Wakati bongo tukizisubiri ndege 2 za mkoa hadi mkoa, Kenya kuna ndege za jijini Nairobi

Leo umegonga mwamba.
 
I am hoping you all know how uber works

Mimi kama mkenya nikiwa na gari langu najisajili kwao wananipa simu na naanza kupokea wateja ndege hizi ni za wakenya uber imewasajili wabebe watu around Nairobi
 
Kuna baadhi ya nchi zilidhani kuwa TANZANIA tutaendelea kulala usingizi sasa tumeamka na kuanza kukimbia gafla tunawashtua. Si haba bora tuanze na za kwetu wenyewe mbili tutaoneza kadiri ya mahitaji na uwezo lakini majirani wetu wajue pamoja na kutangulia spidi tunayokuja nayo sasa hivi tunawapigia indicator.
 
but still it's worthy to mention that Kenya airways has a total of 58 jets /large aeroplanes and 18 Boeing 737 dreamliner on order between now and 2024 while Tanzania has 1 and two on order.
.....
 
Ufisadi tu na kusafirisha madawa ya kulevya akuna kuna kitu hapo .kwanza zinaleta kelele mijini upumbavu mtupu
 


!
!
tuko bize na viwanda vya mifuko ya jamii
 
Huku tunabana upinzani kwanza,maendeleo baadae
 
Wewe unaweza kukodi ndege kukutoa eneo moja hadi lingine jijini kwako? (kama upo jijini) au kujishaua tu

Halafu hizo ni za Uber
 
Wewe unaweza kukodi ndege kukutoa eneo moja hadi lingine jijini kwako? (kama upo jijini) au kujishaua tu

Halafu hizo ni za Uber
Hizo zinatumika kama tax wewe kiumbe watu tunapanda kila siku, wewe kalia trl ya ubungo kariakoo
 
Ufisadi tu na kusafirisha madawa ya kulevya akuna kuna kitu hapo .kwanza zinaleta kelele mijini upumbavu mtupu
Utabakia kutoa mapovu tu
 
Sie tunasubiri wakati wa Kampeni tu...

Ila Helicoter zipo sana Dar Pesa yako tu wanakurush airport au Hotelin or kula round tu pale Holiday inn na kule Masaki...

Namkumbuka Filukunjombe.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…