Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #41
Inasikitisha sanaTunaendelea kuwa na sheria zilizopitwa na wakati huku Wawakilishi wetu wakiwa busy kugawana tu cake ya taifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sanaTunaendelea kuwa na sheria zilizopitwa na wakati huku Wawakilishi wetu wakiwa busy kugawana tu cake ya taifa!
So unamanisha wabunge 150 tuKwa idadi yetu, tulipaswa kuwa na Wabunge wasiozidi 150,000 ili mbunge mmoja awakilishe wananchi 500,000. tu!
Uhusiano mkubwa sana na wa moja kwa moja, tafakari kwa kina utagundua.Kuna uhusiano wa october 20w0 na haya?
Matumizi mabaya na ya hovyo kabisa ya kodi za wananchiAkieleza Mwenyekiti wa Tume ya muungano wa Watetezi wa haki za binadamu Bwana Olengurumwa, ametanabaisha kwa kusema Mwaka 2015 Serikali iliongeza takribani majimbo Mapya ya Uchaguzi. Hata hivyo February 28 mwaka huu imetangaza tena kufanya uchunguzi ili kuona namna gani kuongeza na kugawa baadhi ya Majimbo.
Tanzania Chini ya Uongozi wa Serikali ya CCM itaendelea kupiga MatchTime. Yaani kwenda mbele na nyuma huku hali za wanyonge zikiendelea kudidimia siku hadi siku.
Inasikitisha sana kuona viongozi tulionao wanaona ni sawa kuongeza nafasi za vyeo na wala sio nafasi za Fursa za kiuchumi uwekezaji na kutoa huduma za kijamii.
Akieleza Mwenyekiti wa Tume ya muungano wa Watetezi wa haki za binadamu Bwana Olengurumwa, ametanabaisha kwa kusema Mwaka 2015 Serikali iliongeza takribani majimbo Mapya ya Uchaguzi. Hata hivyo February 28 mwaka huu imetangaza tena kufanya uchunguzi ili kuona namna gani kuongeza na kugawa baadhi ya Majimbo.
Inatafakarisha sana kwani kwa sasa watanzania hawahitaji Msururu na Lundo la viongozi badala yake hata hao waliopo ni wengi mno na tija yao haiaksi matokeo ya kazi zao.
Watetetezi TV online imetoa wito kwa Watanzania kushiriki kutafakari jambo hilo.
View: https://youtu.be/aJ-vZ2oM0og?si=xME0KLVDChqQ5epQ
Inashangaza sanaMmoja wa wanufaika watarajiwa wa kuvunja majimbo ni Tulia Ackson. Inatafutwa kila namna abebwe. Sijui wanajishtukia nini kumuiga JPM kwenye ule uchafuzi wake wa 2020, wakati utekaji na udhalimu mwingine wanamuiga!
Tanzania Chini ya Uongozi wa Serikali ya CCM itaendelea kupiga MatchTime. Yaani kwenda mbele na nyuma huku hali za wanyonge zikiendelea kudidimia siku hadi siku.
Inasikitisha sana kuona viongozi tulionao wanaona ni sawa kuongeza nafasi za vyeo na wala sio nafasi za Fursa za kiuchumi uwekezaji na kutoa huduma za kijamii.
Akieleza Mwenyekiti wa Tume ya muungano wa Watetezi wa haki za binadamu Bwana Olengurumwa, ametanabaisha kwa kusema Mwaka 2015 Serikali iliongeza takribani majimbo Mapya ya Uchaguzi. Hata hivyo February 28 mwaka huu imetangaza tena kufanya uchunguzi ili kuona namna gani kuongeza na kugawa baadhi ya Majimbo.
Inatafakarisha sana kwani kwa sasa watanzania hawahitaji Msururu na Lundo la viongozi badala yake hata hao waliopo ni wengi mno na tija yao haiaksi matokeo ya kazi zao.
Watetetezi TV online imetoa wito kwa Watanzania kushiriki kutafakari jambo hilo.
View: https://youtu.be/aJ-vZ2oM0og?si=xME0KLVDChqQ5epQ
Hii hesabu yako ina maana Watanzania tuko 75,000,000,000 au mimi ndiyo sijakusoma vizuri mkuu?Kwa idadi yetu, tulipaswa kuwa na Wabunge wasiozidi 150,000 ili mbunge mmoja awakilishe wananchi 500,000. tu!
" There are no Poor countries, only the failed systems resource management
Hehehe......Hesabu za Mody Pale JangwaniHii hesabu yako ina maana Watanzania tuko 75,000,000,000 au mimi ndiyo sijakusoma vizuri mkuu?
Heheheh NETO wajiandae sasaWatakwambia wamebuni nafasi mpya za ajira.
Tanzania Chini ya Uongozi wa Serikali ya CCM itaendelea kupiga MatchTime. Yaani kwenda mbele na nyuma huku hali za wanyonge zikiendelea kudidimia siku hadi siku.
Inasikitisha sana kuona viongozi tulionao wanaona ni sawa kuongeza nafasi za vyeo na wala sio nafasi za Fursa za kiuchumi uwekezaji na kutoa huduma za kijamii.
Akieleza Mwenyekiti wa Tume ya muungano wa Watetezi wa haki za binadamu Bwana Olengurumwa, ametanabaisha kwa kusema Mwaka 2015 Serikali iliongeza takribani majimbo Mapya ya Uchaguzi. Hata hivyo February 28 mwaka huu imetangaza tena kufanya uchunguzi ili kuona namna gani kuongeza na kugawa baadhi ya Majimbo.
Inatafakarisha sana kwani kwa sasa watanzania hawahitaji Msururu na Lundo la viongozi badala yake hata hao waliopo ni wengi mno na tija yao haiaksi matokeo ya kazi zao.
Watetetezi TV online imetoa wito kwa Watanzania kushiriki kutafakari jambo hilo.
View: https://youtu.be/aJ-vZ2oM0og?si=xME0KLVDChqQ5epQ