ukristo ulikoingilia Afrika mashariki, huku kuna magoa wakristo , wahindu na wa zoroastrian wanaoabudu moto kutoka Iran na India.

Miaka yote hatujawahi kusikia mtu yoyote kula mchana wakati wa Ramadhani wala kulalamika. Sisi tukikaa hostel na hawa wakipikiwa chakula chao mchana wakati wa Ramadhani,

Toka kuja hawa wavamizi kutoka Afrika magharibi imekuwa shida , mara hawaruhusiwi kula , mara makanisa kuchomwa moto . Miafrika ni mzigo ndio mkakatwa mikono na wachungaji wa kizungu
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
  • Mimi nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
  • Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Yani mtu anaamka sa10 za usiku anakula daku mchanganyiko wa...tambi...mihogo..maharagwe...magimbi...sambusa...chapati...uji...karimati...samaki...nyama...n.k halafu mchana anatuambia kafunga kula anaanza kusumbua watu....kile chakula chote alichokula sa10 za usiku wakati wengine tumelala kimetumika sa ngapi?...hakuna kitu kinachoitwa kufunga kwa mwanadamu ila ni kubadilisha mda wa kula kwahy acheni kusumbua watu na kujifanya nyie ni watakatifu zaidi....ni yesu peke yake ndiye aliyefunga kula na kunywa kwa mda wa siku 40
 
Back
Top Bottom