Mbaula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii gari ya mkaa trip mbili za shamba imeshajiona inaweza kwenda masafa ya mbali
kumbe leo ni gereji ikibisha tutaikuta juu ya mawe
Huko ndio nyumbani kwa uchawiNugaz NI muislam lakini Kwa uchawi hajambo
kuutoa tena mpaka oparesheniAngalia usije kuanguka huo mwiko ukazidi kuzama
Wakuu habari zenu
hapana shaka Simba aka Jobo wamekalia kiti cha uongozi wa ligi kwa muda lkn nimeona wana kelele mingi koko hawa....!!
Leo jioni tunachukua pointi tatu muhimu kutoka kwa Azam na kurudi kwenye makazi yetu. Meanwhile nawakumbusha Simba wajiandae kisaikolojia tar 8/05/2021 tunawabinua.
Poleni kwa kuwapa taarifa mapema najua mudi zenu lazima ziharibike.... mnakaribishwa kutoa mapovu manake ni sumu ile....
Mmm hiyo ndugu ndo imetoka kabisaa, na ushauri wa bure ni kwamba naomba kabla ya mech kuanza ule chakula Cha jion maana utakosa ham bureee
Una uhakika?Nugaz NI muislam lakini Kwa uchawi hajambo