Wakati Arsenal na Man city zimecheza mechi 23 za ligi, Zote Zina penalties 2 tu, Simba mechi 16 penalties 8..Tafakarini

Wakati Arsenal na Man city zimecheza mechi 23 za ligi, Zote Zina penalties 2 tu, Simba mechi 16 penalties 8..Tafakarini

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
679
Reaction score
870
Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.

Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu. Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.

Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.

Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...

Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.

Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.

Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?

Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,

Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.

Chelsea imeruhusu penalties 6

Arsenal imeruhusu penalties 2

Man City imeruhusu 3

NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..

Yanga wao nitadili nao kesho.
 
Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.

Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu.
Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.

Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...

Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.

Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.

Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?

Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3

NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..

Yanga wao nitadili nao kesho.
Sasa tutafakari nini wakati inaonesha wachezaji wa timu pinzani wanacheza rafu za makusudi kwenye penati box.
Ama ulitaka mtu avunjike ndio uamini kama ni penati?!
 
Je, hizo penalti ni halali au haramu?
 
Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.

Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu.
Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.

Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...

Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.

Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.

Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?

Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3

NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..

Yanga wao nitadili nao kesho.
Argentina alishinda kombe la dunia kwa penalty
 
Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.

Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu.
Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.

Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...

Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.

Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.

Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?

Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3

NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..

Yanga wao nitadili nao kesho.
Kwanza ni kosa kufananisha ligi ya Epl na uchafu wa bongo…… pili ulitaka kuelekea wapi kwani bro.
 
Waamuzi wengi wa Tanzania ni majanga. Yaani mwenye unafuu ni Arajiga tu na wenzake wachache.
Nadhani kwa marefa wa bongo imani ya watanzania imepungua sana, hata itokee wachezeshe vizuri sijui kama wataaminika tena maana makosa ya kibinadamu ni yale yale. Sijui tufanye nini suala la marefa maana imekuwa janga la kudumu,kwenye michezo ya kimataifa hamna anayelalamika marefa,lakini kwenye ligi kila siku ni vilio
 
Nadhani kwa marefa wa bongo imani ya watanzania imepungua sana, hata itokee wachezeshe vizuri sijui kama wataaminika tena maana makosa ya kibinadamu ni yale yale. Sijui tufanye nini suala la marefa maana imekuwa janga la kudumu,kwenye michezo ya kimataifa hamna anayelalamika marefa,lakini kwenye ligi kila siku ni vilio
Waamuzi wengi wa nchi yetu hawafuati kikamilifu sheria 17 za soka kwa makusudi, au uwezo wao wa kutafsiri hizo sheria, ni mdogo, au watakuwa wanahongwa ili kuzibeba baadhi ya timu.

Na hapa naongelea kwenye mechi nyingi wanazochezesha! Zikiwemo hata zile za timu yangu ya Yanga. Kwa mwamuzi wa kati, walau Arajiga na waamuzi wenzake wachache ndiyo wanajitahidi kuzisimamia hizo sheria.
 
Waamuzi wengi wa nchi yetu hawafuati kikamilifu sheria 17 za soka kwa makusudi, au uwezo wao wa kutafsiri hizo sheria, ni mdogo, au watakuwa wanahongwa ili kuzibeba baadhi ya timu.

Na hapa naongelea kwenye mechi nyingi wanazochezesha! Zikiwemo hata zile za timu yangu ya Yanga. Kwa mwamuzi wa kati, walau Arajiga na waamuzi wenzake wachache ndiyo wanajitahidi kuzisimamia hizo sheria.
Nadhani ni vizuri TFF iandae kama waamuzi 10 tu hata kwenda kusomea kozi,tena wachaguliwe wenye unafuu,tuwe na waamuzi wachache hata 10 tu ila wawe bora kuliko kuwa na rundo kubwa la wanaovunja sheria
 
Back
Top Bottom