Wakati Hitler na wengine wanaua watu na kutesa Mungu alikuwa wapi? Wema wa Mungu unakuwaga kwenye nini?

Wakati Hitler na wengine wanaua watu na kutesa Mungu alikuwa wapi? Wema wa Mungu unakuwaga kwenye nini?

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Kuna mambo ya ajabu sana. Ni ama tunadanganywa au hatumjui vizuri huyo anayeitwa Mungu.

Kuna wakati niliwahi kusema Shetani na Mungu ni marafjki sana. Kinachotokea sisi ndio tunataka kuwatofautisha na kuwagombanisha tu.

Fikiria mtu mwovu kama Hitler na waovu wengine hasa watawala wa Afrika wanavyoua na kutesa watu wao mamilioni kwa mamilioni mmoja hadi mwingine hatua kwa hatua Mungu anakuwa yuko wapi kuzuia kadhia hiyo kwa ajili ya viumbe wake?

Yaani muuaji na mtesaji anaendelea kuneemeka tu anakula raha kama kawaida at the expense of other's life.

Huku tunajazana ujinga makanisani na misikitini eti tuna mtetezi wetu hawezi kutuacha kamwe? Inaingia akilini kweli?

Tukihoji hivi tunaitwa makafiri au tunakufuru basi nyie msiokufuru tupeni majibu.
 
Mhubiri 7:29

29 Hili ndilo jambo pekee nililopata: Mungu wa kweli aliwaumba wanadamu wakiwa wanyoofu, lakini wao wenyewe wamejitafutia mipango mingi.”

Isaya 48:17-18



Isaya 48:17, 18

17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,a anasema hivi:“Mimi, Yehova, ni Mungu wako,Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,*Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.18 Laiti ungesikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingekuwa kama mto Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.

Ya kusoma apo ndo umalizie na Hili

Danieli 2:44

44 “Katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalmea ambao hautaangamizwa kamwe. Na ufalme huo hautakabidhiwa watu wengine wowote. Utazipondaponda na kuzikomesha falme hizi zote,nao pekee utasimama milele,


Kwa ufupi ni hivi Mungu akuumba mwanadamu kuteseka bali ni chaguo la mwanadamu ambalo alichagua peke yake tulipo anza kwenda tofauti na sheria zake

Ila mwishowe kabisa baada ya dunia hii kuna dunia ambayo itakuja
 
Mhubiri 7:29

29 Hili ndilo jambo pekee nililopata: Mungu wa kweli aliwaumba wanadamu wakiwa wanyoofu, lakini wao wenyewe wamejitafutia mipango mingi.”

Isaya 48:17-18



Isaya 48:17, 18

17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,a anasema hivi:“Mimi, Yehova, ni Mungu wako,Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,*Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.18 Laiti ungesikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingekuwa kama mto Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.

Ya kusoma apo ndo umalizie na Hili

Danieli 2:44

44 “Katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalmea ambao hautaangamizwa kamwe. Na ufalme huo hautakabidhiwa watu wengine wowote. Utazipondaponda na kuzikomesha falme hizi zote,nao pekee utasimama milele,


Kwa ufupi ni hivi Mungu akuumba mwanadamu kuteseka bali ni chaguo la mwanadamu ambalo alichagua peke yake tulipo anza kwenda tofauti na sheria zake

Ila mwishowe kabisa baada ya dunia hii kuna dunia ambayo itakuja
Mungu ameshindwa ku restore hiyo hali ya ukengeufu au shetani anamzidi nguvu? Imani yetu kwamba sisi tunaye mlinzi wetu na mfariji wetu wakati wote ni ya bure?
 
Dunia ni sehemu ya mitihani ndivyo alivyokadiria watu ingekuwa imeandikwa au kasema nimeleta watu duniani wastarehe hakuna tabu halafu unyama ,tabu na ukatili ungekuwepo mimi ningekuwa wa kwanza hapa Jf kulalamika kuhusu Mungu . Yeye amefanya dunia sehemu ya majaribio siku ya iliyo kuu kila mtu atalipwa kwa kila alichokichuma hatodhulumiwa mtu hata kiasi cha uzi au tone la mchanga.

Kama aliyeumba mbingu na Ardhi na vilivyomo asiwe muadilifu na mwenye hekima je ni nani atakuwa muadilifu zaidi na hekima ?
 
Dunia ni sehemu ya mitihani ndivyo alivyokadiria watu ingekuwa imeandikwa au kasema nimeleta watu duniani wastarehe hakuna tabu halafu unyama ,tabu na ukatili ungekuwepo mimi ningekuwa wa kwanza hapa Jf kulalamika kuhusu Mungu . Yeye amefanya dunia sehemu ya majaribio siku ya iliyo kuu kila mtu atalipwa kwa kila alichokichuma hatodhulumiwa mtu hata kiasi cha uzi au tone la mchanga.

Kama aliyeumba mbingu na Ardhi na vilivyomo asiwe muadilifu na mwenye hekima je ni nani atakuwa muadilifu zaidi na hekima ?
Kwa hiyo anaacha watu wake wapigike wateseke then aje atoe hukumu mwishoni? Kwa faida ya nani sasa.
 
Kwa hiyo anaacha watu wake wapigike wateseke then aje atoe hukumu mwishoni? Kwa faida ya nani sasa.
Yetu sisi wenyewe ,kama ilivyokuwa shule huwezi mtu kupitisha hivi hivi lazima upewe mtihani kwani cha bure lazima mtu utolee jasho ili ujue thamani yake leo hii magonjwa yasingekuwepo thamani ya afya isingetambulika.
 
Yetu sisi wenyewe ,kama ilivyokuwa shule huwezi mtu kupitisha hivi hivi lazima upewe mtihani kwani cha bure lazima mtu utolee jasho ili ujue thamani yake leo hii magonjwa yasingekuwepo thamani ya afya isingetambulika.
Well
 
Ndio hivyo mkuu ,tungezaliwa moja kwa moja peponi hatujatolea jasho wala kuonja dhiki tungeona maisha ya kule kawaida na upuuzi .Mfano wa kubuni ninavyofikiri ni huu..;

Hata Nabii Adam(amani iwe juu yake)alikuwa peponi moja kwa moja bila kuishi maisha ya kidunia Ibilisi mwenye laana alimrubuni kusogelea mti uliokatazwa kwa kumshawishi atapata utukufu na mambo mazuri zaidi ila ingekuwa mtu umeishi maisha ya bongo(duniani)umepigika halafu umepata kizali cha kuwa peponi usingetemani hata utukufu zaidi ungeona thamani kubwa nafasi uliyoipata ukicompare na life ulipotokea.
 
Ndio hivyo mkuu ,tungezaliwa moja kwa moja peponi hatujatolea jasho wala kuonja dhiki tungeona maisha ya kule kawaida na upuuzi .Mfano wa kubuni ninavyofikiri ni huu..;

Hata Nabii Adam(amani iwe juu yake)alikuwa peponi moja kwa moja bila kuishi maisha ya kidunia Ibilisi mwenye laana alimrubuni kusogelea mti uliokatazwa kwa kumshawishi atapata utukufu na mambo mazuri zaidi ila ingekuwa mtu umeishi maisha ya bongo(duniani)umepigika halafu umepata kizali cha kuwa peponi usingetemani hata utukufu zaidi ungeona thamani kubwa nafasi uliyoipata ukicompare na life ulipotokea.
Binguni kwenyewe hakuna amani na vita ziliznzia huko
 
Back
Top Bottom