Wakati fulani watu hufa mara mbili

Wakati fulani watu hufa mara mbili

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Inatokea mfumo unaamua huyu mtu anapaswa aonekane amefariki. Mara nyingi huwa ni kwa ajali au kulazwa kwa muda flani n.k but mazishi ya huyu mtu hupotezwa kwa namna flani.

Inawezekana sura yake isioneshwe au anaweza uawa kwa ajali na kuchomwa moto akapotezwa kabisa. Ilhali kiuhalisia anakuwa amepelekwa nchi nyingine mbali akaishi huko. Huwa ni kwa sababu maalum. Na kunakuwa na mtu mmoja anayefahamu katika familia. Mara nyingi huwa hivyo.

Hii huwa ni kwa makubaliano maalum na kwa sababu flani flani.

Akiwa mafichoni kama risk ni kubwa kwa waliomficha huwa anaenda kuuawa tena safari hii kiukweli ukweli sasa kukata mzizi wa fitna. Na mwili wake utapotezwa na kuharibiwa kabisa. Safari hii itakuwa gone for good. Na mara nyingi hufanyika hivi kuondoa a risk threat.
 
Inatokea mfumo unaamua huyu mtu anapaswa aonekane amefariki. Mara nyingi huwa ni kwa ajali au kulazwa kwa muda flani n.k but mazishi ya huyu mtu hupotezwa kwa namna flani.

Inawezekana sura yake isioneshwe au anaweza uawa kwa ajali na kuchomwa moto akapotezwa kabisa. Ilhali kiuhalisia anakuwa amepelekwa nchi nyingine mbali akaishi huko. Huwa ni kwa sababu maalum. Na kunakuwa na mtu mmoja anayefahamu katika familia. Mara nyingi huwa hivyo.

Hii huwa ni kwa makubaliano maalum na kwa sababu flani flani.

Akiwa mafichoni kama risk ni kubwa kwa waliomficha huwa anaenda kuuawa tena safari hii kiukweli ukweli sasa kukata mzizi wa fitna. Na mwili wake utapotezwa na kuharibiwa kabisa. Safari hii itakuwa gone for good. Na mara nyingi hufanyika hivi kuondoa a risk threat.
Mwendazake aliua watu wengi sn
 
Kuna Nyadhifa ukiwa nayo Serikalini jitahid uwe mtu wa Kazi. Sio unazubaa zubaa
 
Inatokea mfumo unaamua huyu mtu anapaswa aonekane amefariki. Mara nyingi huwa ni kwa ajali au kulazwa kwa muda flani n.k but mazishi ya huyu mtu hupotezwa kwa namna flani.

Inawezekana sura yake isioneshwe au anaweza uawa kwa ajali na kuchomwa moto akapotezwa kabisa. Ilhali kiuhalisia anakuwa amepelekwa nchi nyingine mbali akaishi huko. Huwa ni kwa sababu maalum. Na kunakuwa na mtu mmoja anayefahamu katika familia. Mara nyingi huwa hivyo.

Hii huwa ni kwa makubaliano maalum na kwa sababu flani flani.

Akiwa mafichoni kama risk ni kubwa kwa waliomficha huwa anaenda kuuawa tena safari hii kiukweli ukweli sasa kukata mzizi wa fitna. Na mwili wake utapotezwa na kuharibiwa kabisa. Safari hii itakuwa gone for good. Na mara nyingi hufanyika hivi kuondoa a risk threat.
Mmmaaaa!!!! hii kali sijawahi kuisikia kumbe
 
Inatokea mfumo unaamua huyu mtu anapaswa aonekane amefariki. Mara nyingi huwa ni kwa ajali au kulazwa kwa muda flani n.k but mazishi ya huyu mtu hupotezwa kwa namna flani.

Inawezekana sura yake isioneshwe au anaweza uawa kwa ajali na kuchomwa moto akapotezwa kabisa. Ilhali kiuhalisia anakuwa amepelekwa nchi nyingine mbali akaishi huko. Huwa ni kwa sababu maalum. Na kunakuwa na mtu mmoja anayefahamu katika familia. Mara nyingi huwa hivyo.

Hii huwa ni kwa makubaliano maalum na kwa sababu flani flani.

Akiwa mafichoni kama risk ni kubwa kwa waliomficha huwa anaenda kuuawa tena safari hii kiukweli ukweli sasa kukata mzizi wa fitna. Na mwili wake utapotezwa na kuharibiwa kabisa. Safari hii itakuwa gone for good. Na mara nyingi hufanyika hivi kuondoa a risk threat.
Inatafakarisha.
 
Back
Top Bottom