Pre GE2025 Wakati ambao Watanzania wanakabiliana na Hali mbaya ya kiuchumi, Serikali ya CCM inaongeza majimbo, 2015 iliongeza majimbo 25

Pre GE2025 Wakati ambao Watanzania wanakabiliana na Hali mbaya ya kiuchumi, Serikali ya CCM inaongeza majimbo, 2015 iliongeza majimbo 25

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Tanzania Chini ya Uongozi wa Serikali ya CCM itaendelea kupiga MatchTime. Yaani kwenda mbele na nyuma huku hali za wanyonge zikiendelea kudidimia siku hadi siku.

Inasikitisha sana kuona viongozi tulionao wanaona ni sawa kuongeza nafasi za vyeo na wala sio nafasi za Fursa za kiuchumi uwekezaji na kutoa huduma za kijamii.

Akieleza Mwenyekiti wa Tume ya muungano wa Watetezi wa haki za binadamu Bwana Olengurumwa, ametanabaisha kwa kusema Mwaka 2015 Serikali iliongeza takribani majimbo Mapya ya Uchaguzi. Hata hivyo February 28 mwaka huu imetangaza tena kufanya uchunguzi ili kuona namna gani kuongeza na kugawa baadhi ya Majimbo.

Inatafakarisha sana kwani kwa sasa watanzania hawahitaji Msururu na Lundo la viongozi badala yake hata hao waliopo ni wengi mno na tija yao haiaksi matokeo ya kazi zao.


Watetetezi TV online imetoa wito kwa Watanzania kushiriki kutafakari jambo hilo.


View: https://youtu.be/aJ-vZ2oM0og?si=xME0KLVDChqQ5epQ
 
Tanzania Chini ya Uongozi wa Serikali ya CCM itaendelea kupiga MatchTime. Yaani kwenda mbele na nyuma huku hali za wanyonge zikiendelea kudidimia siku hadi siku.

Inasikitisha sana kuona viongozi tulionao wanaona ni sawa kuongeza nafasi za vyeo na wala sio nafasi za Fursa za kiuchumi uwekezaji na kutoa huduma za kijamii.

Akieleza Mwenyekiti wa Tume ya muungano wa Watetezi wa haki za binadamu Bwana Olengurumwa, ametanabaisha kwa kusema Mwaka 2015 Serikali iliongeza takribani majimbo Mapya ya Uchaguzi. Hata hivyo February 28 mwaka huu imetangaza tena kufanya uchunguzi ili kuona namna gani kuongeza na kugawa baadhi ya Majimbo.

Inatafakarisha sana kwani kwa sasa watanzania hawahitaji Msururu na Lundo la viongozi badala yake hata hao waliopo ni wengi mno na tija yao haiaksi matokeo ya kazi zao.


Watetetezi TV online imetoa wito kwa Watanzania kushiriki kutafakari jambo hilo.


View: https://youtu.be/aJ-vZ2oM0og?si=xME0KLVDChqQ5epQ

Mwaka huu wataongeza majimbo mangapi
 
Tanzania Chini ya Uongozi wa Serikali ya CCM itaendelea kupiga MatchTime. Yaani kwenda mbele na nyuma huku hali za wanyonge zikiendelea kudidimia siku hadi siku.

Inasikitisha sana kuona viongozi tulionao wanaona ni sawa kuongeza nafasi za vyeo na wala sio nafasi za Fursa za kiuchumi uwekezaji na kutoa huduma za kijamii.

Akieleza Mwenyekiti wa Tume ya muungano wa Watetezi wa haki za binadamu Bwana Olengurumwa, ametanabaisha kwa kusema Mwaka 2015 Serikali iliongeza takribani majimbo Mapya ya Uchaguzi. Hata hivyo February 28 mwaka huu imetangaza tena kufanya uchunguzi ili kuona namna gani kuongeza na kugawa baadhi ya Majimbo.

Inatafakarisha sana kwani kwa sasa watanzania hawahitaji Msururu na Lundo la viongozi badala yake hata hao waliopo ni wengi mno na tija yao haiaksi matokeo ya kazi zao.


Watetetezi TV online imetoa wito kwa Watanzania kushiriki kutafakari jambo hilo.


View: https://youtu.be/aJ-vZ2oM0og?si=xME0KLVDChqQ5epQ

Ndo nafasi za kazi hizo mkuu
 
Msiwe mnailaum CCM! Jamuhuri ilikuwepo kabla ya ccm kuwepo!!

Na idara za kijasusi za jamuhuri zingeamua hatma ya siasa zetu kabla ccm haijaamua!

Tatizo CCM imefanywa kuwa kubwa kuliko jamhuri,kuliko nchi,kuliko idara kuliko Kila kitu hilo ndio tatizo!!

Turudi kwenye misingi!!
 
Akili za ccm zinachekesha sana.
Sasa kwa akili zao sijui wana mpango wa kuwa na majimbo ma mangapi? Maana kadri watu wanavyoongezeka watataka kuongeza majimbo. Au hadi yafike milioni ndiyo wataridhika?
 
Akili za ccm zinachekesha sana.
Sasa kwa akili zao sijui wana mpango wa kuwa na majimbo ma mangapi? Maana kadri watu wanavyoongezeka watataka kuongeza majimbo. Au hadi yafike milioni ndiyo wataridhika?
Kanuni zao zinasema kila baada ya miaka 10 wataongeza
 
Msiwe mnailaum CCM! Jamuhuri ilikuwepo kabla ya ccm kuwepo!!

Na idara za kijasusi za jamuhuri zingeamua hatma ya siasa zetu kabla ccm haijaamua!

Tatizo CCM imefanywa kuwa kubwa kuliko jamhuri,kuliko nchi,kuliko idara kuliko Kila kitu hilo ndio tatizo!!

Turudi kwenye misingi!!
Sasa mkuu sisi tunaiona ccm hao wengine wenye nguvu kuliko ccm ni akina nani? Mchango wao ni upi?
 
Back
Top Bottom