Wakati a.k.a mimi Album ya Albert Mangwair ikichukua album bora, Ilishindana na Album zipi?

Cowobama / mangwair hakuwa king of freestyle maana chid benzino alikuwa anamzidi bado hata nikkimbishi yuko mbali sanaaaaa
 
Alikuwa anakujaga hostel kumfata best yangu
 
Cowobama / mangwair hakuwa king of freestyle maana chid benzino alikuwa anamzidi bado hata nikkimbishi yuko mbali sanaaaaa
Mkuu unalopoka au ume research..............

Chid Benz alikua ana uwezo mkubwa wa ku freestyle lakini alikua hafui dafu Kwa mangwear..........

NGWEA alikua na shule kichwani ukichangia mjani alikua ni bonge la free style kingi.......

Chid Benz akasome japo mm ni fans wa chid Benz ila mangwear alikua mtu na nusu......
 
Yule mganga wa kienyeji Manyaunyau ingekuwa Ulaya angefungwa mamaae zake. Sijui yuko wapi siku hizi! Yule mbuzi alikuwa anatoka Mwananyamala kwa miguu, anapita Manzese mpaka Mabibo, njiani anakamata paka anachlnja ananyonya damu. That guy was fookin crazy man. Can yuo imagine?
 
K

Kwa kuandika ngosha hana mpinzani, hata hiyo verse yake kwenye CNN si ya kitoto, mbona verse kali tu.
Usiniite half man,niite man a half. Hapa kapaniki tu na kujisifia. Kumbuka ngoma ni ya kula bata.[emoji3]

Cowbama[emoji91]
 
K

Kwa kuandika ngosha hana mpinzani, hata hiyo verse yake kwenye CNN si ya kitoto, mbona verse kali tu.
Ni verse Kali sawa lakini alikua off topic ...Ngoma inahusu ku party ,Kula bata ...afu ngosha analeta mambo ya philosophy.....kwa kifupi alifunikwa Ile mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…