Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kupewa au halaliTuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.
Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu.
Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.
Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...
Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.
Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.
Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?
Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3
NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..
Yanga wao nitadili nao kesho.
Uko sahihi. Hawa waamuzi wetu wa sasa, wengi wao wanaendeshwa na siasa za usimba na uyanga.Nadhani ni vizuri TFF iandae kama waamuzi 10 tu hata kwenda kusomea kozi,tena wachaguliwe wenye unafuu,tuwe na waamuzi wachache hata 10 tu ila wawe bora kuliko kuwa na rundo kubwa la wanaovunja sheria
Anafananisha epl na amateur leagueKwanza ni kosa kufananisha ligi ya Epl na uchafu wa bongo…… pili ulitaka kuelekea wapi kwani bro.
Aucho mcheza rafu mashuhuri ligi kuu ila hata njano hapatagiTuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.
Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu.
Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.
Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...
Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.
Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.
Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?
Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3
NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..
Yanga wao nitadili nao kesho.
Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.
Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu.
Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.
Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...
Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.
Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.
Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?
Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3
NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..
Yanga wao nitadili nao kesho.
Kwamba simba mechi 17 penalty 8 alaf timu yake mechi 1 penalti2Msimu huu Simba haijawahi kupewa penati mbili katika mechi moja. Unalizungumziaje hilo mleta mada?
Eeeh na atupe takwimu huko EPL ni mechi ngapi timu moja ilipewa penati 2.Kwamba simba mechi 17 penalty 8 alaf timu yake mechi 1 penalti2
Nashangaa watu wanalilia Aucho awe anapata man of the match wakati mechi nyingi anatakiwa hata asizimalize kwa umeme au akose kabisa mechi kwa kadi za njano.Aucho mcheza rafu mashuhuri ligi kuu ila hata njano hapatagi
Bacca old school beki na mwezie mudathir wanarukia watu kung fu kwenye box ila marefa kimyaa
Bwana Sayville, hakuna fair treatment kwa timu kubwa dhidi ya timu ndogo kwa kila kitu,Nashangaa watu wanalilia Aucho awe anapata man of the match wakati mechi nyingi anatakiwa hata asizimalize kwa umeme au akose kabisa mechi kwa kadi za njano.
Usilazimishe kuiingiza Simba wakati inajulikana anayebebwa katika ligi hii ni nani.Bwana Sayville, hakuna fair treatment kwa timu kubwa dhidi ya timu ndogo kwa kila kitu,
Sina kumbukumbu kama Simba au Yanga waliwahi kupewa red card yeyote.
Yaani manung'uniko ni mengi sana.
Hebu check hata wewe in three or four years back, uliwahi lini kuona red card imetolewa kwa Simba au Yanga dhidi ya kagera, Namungu, au Prison
Kuna kila dalili vilabu vyetu vikubwa vinahonga waamuzi..Ulivyoandika ni kama Simba inajiamulia tu kupiga penati kila baada ya mechi mbili.
Tusiojua mpira tunadhani huko Msimbazi kuna sehemu ya kujiokotea tu penati.
Kuanzia leo nashauri simba hata mchezaji wao akipigwa panga kwenye 18 ya mpinzani mchezo uendelee tu.Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.
Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu. Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.
Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...
Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.
Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.
Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?
Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3
NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..
Yanga wao nitadili nao kesho.
Hili swala nakushauri ulipeleke CAS.Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.
Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu. Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.
Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...
Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.
Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.
Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?
Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3
NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..
Yanga wao nitadili nao kesho.