Wakati huko Rwanda Kagame anafanya hivi. Sisi tunafanya Vile

Wakati huko Rwanda Kagame anafanya hivi. Sisi tunafanya Vile

Kumbuka Rwanda hawana kiongozi mkubwa mstaafu
 
Huo mtindo wa kuwapa watu samaki badala ya nyavu pamoja na elimu ya uvuvi haujawahi kufanikiwa kutatua tatizo.
Huwa unatoa ufumbuzi wa muda mfupi.
Nyumba za kisiwa ndui kupewa bure watu ziliishia wapi?Nyumba za wafanya kazi wa kiwanda cha Urafiki walikuwa wanpewa wafanyakazi kiholela hata fundi bomba au messenger, leo kazione ukipita na daladala utaona magodoro ya mikojo yanaanikwa katika partio!!.hapo magomeni yale magorofa inatakiwa watu wapewe kwanza elimu na kuangaliwa ustawi hali ya kipato.Iddi amini aliwafukuza wahindi uganda na kuwagawia raia wauza sokoni, mafundi baskeli na washona viatu mitaani nyumba za magorofa ya wahindi wakazikalie, loo katikati ya kampala unaona magodoro ya mikojo yapo katika partio!matenga ya samaki na nyanya yananing'inia hovyo magorofani!!!!!!
 
Unashindwa kuelewa kuwa gharama iliyotumika kujenga nyumba moja tu ya kiongozi mstaafu (ambaye hana mahitaji ya nyumba) ingewza kujenga nyumba 100 za vyumba viwili ambazo zingetumiwa na watu masikini wenye mahitaji

Tunawajengea nyumba ambazo hawataishi na badala yake watawarithisha watoto wako wanaouza madawa ya kulevya!!!
 
You can't compare Rwanda na Tanzania

Size ya nchi hizi ni tofauti Sana

Usisahau Sisi hatuibi Madini ya DRC
Hatuna haja ya kuiba madini kwa sababu tunayo ila hatujui kuyatumia. Ukubwa wa nchi ni relative term, Tanzania ina watu wapato milioni 58, na vile vile tuna enelo la kilomita za mraba 885,800 yaani kila raia anaweza kutumia ardhi ya kilomita za mraba 0.015. Rwanda ina watu milioni 13 hivi na eneo la kilomita za mrada 26,670, yaani kila raia anaweza kutumia eneo la kilomirta za mraba 0.0019 tu. Yaani sisi tuna advantage mara saba ya Rwanda lakini tunajikongoja tu kusubiri serikali iachie pesa mitaani na kulalamikalalamika tu.
 
Tupe idadi ya wa rwanda nchi nzima wakifika mil15 najitoa jf muda huu.
 
ushamuona popote pale akijiweka kifront front na kutaka kuonesha bado ana nguvu kumzidi aliyepo madarakani?

NB:ndo nimemsoma kwa mara ya kwanza leo baada ya kumtaja
Hivi Pascal bizimungu alifariki?
 
Huku Tanzania tunawajengea nyumba mpya Viongozi waliotuibia zenye thamani ya Mamilion ya Pesa. Tunawanunulia na Magari wabadilishe kama Zawadi Kwa fedha za umma. Kagame yeye anawajengea nyumba za kisasa wananchi wake.
View attachment 1810056
Kwakweli hili suala hata mi sielewi! Mambo ya kipumbavu kabisa yasni,sijui Mani alitunga hizo sheria
 
Back
Top Bottom