Wakati bongo tukizisubiri ndege 2 za mkoa hadi mkoa, Kenya kuna ndege za jijini Nairobi

Wakati bongo tukizisubiri ndege 2 za mkoa hadi mkoa, Kenya kuna ndege za jijini Nairobi

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
1472987750196.jpg


Wana bodi serikali ya Kenya inazidi kuwajengea wananchi wake uhakika wa safari za jijini Nairobi baada ya kuanzisha safari za ndege aina ya helkopta kama tax.

Haya ni maendeleo makubwa sana kwa jiji la Nairobi, sisi sijui ndege zetu zitaingia lini ili nasi tujidai kupata usafiri wa DSM-Kibondo!
 
Binafsi simkubali Magufuli ila sioni sababu ya kuanzisha thread ya aina hii, siri ya kuendelea ni kujikubali pamoja na mapungufu yako. Kenya ni Kenya na Tz ni Tz
 
Hao si uber wako pia na bongo..sema hawajaanza kutumia helicopter bongo
 
Mkuu Hao Uber ni kampuni na hata hapa dar watakuja Kuanzisha huduma zao ila wataanza na taxi. Kuhusu hoja yako MIMI siungi mkono kwa sababu ndege za magufuli ni za shirika letu wenyewe.. Nairobi ni jiji lililokua tofauti na dar pale kuna wagen wengi hivyo Uber wakaamua waanzishe na helicopter.. Bado tuna mda wa kufanya vizuri kwenye hii sekta ya anga ingawa tumechelewa
 
Mkuu Hao Uber ni kampuni na hata hapa dar watakuja Kuanzisha huduma zao ila wataanza na taxi. Kuhusu hoja yako MIMI siungi mkono kwa sababu ndege za magufuli ni za shirika letu wenyewe.. Nairobi ni jiji lililokua tofauti na dar pale kuna wagen wengi hivyo Uber wakaamua waanzishe na helicopter.. Bado tuna mda wa kufanya vizuri kwenye hii sekta ya anga ingawa tumechelewa
Bongo wapo wanamiez kama miwili sahv...tembelea page yao Uber Tanzania
 
Hujui unalosema, sasa uber nijuhudi za serikali?

Ungeuliza kwanza kama hujui kinacho endelea
 
Hizi ndege naomba msiwapotoshe watanzania ni ndege zilizokodishwa Na watu Wa uber kwa muda mfupi ili kuvutia biashara zao za taxi.
 
Hata Mbuyu ulianza kuota kama mchicha.
Mzaha mzaha utashangaa ndani ya miaka kumi tunazo ndege 20.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha jamani,ilo shirika la ATC lishakufa tayari ndege zote zimepukutika kwasasa wamebaki na 1tu,ngoja zije hizo 2 tuckilizie inakuwaje.Kenya wametutangulia sana kwenye aviation kwasasa hawezi kujilinganisha nao kwasasa.
 
Hata kabla hawajaja hao Uber, haya mavitu yalikua yamejaa kwenye anga zetu hadi kero.
Wanasiasa wa Bongo huwa wanakodi hizi chopa kutoka Kenya.

 
View attachment 393447

Wana bodi serikali ya Kenya inazidi kuwajengea wananchi wake uhakika wa safari za jijini Nairobi baada ya kuanzisha safari za ndege aina ya helkopta kama tax.

Haya ni maendeleo makubwa sana kwa jiji la Nairobi, sisi sijui ndege zetu zitaingia lini ili nasi tujidai kupata usafiri wa DSM-Kibondo!

Headline ya UZI wako na actual content yako vinanipa mno " ukakasi " na kunifanya nijiulize maswali lukuki juu yako. Hivi namba 10 inaweza kuanza bila 1? Je unajuaje labda mikakati ya sasa ya uendeshaji wa ATCL hasa katika awamu hii ya Rais wetu Mpendwa John Pombe Joseph Magufuli itatupelekea na sisi kuwa na Ndege za kutosha na kukidhi mahitaji wa muda mfupi halafu huko mbeleni UCHUMI wetu ukiimarika zaidi tunaweza hata kuwa na Ndege au hizo Helicopter kama za hao unaowababaikia Wakenya? Hivyo unavyokejeli na kuponda utadhani hakuna jambo jema na la maendeleo limefanyika nchi hii tokea tupate UHURU wetu. Kuna wenzako japo na huu huu UMASIKINI wetu tulionao lakini kuna mambo mengi tu yenye tija wanakuja kujifunza kutoka kwetu. Tuache SANIFU za aina hii na badala yake kwa pamoja TUWAJIBIKE kila mmoja kwa nafasi yake ili na sisi siku moja hao Wakenya wako waje kuiga ya kwetu. Kuna SEKTA zingine huko Kenya ni mbaya na hata zetu hapa zina unafuu lakini Wewe hizo hujaziona na uliyoiona ni hii tu ya AVIATION. Sikutegemea Mtu kama Wewe leo ungekuja na such a " blanket " thread kama hii.

Hata hivyo kama ni suala tu la Ndege kama za hao Wakenya kuwepo nchini nadhani sisi Tanzania ndiyo tunazo na ukitaka uzione zipo nyingi tu Tanga, Rukwa, Pwani na Mwanza sema tu zenyewe zimeundwa na mfumo wa kusafiri usiku tu " boda kwa boda " na asubuhi zinapumzishwa na huwa tunazipanda sana tu kutoka Shamba moja hadi lingine kwa gharama nafuu sana. Je hizi Ndege hao Wakenya wako wanazo? Ubunifu unatofautiana Mkuu.
 
Haha labda hvo...maana Nairobi kuna mamillionare wengi "$" compare to Dar kwa takwimu nilizosoma

Kusoma tuu njoo nai city huku kuna capitalists weusi sio huko capitalist wanakaa masaki na obay badala ya kwenda kukaa nje ya miji
 
Headline ya UZI wako na actual content yako vinanipa mno " ukakasi " na kunifanya nijiulize maswali lukuki juu yako. Hivi namba 10 inaweza kuanza bila 1? Je unajuaje labda mikakati ya sasa ya uendeshaji wa ATCL hasa katika awamu hii ya Rais wetu Mpendwa John Pombe Joseph Magufuli itatupelekea na sisi kuwa na Ndege za kutosha na kukidhi mahitaji wa muda mfupi halafu huko mbeleni UCHUMI wetu ukiimarika zaidi tunaweza hata kuwa na Ndege au hizo Helicopter kama za hao unaowababaikia Wakenya? Hivyo unavyokejeli na kuponda utadhani hakuna jambo jema na la maendeleo limefanyika nchi hii tokea tupate UHURU wetu. Kuna wenzako japo na huu huu UMASIKINI wetu tulionao lakini kuna mambo mengi tu yenye tija wanakuja kujifunza kutoka kwetu. Tuache SANIFU za aina hii na badala yake kwa pamoja TUWAJIBIKE kila mmoja kwa nafasi yake ili na sisi siku moja hao Wakenya wako waje kuiga ya kwetu. Kuna SEKTA zingine huko Kenya ni mbaya na hata zetu hapa zina unafuu lakini Wewe hizo hujaziona na uliyoiona ni hii tu ya AVIATION. Sikutegemea Mtu kama Wewe leo ungekuja na such a " blanket " thread kama hii.

Hata hivyo kama ni suala tu la Ndege kama za hao Wakenya kuwepo nchini nadhani sisi Tanzania ndiyo tunazo na ukitaka uzione zipo nyingi tu Tanga, Rukwa, Pwani na Mwanza sema tu zenyewe zimeundwa na mfumo wa kusafiri usiku tu " boda kwa boda " na asubuhi zinapumzishwa na huwa tunazipanda sana tu kutoka Shamba moja hadi lingine kwa gharama nafuu sana. Je hizi Ndege hao Wakenya wako wanazo? Ubunifu unatofautiana Mkuu.
Huyo jamaa ni kati ya wale waliokuwa wanazungusha mikono hewani kwahiyo kuisema vibaya nchi yao si tatizo. Bado wako restless kiasi wamepoteza na ule uwezo wa kawaida wa kufikiria sawa sawa.
 
Back
Top Bottom