Wakandarasi wazawa wanaweza kujenga Reli na Barabara

Wakandarasi wazawa wanaweza kujenga Reli na Barabara

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Mfanyabiashara Rostam Aziz amesema kuna namna ya kuwawezesha wawekezaji wazawa ikiwemo kuwapa kazi kama za ujenzi wa Reli na Barabara kwani wapo wakandarasi wanaoweza kuzifanya kazi hizo badala ya kutegemea Wakandarasi wa Kampuni za nchi nyingine.


Ameyasema hayo wakati akizungumza katika mjadala wa Mwekezaji Mzawa atika Kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo, Desemba 5, 2024
 
Mmmmmmm tuanze kwenyebarabara na madaraja hapo ukute Caspian ndio analengwa ambaye ninyeye akauze kwa wachina khaaaa soon atauziwa ATCLvery soon
 
Hahaha CCM wanajiandaa KUTUPIGA, wakandarasi wa ndani wamewahi kujenga nini kikadumu miaka 2?

Huu ni wizi tu unapangwa, hatutaki kusikia haya kutoka CCM jamani.
 
Shida siyo wakandarasi, shida tuliyonayo ni ukosefu wa elimu kichwani.
 
Mmmmmmm tuanze kwenyebarabara na madaraja hapo ukute Caspian ndio analengwa ambaye ninyeye akauze kwa wachina khaaaa soon atauziwa ATCLvery soon
CCM ukiwasikia gadharani jua waliisha maliza biashara, hapo wanatujulisha sasa.
Hata DP World ilianza hivi hivi tukaambiwa ni uzushi, baadaye tukaambiwa tutajulishwa kila kitu, mwisho wakaweka mpira kwapani.
Huu ni wizi.
 
Hayo ya kujenga ni mambo ya mpito na inabidi tuanze kuwaza kuwa giants wa kujenga na nje sio ndani tu...., yaani tunataka ku concentrate kama nchi kwenye vijimiradi vya TARURA wakati Commanding Heights zetu ambazo zipo pale wazi na zimeshajengwa tunawapa wageni (Bandari et al)

Na hapo ukiona hivyo jamaa anajipigia chapio ili yeye kama kikaragosi cha walamba asali aendelee kupewa shavu (yaani kuangalia uzawa hata kabla ya ufanisi)
 
Hayo ya kujenga ni mambo ya mpito na inabidi tuanze kuwaza kuwa giants wa kujenga na nje sio ndani tu...., yaani tunataka ku concentrate kama nchi kwenye vijimiradi vya TARURA wakati Commanding Heights zetu ambazo zipo pale wazi na zimeshajengwa tunawapa wageni (Bandari et al)

Na hapo ukiona hivyo jamaa anajipigia chapio ili yeye kama kikaragosi cha walamba asali aendelee kupewa shavu (yaani kuangalia uzawa hata kabla ya ufanisi)
Tafuta Upenyo Nawe Uvuruge Miamala Uendelee Kuzibonya Raha,,Usisubiri Huruma Katika Hii "Dunia" Haina Huruma Kamwe.
 
Tafuta Upenyo Nawe Uvuruge Miamala Uendelee Kuzibonya Raha,,Usisubiri Huruma Katika Hii "Dunia" Haina Huruma Kamwe.
Myopic thinking unatafuta upenyo wa wewe kuweza kula makombo kwa miaka ambayo haiwezi kuzidi 70 mpaka 100 wakati vizazi na vizazi vinakuja kujutia na kuishi kama watumwa na ombaomba kwao....

Unadhani waasisi wangekuwa na fikra kama zako sasa hivi hata huo upenyo ungeupata wapi ?

Kama taifa inabidi kuwaza makubwa na sio kuendelea kuganga njaa... Na kama Africa kwa ujumla inabidi tuelewe Clans can not Defeat Empires; Ingawa mtu kama huyu porojo anazopiga sio za common mwananchi bali croonies wa wale wale walamba asali (waliotuletea kina Dowans et al)
 
Kwanza wale kiapo cha kufa mtu kuwa "hawatachakachua ". Majengo yanaanguka kwa uchakachuaji. Sementi inapigwa kwa kwenda mbele ili mradi tu jengo lisimame kiaina.
 
Myopic thinking unatafuta upenyo wa wewe kuweza kula makombo kwa miaka ambayo haiwezi kuzidi 70 mpaka 100 wakati vizazi na vizazi vinakuja kujutia na kuishi kama watumwa na ombaomba kwao....

Unadhani waasisi wangekuwa na fikra kama zako sasa hivi hata huo upenyo ungeupata wapi ?

Kama taifa inabidi kuwaza makubwa na sio kuendelea kuganga njaa... Na kama Africa kwa ujumla inabidi tuelewe Clans can not Defeat Empires; Ingawa mtu kama huyu porojo anazopiga sio za common mwananchi bali croonies wa wale wale walamba asali (waliotuletea kina Dowans et al)
Kwani Hadi Wewe Upo Kuna Vizazi Vingapi Vimepita?Hao Nao Watepewa Na Ulimwengu Kama Kizazi Chako Cha Sasa Kinavyopewa,,Ulimwengu Haujawahi Na Kamwe Hautakuja Kuishiwa Kizazi Na Kukipa Hicho Kizazi Namna Ya Kuishi Kamwe,,,Tumia Wakati Wako Vizuri Hata Kama Ni Sekunde Achana Na Hiyo Miaka 100<>70
 
Kuna barabara moja ilijengwa na mkandarasi mzawa aisee mwaka na nusu tu ni mashimo kila sehemu na lami utasema mtu alipaka rangi nyeusi tu akaondoka. Tungependa lakini wanachangamoto sana.
 
Kwani Hadi Wewe Upo Kuna Vizazi Vingapi Vimepita?Hao Nao Watepewa Na Ulimwengu Kama Kizazi Chako Cha Sasa Kinavyopewa,,
Aisee unaongelea nini hapa ? Unaongelea mambo ambayo PAN Africanists wamekuwa wakipigana na kugombania ili Afrika iondokane na utumwa na kuibiwa na kufanywa takataka alafu sasa hivi watu wanagawa na kutoa vitu on silver platter ? Kwamba vizazi vilivyopita vilipewa viwe Watumwa na wengine kutumia maisha yao yote kujikomboa wao na vizazi vijavyo ili sisi tuje tupoteze mali ya vizazi vijavyo ?
Ulimwengu Haujawahi Na Kamwe Hautakuja Kuishiwa Kizazi Na Kukipa Hicho Kizazi Namna Ya Kuishi Kamwe,,,Tumia Wakati Wako Vizuri Hata Kama Ni Sekunde Achana Na Hiyo Miaka 100<>70
Ndio hapo nakwambia kwanza Mababu zako walipewa utumwa (na walipewa na nani ali walishurutishwa na kunyanganywa mali zao), wakapigana na kuondokana nao na sasa hivi Uhuru wa Bendera, Vibaraka na Imprelialism..., hayo hayawezi yakaondolewa na mtu mmoja mmoja bali as a unit and to be precise yanahitaji Uongozi Bora sababu Watu tunao...
 
Aisee unaongelea nini hapa ? Unaongelea mambo ambayo PAN Africanists wamekuwa wakipigana na kugombania ili Afrika iondokane na utumwa na kuibiwa na kufanywa takataka alafu sasa hivi watu wanagawa na kutoa vitu on silver platter ? Kwamba vizazi vilivyopita vilipewa viwe Watumwa na wengine kutumia maisha yao yote kujikomboa wao na vizazi vijavyo ili sisi tuje tupoteze mali ya vizazi vijavyo ?

Ndio hapo nakwambia kwanza Mababu zako walipewa utumwa (na walipewa na nani ali walishurutishwa na kunyanganywa mali zao), wakapigana na kuondokana nao na sasa hivi Uhuru wa Bendera, Vibaraka na Imprelialism..., hayo hayawezi yakaondolewa na mtu mmoja mmoja bali as a unit and to be precise yanahitaji Uongozi Bora sababu Watu tunao...
Nani Amekudanganya Una Uhuru Wewe??Acha Kuota
 
Nani Amekudanganya Una Uhuru Wewe??Acha Kuota
Uhuru maana yake nini ? Au hata hilo haujui ? Binafsi nina uhuru sababu kila nachotaka kufanya nakifanya and by the way ndio maana hapo juu nimekwambia kama nchi kuna Uhuru wa Bendera au hata kusoma hujui ?
 
Uhuru maana yake nini ? Au hata hilo haujui ? Binafsi nina uhuru sababu kila nachotaka kufanya nakifanya and by the way ndio maana hapo juu nimekwambia kama nchi kuna Uhuru wa Bendera au hata kusoma hujui ?
Haya!!
 
Mfanyabiashara Rostam Aziz amesema kuna namna ya kuwawezesha wawekezaji wazawa ikiwemo kuwapa kazi kama za ujenzi wa Reli na Barabara kwani wapo wakandarasi wanaoweza kuzifanya kazi hizo badala ya kutegemea Wakandarasi wa Kampuni za nchi nyingine.


Ameyasema hayo wakati akizungumza katika mjadala wa Mwekezaji Mzawa atika Kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo, Desemba 5, 2024
Yupo sahii sana. Wawezeshe watafanya. Hizo Chinese companies tunazoziona ni state owned companies so sina muscles ya kutosha. Mzawa hawezi compete nazo bila kupata state support.
Just imagine tunakopoa billions of money na 80-90% zinarudi kule kwa mkopeshaji. Yaani pesa inayobaki hapa inchini ni % ndogo sana (kulipa vibarua, mchanga, kokoto na utility bills)
 
Back
Top Bottom