Wakati Arsenal na Man city zimecheza mechi 23 za ligi, Zote Zina penalties 2 tu, Simba mechi 16 penalties 8..Tafakarini

Wakati Arsenal na Man city zimecheza mechi 23 za ligi, Zote Zina penalties 2 tu, Simba mechi 16 penalties 8..Tafakarini

Na waliopewa penati mbili kwenye moja je unazungumziaje ndugu mchambuzi
 
Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.

Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu.
Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.

Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...

Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.

Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.

Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?

Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3

NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..

Yanga wao nitadili nao kesho.
Za kupewa au halali
 
Nadhani ni vizuri TFF iandae kama waamuzi 10 tu hata kwenda kusomea kozi,tena wachaguliwe wenye unafuu,tuwe na waamuzi wachache hata 10 tu ila wawe bora kuliko kuwa na rundo kubwa la wanaovunja sheria
Uko sahihi. Hawa waamuzi wetu wa sasa, wengi wao wanaendeshwa na siasa za usimba na uyanga.
 
Wanaharibu ligi kabisa.
Yaani hata bookies wangeongeza option ya possibility penalty_Yes or No kwny odds markets zao...

Maana uwepo wa penalty kwny mechi zinazohusisha timu kubwa unatabirika mno.
 
Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.

Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu.
Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.

Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...

Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.

Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.

Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?

Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3

NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..

Yanga wao nitadili nao kesho.
Aucho mcheza rafu mashuhuri ligi kuu ila hata njano hapatagi

Bacca old school beki na mwezie mudathir wanarukia watu kung fu kwenye box ila marefa kimyaa
 
Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.

Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu.
Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.
Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.

Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...

Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.

Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.

Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?

Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,
Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.
Chelsea imeruhusu penalties 6
Arsenal imeruhusu penalties 2
Man City imeruhusu 3

NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..

Yanga wao nitadili nao kesho.
IMG_5200.jpeg
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kwamba simba mechi 17 penalty 8 alaf timu yake mechi 1 penalti2
Eeeh na atupe takwimu huko EPL ni mechi ngapi timu moja ilipewa penati 2.

Asiishie hapo, pia atuambie ni timu ngapi huko Uingereza zimefunga magoli ya mkono msimu huu.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Aucho mcheza rafu mashuhuri ligi kuu ila hata njano hapatagi

Bacca old school beki na mwezie mudathir wanarukia watu kung fu kwenye box ila marefa kimyaa
Nashangaa watu wanalilia Aucho awe anapata man of the match wakati mechi nyingi anatakiwa hata asizimalize kwa umeme au akose kabisa mechi kwa kadi za njano.
 
Nashangaa watu wanalilia Aucho awe anapata man of the match wakati mechi nyingi anatakiwa hata asizimalize kwa umeme au akose kabisa mechi kwa kadi za njano.
Bwana Sayville, hakuna fair treatment kwa timu kubwa dhidi ya timu ndogo kwa kila kitu,

Sina kumbukumbu kama Simba au Yanga waliwahi kupewa red card yeyote.
Yaani manung'uniko ni mengi sana.

Hebu check hata wewe in three or four years back, uliwahi lini kuona red card imetolewa kwa Simba au Yanga dhidi ya kagera, Namungu, au Prison
 
Bwana Sayville, hakuna fair treatment kwa timu kubwa dhidi ya timu ndogo kwa kila kitu,

Sina kumbukumbu kama Simba au Yanga waliwahi kupewa red card yeyote.
Yaani manung'uniko ni mengi sana.

Hebu check hata wewe in three or four years back, uliwahi lini kuona red card imetolewa kwa Simba au Yanga dhidi ya kagera, Namungu, au Prison
Usilazimishe kuiingiza Simba wakati inajulikana anayebebwa katika ligi hii ni nani.

Tusiende mbali maana kumbukumbu zinaweza kuwa finyu, tustick tu na msimu huu. Nitajie mechi ya Simba dhidi ya hizo timu ndogo ambayo mchezaji wa Simba alistahili kupata red card. Ukimaliza nitajie za Yanga maana zipo.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ulivyoandika ni kama Simba inajiamulia tu kupiga penati kila baada ya mechi mbili.

Tusiojua mpira tunadhani huko Msimbazi kuna sehemu ya kujiokotea tu penati.
 
Ulivyoandika ni kama Simba inajiamulia tu kupiga penati kila baada ya mechi mbili.

Tusiojua mpira tunadhani huko Msimbazi kuna sehemu ya kujiokotea tu penati.
Kuna kila dalili vilabu vyetu vikubwa vinahonga waamuzi..

Hebu fikiria vizuri, ni timu gani popote duniani ambayo ina takwimu za aina hiyo......yaani timu ina wastani wa kupewa penati kila baada ya mechi mbili.
 
Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.

Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu. Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.

Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.

Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...

Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.

Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.

Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?

Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,

Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.

Chelsea imeruhusu penalties 6

Arsenal imeruhusu penalties 2

Man City imeruhusu 3

NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..

Yanga wao nitadili nao kesho.
Kuanzia leo nashauri simba hata mchezaji wao akipigwa panga kwenye 18 ya mpinzani mchezo uendelee tu.
 
Mleta mada ana agenda yake.Bournemouth wamepata penalti 7 mpaka sasa.Wamefunga 6 na kukosa 1.Liverpool wamepata penalti 6 na kufunga zote.Na huwezi kusikia watu wanajadili penalti kwa sababu ni sehemu ya mchezo.What next freekicks,kona,indirect freekicks throwins, cross zilizoleta magoli?
Presha imeshaanza kupanda wanaanza kutayarishwa wavimba macho ili mambo yakiharibika wapate visingizio.
 
Tuweke Ushabiki kando.
Hii ligi yetu inaelekea wapi.

Timu za Arsenal na Manchester City tunazozifahamu wengi wetu. Ni timu zilizo kwny nafasi za juu kwenye ligi ya Uingereza.

Ni timu zilizo na falsafa ya kuchezea na kumiliki mpira wakati mwingi.

Sasa Inakuwaje timu hizo hadi leo hii zimepewa na waamuzi penalties 2 @, katika michezo 23 za ligi yao. ...huku ikijulikana kuwa timu zinacheza soka kushambulia...

Halafu muda huohuo Simba Sc ya Tanzania hadi sasa imepatiwa na waamuzi penalties 8 kwenye mechi 16....?
Hii ni wastani wa penalty moja kila baada ya mechi mbili.

Na Katika penalties nane hizo, 6 ni penalties za kuamua matokeo....yaani zilitolewa dakika za jiooni.?
Kwa mfano mechi ya Dodoma Jiji.

Katika mechi zake hizo Simba Sc, waamuzi hawajawahi kuruhusu penalty yeyote ipigwe kuelekezwa langoni mwake...je ina maana backline ya Simba haina mapungufu yeyote?

Mbona kwa wenzetu hali ni tofauti,

Mathalani timu hizi ni giant lakini waamuzi wao wamekuwa na ujasiri wa kutoa penalties dhidi yao.

Chelsea imeruhusu penalties 6

Arsenal imeruhusu penalties 2

Man City imeruhusu 3

NB naposema "kuruhusu" simaanishi kuruhusu penalty ya kujitakia..

Yanga wao nitadili nao kesho.
Hili swala nakushauri ulipeleke CAS.
 
Back
Top Bottom