Wakati Corona ikipamba moto, zaidi ya wagonjwa 500 nchini Kenya waruhusiwa kwenda nyumbani kujitibu

Toka mitandaoni umsubiri jiwe aunde facebook yake
 
Bwahaha!!toka mitandaoni bana, jiwe atawaundia mpaka gps yenu..
Mabeberu wabaya sana, hata nguo zoa choma kabisa..simu tupa
Una njaa ee? C nilikupa ofa we ! Weka namba yako ya cm inbox tutatue tatizo.
 
Hii ndio nilitegemea walau watu waseme, kwa sababu baada ya siku 11 mgonjwa hawezi kuambukiza mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…