Mbulu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 5,620
- 5,515
Nitafutie uraia KenyaPoleni sana dunia ndio inazunguka hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafutie uraia KenyaPoleni sana dunia ndio inazunguka hivyo
View attachment 393447
Wana bodi serikali ya Kenya inazidi kuwajengea wananchi wake uhakika wa safari za jijini Nairobi baada ya kuanzisha safari za ndege aina ya helkopta kama tax.
Haya ni maendeleo makubwa sana kwa jiji la Nairobi, sisi sijui ndege zetu zitaingia lini ili nasi tujidai kupata usafiri wa DSM-Kibondo!
Kwani hata wanavyotuponda hapa ni kama wanatupenda. Maana wao kwa wao wakikutana kwenye maslahi yaani mkamba na mjaluo wana chuki ya kuuwanaBinafsi simkubali Magufuli ila sioni sababu ya kuanzisha thread ya aina hii, siri ya kuendelea ni kujikubali pamoja na mapungufu yako. Kenya ni Kenya na Tz ni Tz