Wakati Azam anatawanywa leo Simba wajiandae tarehe 8

Mmm hiyo ndugu ndo imetoka kabisaa, na ushauri wa bure ni kwamba naomba kabla ya mech kuanza ule chakula Cha jion maana utakosa ham bureee
 
hii gari ya mkaa trip mbili za shamba imeshajiona inaweza kwenda masafa ya mbali
kumbe leo ni gereji ikibisha tutaikuta juu ya mawe
Mbaula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utopolo
 

Attachments

  • 3e0e8ea87ec3499aa64135a13187e340.mp4
    869.4 KB

Naaam naaaam naaaam
Wape salam
 
Mmm hiyo ndugu ndo imetoka kabisaa, na ushauri wa bure ni kwamba naomba kabla ya mech kuanza ule chakula Cha jion maana utakosa ham bureee

Mkuu ulikumbuka kula kabla ya mech?
 
Lait kama anagekua mtabgazaji ni baraka mpenja mambo yangekua hivi
dakika za kikatili
Prince dube mkatili
Dar yanga Africa ana wakatili
Whaooo
what a goal
what a shoot
what a rocket
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…