Wakati huu ambapo Rais Samia anayasaka maridhiano na CHADEMA, Mdee na wenzake imekula kwao

Wakati huu ambapo Rais Samia anayasaka maridhiano na CHADEMA, Mdee na wenzake imekula kwao

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Samia hataki uhuni kwenye serikali yake. Anataka haki bin haki itendeke kwa watu, taasisi na vyama vya siasa.

Sitegemei kuona sarakasi za kihuni za akina Mdee zikilelewa na kukumbatiwa na mahakama iliyojibebea umaarufu kwa kutenda haki ktk kesi ya aliyekuwa DC wa Hai Sabaya.

Kwahiyo wale washabiki na wapenzi wa Wabunge 19 poleni sana.
 
Hawa wabunge wa corvid-19 wanapaswa kuomba msamaha mara moja na kuendelea na maisha mengine nje ya siasa!
 
Hivi katika Marais wa JMT waliongoza kwenye mfumo wa vyama vingi tukimuacha Mh Rais SSH ambaye ndio kamaliza mwaka yuko aliye jitahidi kutafuta maridhiano na kusikilizana na Wapinzani kama Mzee Kikwete.

Aulizwe awambie jinsi hawa wapinzani walivyo mtenda 2015 baada ya EL kukatwa jina na CCM.
 
Hivi katika Marais wa JMT waliongoza kwenye mfumo wa vyama vingi tukimuacha Mh Rais SSH ambaye ndio kamaliza mwaka yuko aliye jitahidi kutafuta maridhiano na kusikilizana na Wapinzani kama Mzee Kikwete. Aulizwe awambie jinsi hawa wapinzani walivyo mtenda 2015 baada ya EL kukatwa jina na CCM.
Alitimiza wajibu kama Rais.
 
Serikali ilikuwa na shida na viti maalumu vya Chadema hawakuwa na shida na kina Mdee. Wakiridhiana na Chadema kupata viti maalumu,ndio basi tena
 
Samia hataki uhuni kwenye serikali yake. Anataka haki bin haki itendeke kwa watu, taasisi na vyama vya siasa.

Sitegemei kuona sarakasi za kihuni za akina Mdee zikilelewa na kukumbatiwa na mahakama iliyojibebea umaarufu kwa kutenda haki ktk kesi ya aliyekuwa DC wa Hai Sabaya.

Kwahiyo wale washabiki na wapenzi wa Wabunge 19 poleni sana.
Tatizo ni moja , hata yeye kuna watu waliopitwa na wakati ndio wanamuongoza .
 
Back
Top Bottom